britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 17,209
- 41,780
- Thread starter
-
- #21
hili laweza kuwa jibu piaKwakweli alianza vizuri sana ukitilia maanani kwamba uadilifu ndio karata iliyomuibua kutoka kusikojulikana
Ila nadhani kuna watu wanamshauri vibaya kwamba anaweza tatua matatizo ya wananchi kutumia shortcuts za maneno ya kisiasa badala ya kuyatatua matatizo kama yalivyo
Kuna uwezekano vile vile hali ya kutoaminiana (wenye mikia na waliokatwa)na makundi ktk chama kumemfanya sasa ajenge usuhuba na watu ASIOFANANA NAO
Mengi yanakuja
Cyo kweli,ni utawala usio wa sheria ndiyo unamwangusha. Hayo mengine ni kutafuta pakujifichia tu.Magufuli amefifia machoni kwa wazungu baada ya kuwakamata wezi wa dhahabu na makinikia pale bandarini. ndio walipoanza kumchukia na kutumika kwa vibaraka wa ndani (Mbowe, Zito, Tundu Lissu n.k.) kumchafua zaidi ili mataifa yamuone hafai.
Shallow reasoning Mr. P, (nisamehe rafiki mwema, nimekosa neno rahisi la kuweka) huyu ni dictator, madictator huwa hawapoi! Tafuta historia ya dictators wote, huwa ni ukatili mwanzo mwisho mpaka anapinduliwa au anakufa madarakani! Kwenye demokrasia and therefore no dictatorship, sheria , katiba vitakupunguza kasi ya kutaka kufanya anayoyafanya ya kuvunja sheria na Katiba!Kuna watu walidhani ni nguvu ya soda, hii ngoma iko vile vile hadi 2025, Magufuli ni yule yule juzi, jana, leo na hata...
Mimi nimeshauri hivi
PKwa kasi hii ya Magufuli, kuna haja Kufanya Uchaguzi wa Rais 2020?
Wanabodi. Kwa Kasi Hii ya Rais Wetu Mpendwa, Dr. John Pombe Joseph Magufuli na Falsafa yake ya "Hapa Kazi Tu", na kama hiki tunachokiona sasa, sio nguvu ya soda tuu, yaani ataendelea kwa kasi hii hii hadi 2020, kuna haja kweli ya kufanya tena uchaguzi wa rais?. Kwa maoni yangu, uchaguzi wa...www.jamiiforums.com
RweyeWanaomwona mbaya ndo yalikuwa majizi yetu, sasa ukionesha unawakatia line vipi watakupenda tena?
Mkuu The Retired, kwanza naomba kukiri ushallow kwenye reasoning. Nchi zote zilizopata maendeleo makubwa, maendeleo hayo yameletwa na viongozi madikiteta, angalia Tiger nations, no gain without pain.Shallow reasoning Mr. P, (nisamehe rafiki mwema, nimekosa neno rahisi la kuweka) huyu ni dictator, madictator huwa hawapoi! Tafuta historia ya dictators wote, huwa ni ukatili mwanzo mwisho mpaka anapinduliwa au anakufa madarakani! Kwenye demokrasia and therefore no dictatorship, sheria , katiba vitakupunguza kasi ya kutaka kufanya anayoyafanya ya kuvunja sheria na Katiba!
Wewe jamaa sometimes ni boya hasa, maneno ya vijiwe vya kahawa unaamisha watu, yaani mataifa yaache kuwatamani kina Obama, Clinton na Angalau Kenyatta ,Rais mwingi wa hekima, wamtamani mtu katili asiye hata na hekima eti awaongoze, akaue uchumi wao kama alivyoua uchumi wetu.Mwanzoni Rais wetu alipendwa sana na mpaka baadhi ya nchi zikatamani kumuazima akatawale kule kwa siku kadhaa au miezi kadhaa, hii ilileta picha kwamba ama Magufuli alikuwa anafanya vema mwanzoni au aliazna na vipaumbele ambavyo ni matataizo sugu ya nchi nyingi duniani mfano rushwa na uwajibikaji,
Tuwe wakweli Mpaka wapinzani wa hapo Tanzania akina mbowe na Lipumba walisema kwamba Magufuli anatekeleza ilani yao hafanyi ya kwake,
Zitto kabwe akafika hatua akasema sasa nchi ina rais kwa kweli,
Pale Kenya na nchi baadhi zilizoedesha uchaguzi baada ya Magufuli kuingia madarakani walitamani hata wale wanaenda kuwachagua wawe katika viatu vya Magufuli,
Pro Lumumba mpaka akaanzisha neno maarufu la Magufulification of Africa
Pale Autralia na Madagascar ilikuwa maandamano yakitaja kwamba tunataka kuwa na kiongozi kama Magufuli,
Ulaya walisema kuna kanchi kameibuka huko afrika kana Rais anaitwa Magufuli,
Magufuli Magufuli Magufuli aal over the world then
Je kuna jinsi alitafsiriwa vibaya mwanzoni baadae wakagundua kwamba siyo, au labda ameyafanya mazuri wakayazoea ikaonekana jambo la kawaida?
Au bado anakubalika kwa wale mnaotembea tembea huko?
BADO DUNIA INAMUONA MAGUFULI KAMA MWANZO? KAMA SIYO UNAHISI NINI KIMESHUSHA UMAARUFU HUO? NA JE ANGEFANYA NINI ILI ANEDLEEE KUAMINIKA KWA KILA MTU?
Siyo maneno yangu, Alafu uboya unajua kuutambua?Wewe jamaa sometimes ni boya hasa, maneno ya vijiwe vya kahawa unaamisha watu, yaani mataifa yaache kuwatamani kina Obama, Clinton na Angalau Kenyatta ,Rais mwingi wa hekima, wamtamani mtu katili asiye hata na hekima eti awaongoze, akaue uchumi wao kama alivyoua uchumi wetu.
Ni kweli nakumbuka hili bandikoMkuu The Retired, kwanza naomba kukiri ushallow kwenye reasoning. Nchi zote zilizopata maendeleo makubwa, maendeleo hayo yameletwa na viongozi madikiteta, angalia Tiger nations, no gain without pain.
Madikiteta wako wa aina nyingi, na Magufuli kweli ni dikiteta, hilo halina mjadala, ila huyu ni dikiteta mzalendo, anafanya udikiteta kwa nia njema na dhamira safi ya kulisaidia taifa.
Tanzania tulipofika, tulihitaji mtu kama Magufuli ili tuweze kusonga mbele.
PMagufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
Wanabodi, Angalizo. Neno dikiteta sio neno baya kama lengo la matumizi yake ni lengo jema. Tukisema Rais Magufuli ni dikiteta, hatumaanishi ni dikiteta katili kama Hitler, Musolini, au Iddi Amini, no way, Magufuli ni dikiteta mwema au dikiteta mzalendo anayeitwa a Benovelent Dictator!, kama...www.jamiiforums.com
Magufuli amefifia baada ya kuunda kundi lake la wasio julikana linalo teka, ua, poteza, piga risasi,............pia amefifia baada ya kuzuia wapinzani wasifanye siasa, kauli zake juu ya uzazi wa mpango, wanafunzi wanao pata mimba,.......Magufuli amefifia machoni kwa wazungu baada ya kuwakamata wezi wa dhahabu na makinikia pale bandarini. ndio walipoanza kumchukia na kutumika kwa vibaraka wa ndani (Mbowe, Zito, Tundu Lissu n.k.) kumchafua zaidi ili mataifa yamuone hafai.
Acha Ushabiki wa ajabu, nchi gani imtamani Magufuli hapa Duniani? Yaani waache kuwatamani viongozi reasonable wamtamani huyo?Siyo maneno yangu, Alafu uboya unajua kuutambua?
Sitapenda kuendelea kubishana na wewe kwa kuwa hatutafika consensusAcha Ushabiki wa ajabu, nchi gani imtamani Magufuli hapa Duniani? Yaani waache kuwatamani viongozi reasonable wamtamani huyo?
Labda alitamaniwa na Alshabab au Boko Haram
Tena baada ya kumaliza muda wake kikatiba aje mwingine wa mfano wake.Mkuu The Retired, kwanza naomba kukiri ushallow kwenye reasoning. Nchi zote zilizopata maendeleo makubwa, maendeleo hayo yameletwa na viongozi madikiteta, angalia Tiger nations, no gain without pain.
Madikiteta wako wa aina nyingi, na Magufuli kweli ni dikiteta, hilo halina mjadala, ila huyu ni dikiteta mzalendo, anafanya udikiteta kwa nia njema na dhamira safi ya kulisaidia taifa.
Tanzania tulipofika, tulihitaji mtu kama Magufuli ili tuweze kusonga mbele.
PMagufuli ni Dikiteta!, Tanzania ilihitaji Dikiteta, tumempata!. Atakayeleta Fyoko, Ataisoma Namba!
Wanabodi, Angalizo. Neno dikiteta sio neno baya kama lengo la matumizi yake ni lengo jema. Tukisema Rais Magufuli ni dikiteta, hatumaanishi ni dikiteta katili kama Hitler, Musolini, au Iddi Amini, no way, Magufuli ni dikiteta mwema au dikiteta mzalendo anayeitwa a Benovelent Dictator!, kama...www.jamiiforums.com
Mbio bado hazijafika ukingoni ndio maana watu wanalia alegeze vyuma fedha irudi mitaani.Mbio za sakafuni huishia ukingoni.
Sawa mkuuSitapenda kuendelea kubishana na wewe kwa kuwa hatutafika consensus