Magufuli na CCM yako ondokeni Nchi imewashinda mnatuharibia Mama yetu Tanzania
Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-

kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma

kuporomosha uchumi wa Nchi

Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa

kuzuia ajira

Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani

Kununua viongozi wa upinzani

kutuma police wauwe watu

Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa

kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%

Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300

kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako
Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.