Magufuli ni "visasi na kulipiza"

Magufuli ni "visasi na kulipiza"

Ukweli utabaki palepale!!
Rungu linatumika vibaya sana kwa wananchi.
Halafu takwimu za mkuu wa mkoa Kagera anasema ni 5.4 b zilipatikana ikiwa ni michango ya wadau kwaajili ya maafa wakati Uingereza yenyewe peke yake imetoa 6 b sasa pesa nyingine zaenda wapi!!!

Mambo ya uchama yakae kwanza pembeni cause kama maisha yanatugusa watanzania wote!!
 
Back
Top Bottom