Magufuli na CCM yako Must Go

Sigara Kali

JF-Expert Member
May 28, 2017
3,623
8,428
Magufuli na CCM yako ondokeni Nchi imewashinda mnatuharibia Mama yetu Tanzania

Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-

kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma

kuporomosha uchumi wa Nchi

Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa

kuzuia ajira

Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani

Kununua viongozi wa upinzani

kutuma police wauwe watu

Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa

kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%

Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300

kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako

Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.
 
Magufuli na CCM yako ondokeni Nchi imewashinda mnatuharibia Mama yetu Tanzania

Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-

kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma

kuporomosha uchumi wa Nchi

Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa

kuzuia ajira

Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani

Kununua viongozi wa upinzani

kutuma police wauwe watu

Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa

kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%

Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300

kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako

Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.
Hama nchi, ni haki yako mkuu. Ndio tatizo la kuishi ktk mitandao ya kijamii. Mtu ukiwa nje alafu usome ktk mitandao ya kijamii unaweza sema kuna state of anarchy, kumbe kiuhalisia mambobyako salama zaidi ya jana.
Inajulikana mmepigwa pini kila mahali sasa mnahaha.
 
Hama nchi, ni haki yako mkuu. Ndio tatizo la kuishi ktk mitandao ya kijamii. Mtu ukiwa nje alafu usome ktk mitandao ya kijamii unaweza sema kuna state of anarchy, kumbe kiuhalisia mambobyako salama zaidi ya jana.
Inajulikana mmepigwa pini kila mahali sasa mnahaha.
Ahame nchi kwani hii nchi ni ya babu yako nyie CCM vipi.
 
Photo from bndilahomba.jpg
Photo from bndilahomba.jpg
 
Back
Top Bottom