yahoocom
JF-Expert Member
- Jul 11, 2016
- 331
- 380
Wewe endelea kukagua daftar la mwanao alafu atakuja pigwa risasi kama aqulina akiwa chuo kikuu.... pumba...vu kabisaNyinyi mnahangaika huo muda wa kuandka hii post ungekagua madaftar ya wanao

Wewe endelea kukagua daftar la mwanao alafu atakuja pigwa risasi kama aqulina akiwa chuo kikuu.... pumba...vu kabisaNyinyi mnahangaika huo muda wa kuandka hii post ungekagua madaftar ya wanao

sawa NECNyinyi mnahangaika huo muda wa kuandka hii post ungekagua madaftar ya wanao
watanzania?Kuwa na subira mkuu, inshallah, 2025 atakuachia nchi, sisi watz 2020 tunamrudisha tena magogoni kwa kimbunga.
hata aibu HAUONICHAGADEMA hasira za kushindwa uchaguzi zimehamia jamii Forum
Hapo ndipo ulipo ishia ukingo wa fikra zako?Nyinyi mnahangaika huo muda wa kuandka hii post ungekagua madaftar ya wanao
Punguza mihemuko ulidhani mtulia akishinda atakuita kwenye pati utaishia kushikilia mapembe, wewe mwisho wako ni jf no difference with the other members.CHAGADEMA hasira za kushindwa uchaguzi zimehamia jamii Forum
wamejiuzuru au mmewanunuaMadiwani 3 wa CHAGADEMA wamejiuzuru huko Ngorongoro


Nimewaongelea watanzania wengi wale wanaojitambua. Sijaongelea myie wachache, hivyo relax.usitusemee watanzania wote mimi kura yangu haioni tena. siwezi kuchagua jangili mimi. najutia kupoteza kura yangu
Sawa tutarudia uchaguzi ndio viwanda vyenyewe hivyo.Madiwani 3 wa CHAGADEMA wamejiuzuru huko Ngorongoro