Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,711
- 8,765
Magufuli na CCM yako ondokeni Nchi imewashinda mnatuharibia Mama yetu Tanzania
Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-
[emoji117] kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma
[emoji117] kuporomosha uchumi wa Nchi
[emoji117] Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa
[emoji117] kuzuia ajira
[emoji117] Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani
[emoji117] Kununua viongozi wa upinzani
[emoji117] kutuma police wauwe watu
[emoji117] Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa
[emoji117] kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%
[emoji117] Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300
[emoji117] kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako
Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.
Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-
[emoji117] kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma
[emoji117] kuporomosha uchumi wa Nchi
[emoji117] Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa
[emoji117] kuzuia ajira
[emoji117] Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani
[emoji117] Kununua viongozi wa upinzani
[emoji117] kutuma police wauwe watu
[emoji117] Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa
[emoji117] kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%
[emoji117] Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300
[emoji117] kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako
Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.