Mungu anapaswa sasa kuingilia klati.
Kuhusu ufunguzi wa account zote NBC nafikiri ni kutokana na jinsi benk husika ilivyobinafsishwa na pia benki nyingine ni ya huko afrikia ya kusini hivyo kuwa rahisi kufanya transactions zao.
Kuna haja ya kufuatilia kwa kina juu ya hii benki ya NEDBANK kwani huenda inafanya biashara chafu sana hapa afrika .
Pumba rubbish
View attachment 290441View attachment 290450 endeeeni kupiga push-ups
UBUNIFU WA UKAWA ZERO
Leo baada ya mgombea wa CCM Dr Magufuli kupiga pushapu huko mkoani Kagera,basi jamaa wa ukawa wooote wamepaniki hata kulala wanashindwa,kutwa leo wanatumia muda wao kupost vitu visivyo na maana kwa lengo la kum-dis MAGUFULI NA CCM,jaman huyu ndo alivyo,ni kiongozi mchapakazi,ukipaniki ya kupiga pushapu,sasa je ya kuendesha greda?au kupanda juu ya paa kukagua ujenzi si mtakufa jaman:Mi nafikiri mumshauri mgombea wenu nae awe mbunifu japo kesho nae atoe yake,labda apige msamba hivi au aruke kichurachura!Acheni jazba,laleni!pushap wala sio ishu,ni mazoezi tu ya afya!
Magufuli katika ubora wake
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuli akihutubia wakazi wa mji mdogo wa Katoro kwenye mkutano wa kampeni uliofanyika viwanja vya Mnadani, mkoani Geita.
Mgombea wa Urais kupitia CCM Dk. John Pombe Magufuliakiwapungia mkono maelfu ya wakazi wa mji mdogo wa Katoro kwenye mkutano wa kampeni za CCM ambapo aliwaambia wananchi hao kuwa anataka kuijenga Tanzania mpya ya Viwanda, pia katika serikali yake itaongeza maeneo ya wachimbaji wadogo na kuwawezesha ili waweze kuchimba vizuri.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Geita Ndugu Joseph Msukuma akihutubia wakazi wa Katoro kwenye mkutano wa kampeni za CCM za kumnadi mgombea wa Urais wa CCM Dk. John Pombe Magufuli.
Umati wa wakazi wa Katoro ukifuatilia mkutano wa Dk. John Pombe Magufuli.
Si ana PhD huyu mheshimiwa?
Mimi labda nifahamishwe tu, what point was he trying to prove, and why. Basi. Nisaidieni kujua hili.
UBUNIFU WA UKAWA ZERO
Leo baada ya mgombea wa CCM Dr Magufuli kupiga pushapu huko mkoani Kagera,basi jamaa wa ukawa wooote wamepaniki hata kulala wanashindwa,kutwa leo wanatumia muda wao kupost vitu visivyo na maana kwa lengo la kum-dis MAGUFULI NA CCM,jaman huyu ndo alivyo,ni kiongozi mchapakazi,ukipaniki ya kupiga pushapu,sasa je ya kuendesha greda?au kupanda juu ya paa kukagua ujenzi si mtakufa jaman:Mi nafikiri mumshauri mgombea wenu nae awe mbunifu japo kesho nae atoe yake,labda apige msamba hivi au aruke kichurachura!Acheni jazba,laleni!pushap wala sio ishu,ni mazoezi tu ya afya!
MTU wa namna hii anawezaje kuwa rais makini?
UKAWA tunawaambia kila siku, Ikulu sio Hospital ya Wagonjwa. Sasa mleteni Lowassa na yeye apige push ups tuone mwisho wako. Hii ndio habari ya Mjini.
LOWASSA HANA UWEZO WA KUPIGA PUSH UPS KAMA HAWA WAZEE WA KAZI
NYIE BEBENI MZIGO WENU KWA HELICOPTER MPAKA KIYAMA YENU OCTOBER 25
Kweli mwaka huu watanzania wanataka mabadiliko...
tatizo ni mtu nzima anayetarajiwa kuwa rais ambaye sote tuna imani na afya yake kwenda kupiga push up jukwaani. angelikuwa kasemwa mgonjwa ingekuwa nafuuMabadiliko bila kuwa na afya njema ni ndoto
Viva mr president magufuli
Na akiupata urais mawaziri watapigishwa push-up.. huyu jamaa hatufai hata kidogo.
Badala akomae na sera yeye anakomaa na ufiti.
Ufiti wa nini wakati huelewi kesho?
"Being Tanzanian is not a problem, problem is being under CCM"