Mkuu assadsyria3,
Je,ni wewe ndiye ulieandika post hii?[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Je,ni wewe ndiye ulieandika post hii?[emoji15] [emoji15] [emoji15]
Hivi wewe na ugreat thinker wako unaweza kujenga bondeni?Kwani lazima uishi kinondoni?Unadhani wajinga ni wale waliokuwa wanajenga au serikali iliyokuwa inapeleka huduma za maji, umeme na kukusanya kodi? Yenyewe ndio imekuwa ikiwavutia watu kwenda huko maana wanapeleka huduma hizo za kibinadamu.
Hata hivyo kubomoa randomly namna ile sio utu kwa raia wako ukizingatia wakati wanajenga walikuwa wanaangaliwa tuu na hata chaguzi za serikali za mitaa walikuwa wanasajiliwa huko huko
CCM mmeshokilia hayo majimbo kwa zaidi ya 45yrs and nothing has been doneKweli wewe Busara hauna kuendelea kulea watu wa aina yenu ni ujuha.
Ivi hao wa bonden si ndo kila mara wanakubwa na mafuriko na kulalamika.
Aya wa kagera ulitaka wajengewe nyumba ama wapewe msaada gan?? Hakuna utaratibu dunian kote kama huo ukijengea leo hao kesho watakuja wengine wamekubwa na mafuriko nyumba zimeanguka mtasema wajengewe na wao. Embu tupe mfano wa nchi ambayo imekubwa na natural catastrophies na serikali ikawajengea nyumba?? Kazi ya serikali ni kuwalinda wananchi wake na ndo maana walihakikisha wanazima umeme na kutoa nyama za umeme ziluzohatari,kuwapa msaada wa kiafya wale walio mahospitalini na kutoa majeneza sasa wewe mwenye uelewa embu tupe tathmn yako ulitaka nchi ifanye nini???.
Afu wakati unatupa hyo tathmn tuambie ni mwaka sasa sehemu ambapo ukawa inaongoza nini cha tofauti mmeshafanya ama hata maendeleo gani mmefanya.
Zaidi ya majimbo yenu mengi kuongoza kwa mambo ya hovyo la kwanza likiwa hai,mbeya na Arusha
Hivi lile zoezi haliendelei tena au ilikuwa ni kwa wachache tu a.k.a walalahoiHivi wewe na ugreat thinker wako unaweza kujenga bondeni?Kwani lazima uishi kinondoni?
Kwa hiyo wasibomolewe kisa wamepelekewa umeme na maji?
kwa mabondeni limeisha,sehemu zilizobaki notisi zimetoka upyaHivi lile zoezi haliendelei tena au ilikuwa ni kwa wachache tu a.k.a walalahoi
Notisi za ninikwa mabondeni limeisha,sehemu zilizobaki notisi zimetoka upya
Unakumbusha mbali za wabunge wa ccmHivi kwa hela zilizochangwa.kama wangeamua kuwapa mil 10 kila mmoja za kuanzia kujenga.zisingetosha?
Taja mmojasumaye sio peke yake anamiliki ardhi kubwa wapo wanene ccm wengi ni malandlord lakin hawaguswi kwa kuwa issue ni kulipiza
Kwa hiyo ile hela ilikusanywa ya kuondoa waya za umeme na kuwalinda walioathirika kwa tetemeko? Ninasikia kichefuchefu nikisoma ulichoandika. Lakini niseme tu: we are told that many Tanzanians are crazy and surely you are one of them!Kweli wewe Busara hauna kuendelea kulea watu wa aina yenu ni ujuha.
Ivi hao wa bonden si ndo kila mara wanakubwa na mafuriko na kulalamika.
Aya wa kagera ulitaka wajengewe nyumba ama wapewe msaada gan?? Hakuna utaratibu dunian kote kama huo ukijengea leo hao kesho watakuja wengine wamekubwa na mafuriko nyumba zimeanguka mtasema wajengewe na wao. Embu tupe mfano wa nchi ambayo imekubwa na natural catastrophies na serikali ikawajengea nyumba?? Kazi ya serikali ni kuwalinda wananchi wake na ndo maana walihakikisha wanazima umeme na kutoa nyama za umeme ziluzohatari,kuwapa msaada wa kiafya wale walio mahospitalini na kutoa majeneza sasa wewe mwenye uelewa embu tupe tathmn yako ulitaka nchi ifanye nini???.
Afu wakati unatupa hyo tathmn tuambie ni mwaka sasa sehemu ambapo ukawa inaongoza nini cha tofauti mmeshafanya ama hata maendeleo gani mmefanya.
Zaidi ya majimbo yenu mengi kuongoza kwa mambo ya hovyo la kwanza likiwa hai,mbeya na Arusha
povu hilo, hela za kagera ni za wasamaria wema, wakiridhika wahangs wajengewe kuna tatizo gani? kukitokea janga lingine tutachanga tena.Wanakera watu ambao wanaamini wanafam afu kumbe hawajui chochote aje atuambie labda anaweza kua anauelewa.
Wakati wanajenga serikali ilikuwa wapi?Sasa wewe pale bondeni kwa uono wako wa kibavicha unadhani panastahili kuishi binadamu?
Ila Mpwa ulichangia sana kudhoofisha harakati za ukombozi, ulitutukana sana. Hata hivyo Mungu ni mwaminifu kuliko Mimi, Leo amekupa ujasiri wa kujitokeza na kuupinga ukatili wa Yohana. Hongera sana ila nitafurahi kama Utakuja kutoa Uzi wa kuomba radhi Kwa Yale maumivu uliyotusababishasumaye sio peke yake anamiliki ardhi kubwa wapo wanene ccm wengi ni malandlord lakin hawaguswi kwa kuwa issue ni kulipiza
Kabombe, mimi siwezi kujenga bondeni kwa sababu Mungu kanijalia uwezo wa kujenga maeneo rasmi hata kama ni mbali na mjini. Hii ni kwa vile bado uwezo wa kufika mjini ninao.Hivi wewe na ugreat thinker wako unaweza kujenga bondeni?Kwani lazima uishi kinondoni?
Kwa hiyo wasibomolewe kisa wamepelekewa umeme na maji?
Itakusaidia nini ?? wanajulikana !!Taja mmoja
Jiongezeee.kukaa mabondeni sio sababu ya mafuriko.Bali miundombinu mibovu...kama ulikuwepo miaka ya 70,ulishawahi kuona jangwani kuna mafuriko?mafuriko yameanza baada ya miundo mbinu kuharibiwaJina lako linakusadifu,
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] ulitaka waishi wanyamaa.kukaa mabondeni sio sababu ya mafuriko.Bali miundo mbinu mibovu.Sasa wewe pale bondeni kwa uono wako wa kibavicha unadhani panastahili kuishi binadamu?
Umeona pale tuu ndio hapastahili watu kuishi?Sasa wewe pale bondeni kwa uono wako wa kibavicha unadhani panastahili kuishi binadamu?
Huyu ndiyo mbumbu kabisa.Kweli wewe Busara hauna kuendelea kulea watu wa aina yenu ni ujuha.
Ivi hao wa bonden si ndo kila mara wanakubwa na mafuriko na kulalamika.
Aya wa kagera ulitaka wajengewe nyumba ama wapewe msaada gan?? Hakuna utaratibu dunian kote kama huo ukijengea leo hao kesho watakuja wengine wamekubwa na mafuriko nyumba zimeanguka mtasema wajengewe na wao. Embu tupe mfano wa nchi ambayo imekubwa na natural catastrophies na serikali ikawajengea nyumba?? Kazi ya serikali ni kuwalinda wananchi wake na ndo maana walihakikisha wanazima umeme na kutoa nyama za umeme ziluzohatari,kuwapa msaada wa kiafya wale walio mahospitalini na kutoa majeneza sasa wewe mwenye uelewa embu tupe tathmn yako ulitaka nchi ifanye nini???.
Afu wakati unatupa hyo tathmn tuambie ni mwaka sasa sehemu ambapo ukawa inaongoza nini cha tofauti mmeshafanya ama hata maendeleo gani mmefanya.
Zaidi ya majimbo yenu mengi kuongoza kwa mambo ya hovyo la kwanza likiwa hai,mbeya na Arusha