Magufuli na CCM yako Must Go

Magufuli na CCM yako Must Go

John Pombe Magufuli ni rais mzuri lakini mwenye mapungufu makubwa ya wazi wazi, uzuri ukizidiwa na mapungufu hufuta mazuri.
Kuna haja ya kumwombea tena sana

Sent using Jamii Forums mobile app
Very true lakini mapungufu ndio yanayotufanya tuwe Binadamu, I hate one thing, watu wanaoitwa wasaidizi wake, aiseeeee hakuna wanafiki wakubwa Kama hawa jamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very true lakini mapungufu ndio yanayotufanya tuwe Binadamu, I hate one thing, watu wanaoitwa wasaidizi wake, aiseeeee hakuna wanafiki wakubwa Kama hawa jamaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni kwamba;
1. Wasaidizi wa rais wanajua udhaifu wake
na wanautumia udhaifu huo kunufaika
2. Lengo la wasaidizi sio kumsaidia bali
wanufaika ilhali wanamvua nguo aonek
ane hafai kwa jamii na hawajali hilo
3. wanafahamu vyema mzee anapenda
sifa na wao wameamua kumsifu kwa
kila kitu hata kama kakosea

Rais huyu sio mbaya kivile, lakini hana wakumsaidia katika mapungufu yake;
Kwanza hapendi kukosolewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli ni kwamba;
1. Wasaidizi wa rais wanajua udhaifu wake
na wanautumia udhaifu huo kunufaika
2. Lengo la wasaidizi sio kumsaidia bali
wanufaika ilhali wanamvua nguo aonek
ane hafai kwa jamii na hawajali hilo
3. wanafahamu vyema mzee anapenda
sifa na wao wameamua kumsifu kwa
kila kitu hata kama kakosea

Rais huyu sio mbaya kivile, lakini hana wakumsaidia katika mapungufu yake;
Kwanza hapendi kukosolewa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Utamsaidiaje mtu anayeamini yeye anajua kila kitu. Acha wasaidizi wapige hivyo hivyo.
 
Magufuli na CCM yako ondokeni Nchi imewashinda mnatuharibia Mama yetu Tanzania

Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-

kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma

kuporomosha uchumi wa Nchi

Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa

kuzuia ajira

Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani

Kununua viongozi wa upinzani

kutuma police wauwe watu

Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa

kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%

Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300

kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako

Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.
Shida ya kunywa ulanzi uliochacha ndio hizi,wewe ndugu sijui uko sayari gani au sababu ya hivyo visimu smartphone basi inabidi tu uandike uharo wako hapa,peleka stress zako kwenye SACCOS yenu,kwanza wewe ni nani nchi hii,hilo ni dua la kuku,CCM na serikali yake tuna miaka 100 mingine ya kuwanyosha watu kama nyie,lazima mufanye kazi,mambo ya kuamuka asubuhi kwenda bandarini una elfu moja na unarudi na milioni 10 bila kufanya kazi yoyote ,kwa sasa sahau.Mtachanganyikiwa sana.
 
Watanzania ni aibu sana kutawaliwa na CCM mpaka miaka hii na karne hii. Wakenya wanatuangalia na kutucheka tu. Linchi likuuubwa, rasilimali kama zote, mara gesi, madini ya kila namna, lakini tunatawaliwa na watu wa ajabu ajabu, nchi inafanana uchumi ma somalia.

Kwakweli ni aibu tu. Hakuna lugha nyingine.
CCM must go. CCM ipumzishwe kwa amani. Ikigoma tuitoe hata kwa majambia.
 
Unataka ayoke kwa kosa LA

1. Kutoa Elimu bure kuanzia Shule ya msingi mpaka kidato cha NNE?
2. Kujenga reli ya kati kwa Kiwango cha standard gauge ili kurahisisha usafiri kwa watanzania?
3. Kujenga kituo cha kufua umeme stiegler's gorge ili kuwa na umeme wa uwakika
4. Kutoa vitambulisho kwa wamachinga vinavyoghalimu 20,000 kwa mwaka sawa na 1,666 kwa mwezi sawa na 55 kwa siku ambapo zamani wajasiliamali walikuwa wanatozwa 500 kwa siku ambapo 15000 kwa mwezi na 75000 kwa mwaka mzima?
5. Kujenga vituo vya afya nchi nzima na kuhakikisha upatikani wa madawa hospital kwa wakati?
6. Kutoa mishahara kwa wafanyakazi wa umma kwa wakati?
7. Kuhakikisha Ulinzi na usalama kwa wananchi na Mali zao?
8. Kurejesha nidhamu kwa watumishi wa umma hata kupelekea huduma kutolewa kwa wakati?
9. Kuhakikisha Ujenzi wa miundombinu kama barabara za rami nchi nzima Leo swala LA vumbi linakaribia kuwa historia
10. Kuboresha huduma za jamii kama MAJI, umeme ambapo zinasaidia watanzania kujiimarisha kiuchumi
11. Kununua Ndege na kulifufua shirika LA Ndege kwa manufaa ya Tanzania sasa na baadae
12. Kudhibiti ujangiri kwa wanayama pole kuuwawa na watu wasio wazalendo
13. Kuondoa watumishi hewa na kudhibiti ulipwaji wa mishahara hewa ambapo Taifa lilikuwa linazidi kuingia kwenye hasara kubwa
14. Kujenga flyover ili kupunguza msongamano wa magari ili kuimarisha uchumi wa nchi
15. Kudhibiti uuzwaji wa madawa ya kulevya ambayo yalikuwa yakisababisha afya ya Vijana wetu kutetereka Ila Leo imekia historia.

Hayo ndo makosa Yake yaliyopelekea wewe utake aondoke?

Au nawe ulikuwa sehemu ya wapiga dili ambao wameathirika kwa Kiwango kikubwa.

Mungu akusamehe wewe na kizazi chako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Magufuli na CCM yako ondokeni Nchi imewashinda mnatuharibia Mama yetu Tanzania

Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-

kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma

kuporomosha uchumi wa Nchi

Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa

kuzuia ajira

Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani

Kununua viongozi wa upinzani

kutuma police wauwe watu

Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa

kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%

Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300

kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako

Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.
Kabla ya kuandika kwenye mtandao na kuweka tuhuma dhidi ya Raisi na Chama tawala hasa katika awamu hii inakubidi uwaze mara mbili.
Zipitie sheria za mitandao na sheria zinazohusu uchochezi na pia iangalie familia yako kwa jicho la huruma.Upepo huu si wa kutiririka hivi ndugu yangu.Waza mara mbili la kutamka hata ukiwa peke yako kwani kumbuka hata ukuta una masikio!!
 
Back
Top Bottom