Magufuli must go: Salamu za mwaka mpya

Magufuli must go: Salamu za mwaka mpya

Magufuli hana mpango wa maendeleo Kwa taifa hili Bali ana mpango wa kusifiwa.
Sababu kakutumbua kwa vyeti feki, kakuzibia mianya ya magendo, kakulipisha kodi, kakuzuia usijiunge na ushoga, katengeneza na bado anazidi kutengeneza flyovers zilizowashinda Marais wa awamu zote 5 zilizopita, anatengeneza barabara za kisasa(8 roads), anawajengea reli mpya kwaajili ya treni za kisasa za umeme, anatoa elimu bure, anajenga bwawa jipya la umeme bora litaloweza kutumiwa na Watanzania zaidi ya miaka 60 ijayo(STG), Anatoa mikopo ya vyuo vikuu, yuko smart ukimletea janja janja tu anakufyekelea mbali, anaiwajibisha sheria kwa kumsweka ndani Mkuu wa ufipa wenu Mbowe, anaimarisha sekta ya usafiri wa ndege kwa kununua ndege za kisasa kwa muda mfupi tu, anaimarisha miundombinu katika uboreshaji wa bandari za kisasa kwa kutengeneza vivuko na kununua meli mpya, anawajengea uwanja mkubwa wa mpira kule Dodoma toka wakandarasi wa Tunisia.

Mengineyo utajazia hapa Mzee wa ufipa _ _ _ _ _ _ _.
 
NI KWELI KABISA KWA SABABU ZIFUATAZO:

Sababu kakutumbua kwa vyeti feki,

Kakuzibia mianya ya magendo kwa njia za panya(madili),

Kakulipisha kodi,

Kakuzuia usijiunge na ushoga kwa kivuli cha HAKI ZA KIBINADAMU,

Katengeneza na bado anazidi kutengeneza flyovers zilizowashinda Marais wa awamu zote 5 zilizopita,

Anatengeneza barabara za kisasa(8 roads),

Anawajengea reli mpya kwaajili ya treni za kisasa za umeme, anatoa elimu bure,

Anajenga bwawa jipya la umeme bora litaloweza kutumiwa na Watanzania zaidi ya miaka 60 ijayo(STG),

Anatoa mikopo ya vyuo vikuu,

Yuko smart ukimletea janja janja tu anakufyekelea mbali,

Anaiwajibisha sheria kwa kumsweka ndani Mkuu wa ufipa wenu Mbowe,

Anaimarisha sekta ya usafiri wa ndege kwa kununua ndege za kisasa kwa muda mfupi tu,

Anaimarisha miundombinu katika uboreshaji wa bandari za kisasa kwa kutengeneza vivuko na kununua meli mpya,

Anatengeneza viwanja vya ndege vya kisasa(International Airport Terminal three, Chato Airport) na bandari za nchi kavu.

Anawajengea uwanja mkubwa wa mpira kule Dodoma toka wakandarasi wa Tunisia.

Mengineyo utajazia hapa Mzee wa ufipa _ _ _ _ _ _ _.
 
Wewe waweza kuwa na furaha Kwa sababu umo mulemule,, lakkini una furaha kuona Shangazi na mjomba hana furaha?
Maana hata PM Majaliwa hana furaha kuona Shangazi yake hana furaha Kwa kuogopa kipigo.
Mugabe alikuwa anashangiliwa hivi hivi na wanasema 95% lakini alipo ondolewa 95% walishangilia.
Hata sisi tuna unafiki huo. Jamaa must go
kiujumla hakuna mwenye furaha pengine ni wachache tu hata mtawala hana furaha kigezo ni huku kusemwasemwa hana furaha, so, should he go sababu hana furaha na watu hawana furaha? ni nini kifanyike ili watu wawe na furaha?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom