Una mawazo ya mfupa mbwa anayefuga mbwa kwa kutegemea makombo ya jirani. Pole sana.Magufuli na CCM yako ondokeni Nchi imewashinda mnatuharibia Mama yetu Tanzania
Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-
kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma
kuporomosha uchumi wa Nchi
Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa
kuzuia ajira
Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani
Kununua viongozi wa upinzani
kutuma police wauwe watu
Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa
kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%
Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300
kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako
Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.
Naona unang'ata na kupuliza unaogopa kusema straight,hii ni moja wapo ya sifa ya mnafiki.Very true lakini mapungufu ndio yanayotufanya tuwe Binadamu, I hate one thing, watu wanaoitwa wasaidizi wake, aiseeeee hakuna wanafiki wakubwa Kama hawa jamaa!
Sent using Jamii Forums mobile app
He must perishMagufuli na CCM yako ondokeni Nchi imewashinda mnatuharibia Mama yetu Tanzania
Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-
kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma
kuporomosha uchumi wa Nchi
Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa
kuzuia ajira
Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani
Kununua viongozi wa upinzani
kutuma police wauwe watu
Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa
kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%
Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300
kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako
Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.
Unaongea kama umenyewa mdomoni. Kwa damu hizi, CCM haina hata miaka 10 ya kutawala hapa!!!Shida ya kunywa ulanzi uliochacha ndio hizi,wewe ndugu sijui uko sayari gani au sababu ya hivyo visimu smartphone basi inabidi tu uandike uharo wako hapa,peleka stress zako kwenye SACCOS yenu,kwanza wewe ni nani nchi hii,hilo ni dua la kuku,CCM na serikali yake tuna miaka 100 mingine ya kuwanyosha watu kama nyie,lazima mufanye kazi,mambo ya kuamuka asubuhi kwenda bandarini una elfu moja na unarudi na milioni 10 bila kufanya kazi yoyote ,kwa sasa sahau.Mtachanganyikiwa sana.
Sheria za mitandao na uchochezi zisitumike kuwafumba midomo vijana ambao ni taifa la leo Na kesho. Kwani hizi sheria zilitungwa ili kuwanyamazisha watanzania wa leo na kesho! I think it's a wrong perception!Kabla ya kuandika kwenye mtandao na kuweka tuhuma dhidi ya Raisi na Chama tawala hasa katika awamu hii inakubidi uwaze mara mbili.
Zipitie sheria za mitandao na sheria zinazohusu uchochezi na pia iangalie familia yako kwa jicho la huruma.Upepo huu si wa kutiririka hivi ndugu yangu.Waza mara mbili la kutamka hata ukiwa peke yako kwani kumbuka hata ukuta una masikio!!
Ubaguzi kwa misngi ya kanda na ukabila?Magufuli na CCM yako ondokeni Nchi imewashinda mnatuharibia Mama yetu Tanzania
Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-
kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma
kuporomosha uchumi wa Nchi
Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa
kuzuia ajira
Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani
Kununua viongozi wa upinzani
kutuma police wauwe watu
Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa
kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%
Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300
kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako
Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.
Uliyooorodhesha yote ni very shaky.La msingi ni kwamba mmezoea ustaarabu wa kuiba,kutumia vyeti fake,madili nk.Sawa bwana.Magufuli na CCM yako ondokeni Nchi imewashinda mnatuharibia Mama yetu Tanzania
Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-
kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma
kuporomosha uchumi wa Nchi
Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa
kuzuia ajira
Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani
Kununua viongozi wa upinzani
kutuma police wauwe watu
Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa
kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%
Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300
kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako
Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.
Sidhan.kama Bado unasema hivi hata kale kawimbo hamkaumbi tenaKuwa na subira mkuu, inshallah, 2025 atakuachia nchi, sisi watz 2020 tunamrudisha tena magogoni kwa kimbunga.
Kama daudi bashite na mjomba wake zile cont amelipia?!Uliyooorodhesha yote ni very shaky.La msingi ni kwamba mmezoea ustaarabu wa kuiba,kutumia vyeti fake,madili nk.Sawa bwana.
Katika msafara wa Mamba,Kenge nao wamo.Kama daudi bashite na mjomba wake zile cont amelipia?!
Au walituzuga tu...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mleta uzi andika maumivu. Huyu ni mpaka 2025 panapo uhai.Magufuli na CCM yako ondokeni Nchi imewashinda mnatuharibia Mama yetu Tanzania
Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-
kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma
kuporomosha uchumi wa Nchi
Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa
kuzuia ajira
Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani
Kununua viongozi wa upinzani
kutuma police wauwe watu
Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa
kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%
Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300
kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako
Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.
Ni kweli kabisa kaorodhesha vitu vyepesi sana. Walizoea maisha ya udalali ya ubwete, wiki nzima wanashinda kijiweni na simu mkononi, ikifika ijumaa jioni wanaingia bar kwa maringo wakitembea kwa kunesanesa.Uliyooorodhesha yote ni very shaky.La msingi ni kwamba mmezoea ustaarabu wa kuiba,kutumia vyeti fake,madili nk.Sawa bwana.
Arobaini zao zimefika,hakuna lisilo na mwisho.Ni kweli kabisa kaorodhesha vitu vyepesi sana. Walizoea maisha ya udalali ya ubwete, wiki nzima wanashinda kijiweni na simu mkononi, ikifika ijumaa jioni wanaingia bar kwa maringo wakitembea kwa kunesanesa.