Magufuli & CCM angalieni hapa, kisha mjilinganishe!

DSC02900.JPG DSC02901.JPG DSC02902.JPG DSC02905.JPG DSC02900.JPG DSC02900.JPG DSC02900.JPG DSC02901.JPG DSC02902.JPG
Huko Ethiopia ni mbali, Mensa hapo Nairobi tu Uone manbo yanayofanyika
 
bro, hii siyo ulaya, ni africa hapahapa, ni ETHIOPIA nchi ambayo haiko mbali sana na bongo, walikuwa kwenye vita miaka kibao, lakini wanafanya haya, wako serious...ndo maana kagame alisema kama angekuwa rais wa tz angaifanya tz ulaya....wenzetu wangekuwa hapa wangekuwaje sasa....hii ni ethiopia, pale addis ababa...

Mkuu hiyo picha ya pili sio Africa acha kutuumiza shingo na kamba hizo duh! Hiyo Califonia kaka
 
Ahsante kwa kutufungua macho. Hizo za Ethiopia ni ahadi tu za kuwahadaa wananchi miaka nenda rudi kama CCM ili viongozi waendelee kujirusha kama kawa. Njaa kali hawana uwezo wa kujenga mpaka wakaombeombe kama baba Rz-One
Kenya tu ndio angalau wamefanya kweli na ile high-way yao (?Thika Road)
 
Mkuu wangu naona unacompare machungwa na maapple.

Nafikili si sahihi kufananisha nchi masikini na tajiri.

Usipofananisha (nadhani ulilenga 'comparison'), utajuaje kwamba moja ni maskini na nyingine ni tajiri? Machungwa na ma apple yote ni matunda.
 
Ama kweli Ethiopia ni nchi tajiri??? Kama huna cha kuchangia si ukae kimya???

Watu wengine wanakurupuka sana...Ingekuwa ethiopia ni nchi tajiri kusingekuwa na makundi ya wakimbizi kukimbilia Afrika Kusini. Ethiopia, Eritrea na Somalia ndio nchi zinazoongoza kutoa wakimbizi katika pembe ya Afrika. Pamoja na umasikini wa Tanzania, bado hatujawa na upuuzi wa kukimbia nchi yetu kwenda kubebeshwa mabox na kuzibua mitaro ng'ambo.
 
Hivi vitu vinafanyika na nchi ya Ethiopia, vyote hivi viko under construction, sio proposed kama vilivyopo hapa Tanzania.
Bwawa la kwanza litakuwa na megawatts zaidi ya 5,000, lingine ni megawats zaidi ya 1,800, alafu angalia barabara flyovers hizo,....

Hizo nimechukua chache tu, bado barabara kubwa za hela nyingi wanaunganisha na Kenya, na reli mpya inaunganisha na Kenya.

Pia wanachimba gas na kufaidia nayooo..... East Africa na Horn of Africa yote watz peke yetu ndo tunasuasua na kuwa nyuma, wengine wote wanapambana na backwardness kufa mtu.

...tuone aibu, na viongozi wetu waone aibu!

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php
acha kutuuza bana..sio vyote vinafanyika Ethiopia..kwa bwawa la umeme naeza kubali lakini hizo barabara unatudanganya.
 
Kuna mambo mengi ambayo tunaweza kuyafanya. Haina maana yoyote kuwa na watu ambao pato la ndani linaingia kwenye mifuko ya watu kwa asilimia ikaribiayo 31 *One billion dollar question* Tunahitaji sio mabadiliko ya kufikiri, tunahitaji kufanya mabadiliko halisi ya kuondoa chama kilichozoea madaraka na kuweka watu ambao watadiriki.
TRA haina mkakati na iko katika kufanya mambo kama utaratibu. Ninasikitika kuwa bado watu wameishia kufikiri juu ya suala la kuongeza bia, soda na sigara. Hakuna vision katika kukusanya na hivyo hakutakuwa na vision katika maendeleo; pole kwetu waTz.
 
Tuko katika mchakato

Sasa hivi Tanzania ina mpango mkakati wa program ya maendeleo mtambuka ya millenia twenty twenty! Mchakato uko kwenye hatua mbali mbali za utelelezaji!

Mtanzania akisikia propaganda za hivi anakuwa mpole ghafla! Maendeleo tutakuwa tunayasikia kwa wenzetu tu!
 
hizo za Ethiopia ni pesa za Al-shabab. usikurupuke fanya uchunguzi. hela zimetoka wapi

Kwa hiyo wewe ambae "hujakurupuka" unataka kusema nini? Kwamba Al-Shabab wanatoa pesa Somalia ili kujenga barabara Ethiopia (wakati hata zuzu wa mwisho anajua kuwa Al-Shabab na Ethiopia hawapikiki chungu kimoja wakaiva)?
Una akili wewe kweli? Si bora ukajinyamazia tu kama hujui?
 
Watu wengine wanakurupuka sana...Ingekuwa ethiopia ni nchi tajiri kusingekuwa na makundi ya wakimbizi kukimbilia Afrika Kusini. Ethiopia, Eritrea na Somalia ndio nchi zinazoongoza kutoa wakimbizi katika pembe ya Afrika. Pamoja na umasikini wa Tanzania, bado hatujawa na upuuzi wa kukimbia nchi yetu kwenda kubebeshwa mabox na kuzibua mitaro ng'ambo.

Aliekwambia hapa kuwa Ethiopia ni nchi tajiri ni nani zuzu wee? Hata kama umeshikiwa akili ndio ushindwe kutumia hizo kidogo unazoweza kuwa ulipewa na aliekuumba?
 
Hivi vitu vinafanyika na nchi ya Ethiopia, vyote hivi viko under construction, sio proposed kama vilivyopo hapa Tanzania.

Bwawa la kwanza litakuwa na megawatts zaidi ya 5,000, lingine ni megawats zaidi ya 1,800, alafu angalia barabara flyovers hizo,....

Hizo nimechukua chache tu, bado barabara kubwa za hela nyingi wanaunganisha na Kenya, na reli mpya inaunganisha na Kenya.

Pia wanachimba gas na kufaidia nayooo..... East Africa na Horn of Africa yote watz peke yetu ndo tunasuasua na kuwa nyuma, wengine wote wanapambana na backwardness kufa mtu.

...tuone aibu, na viongozi wetu waone aibu!

attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php


attachment.php

Nilidhani ndivyo magomeni itakavyokuwa. Kumbe ni kwa wenzetu!!!!!!!
 
Back
Top Bottom