Na akiupata urais mawaziri watapigishwa push-up.. huyu jamaa hatufai hata kidogo.
Badala akomae na sera yeye anakomaa na ufiti.
Ufiti wa nini wakati huelewi kesho?
"Being Tanzanian is not a problem, problem is being under CCM"
aliye fiti si akapigane na MAYWEATHER las vegas???????????????
Kweli mkuu au akajisajili stand unitedaliye fiti si akapigane na MAYWEATHER las vegas???????????????
Magufuli katika ubora wake
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji mdogo wa Katoro kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Mnadani, mkoani Geita.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuliakiwapungia mkono maelfu ya wakazi wa mji mdogo wa Katoro kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa anataka kuijenga Tanzania mpya ya Viwanda, pia katika serikali yake itaongeza maeneo ya wachimbaji wadogo na kuwawezesha ili waweze kuchimba vizuri.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Ndugu Joseph Msukuma akihutubia wakazi wa Katoro kwenye mkutano wa kampeni za CCM za kumnadi mgombea wa Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Umati wa wakazi wa Katoro ukifuatilia mkutano wa Dk. John Pombe Magufuli.
Lowasa akifanya hivo,ya geita yatakuwa ni mara mbili yake
Ni wazi kuwa hawa watu wameshaona hata wakinadi sera na ilani yao bado watu hawawaelewi. Kwa hiyo kilichobaki ni kufanya ukatuni na comedy mpaka uchaguzi fike, waibe kura, wakishindwa wasababishe fujo ili nchi itawaliwe kijeshi.
Vinginevyo nadhani ingekuwa poa sana kama hawa wangepiga na push ups za kichwani. Sidhani kama tunahitaji mabouncers ikulu, but it's obvious tunahitaji critical thinkers! Sasa what does it help kwa nchi, wanachama wanaomsindikiza na wengine wanaolinda shibe zao, kwa mgombea kupiga push up tatu kuthibitisha ufit wakati kichwani vijana wa Libya walimuua Saddam-Rais wa Kuwait? Nadhani katika kichwa hicho hicho raia wa Kuwait ni wavumilivu sana. Vinginevyo haiwezekani kabisa vijana wa Libya washawishiwe, mpaka wamwue Rais Saddam wa Kuwait halafu raia wa Kuwait wako kimya tu! (sijasikia vita ya Kuwait na Libya bado). Halafu wewe unapiga push up?
aliye fiti si akapigane na MAYWEATHER las vegas???????????????
Ikulu ni mahali patakatifu, sio sehemu ya pombe.
Halafu AWAMU ya Magufuli itajajenga kitu kinaitwa interchange pale ubungo.awamu hiyo imeshatuambia barabara hadi chalinze inapanuliwa hadi njia sitaJengo la Tanesco ubungo limejengwa kimakosa ndani ya hifadhi ya barabara. Kijana sheria ya Road reserve huijui? Tunahitaji Rais atakaye simamia SHERIA. Kumbuka SHERIA ni MSUMENO.