mrawira
Senior Member
- Sep 20, 2018
- 104
- 51
Mithali:12.13, 17
Katika kosa la midomo kuna mtego kwa mbaya; Bali mwenye haki atatoka katika taabu. Atamkaye maneno ya kweli hufunua haki; Bali shahidi wa uongo hutamka hila.
Kila amtukanaye mkuu wa nchi hasira za Mwenyezi Mungu ziko juu ya anaye mtukana kwani Yeye ndio aliye mweka madarakani na mtukanaji au anaye jifanya msema ukweli kuliko Mungu hakika amelaaniwa na laana ya milele yeye na ukoo wake