Sigara Kali
JF-Expert Member
- May 28, 2017
- 3,623
- 8,428
Magufuli na CCM yako ondokeni Nchi imewashinda mnatuharibia Mama yetu Tanzania
Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-
kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma
kuporomosha uchumi wa Nchi
Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa
kuzuia ajira
Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani
Kununua viongozi wa upinzani
kutuma police wauwe watu
Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa
kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%
Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300
kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako
Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.
Magufuli uongozi umekushinda tangu uingie madarakani hakuna ulichofanikisha zaidi ni haya:-
kuleta nidhamu ya woga kwa watumishi wa umma
kuporomosha uchumi wa Nchi
Watu kupigwa risasi,kutekwa na kuuliwa
kuzuia ajira
Kuminya Uhuru wa kutoa maoni na kunyanyasa vyama vya upinzani
Kununua viongozi wa upinzani
kutuma police wauwe watu
Kununua ndege mbovu na nyingine kukamatwa
kupandisha makato ya bodi ya
Mikopo kwa wanafunzi wa elimu ya juu kutoka 8% mpaka 15%
Kuzuia makinikia then wazungu kutupiga changa la macho kwenye kishika uchumba cha USD 300
kusababisha umaskini kwa Nchi zaidi ya miaka 50 chini ya CCM yako
Magufuli ondoka sio lazima uendelee kuwa rais usituharibie Nchi yetu tumezoea ustaarabu.