Unamaana Ethiopia ni tajiri kuliko Tanzania? kweli utakuwa na utapiamulo wa akili!Mkuu wangu naona unacompare machungwa na maapple.
Nafikili si sahihi kufananisha nchi masikini na tajiri.
Kufanya kazi bila mipangilia inakuwa bure, tunawauliza akina Magufuli kwakuwa ndio tuliowapa dhamana ya kupanga, kutekeleza na kusimamia.hilo sio jukumu la magufuli na ccm pekee ni jukumu la wote.... tunatumia mda mwingi kwenye majungu na kujaji watu huku hatufanyi kazi
Kazi tunafanya mzee, ila tu hatujashika rungu, amini usiamini hawa jamaa hata kama tutafanya kazi namna gani kama hatuwashitui na kuwakumbusha wajifunze kwa wenzao waliopewa dhamana ya kuongoza, kushika mipesa yetu etc.hilo sio jukumu la magufuli na ccm pekee ni jukumu la wote.... tunatumia mda mwingi kwenye majungu na kujaji watu huku hatufanyi kazi
Sishangai jibu hili kuletwa na wewe kwa kuwa ni mnufaika mkubwa na ufisadi uliotamalaki nchini. Si ajabu ni mmoja ya waliokwenda China kununua sare za ATCL fisadi mkubwa.Wafa MAJI nyie, tulitegemea mtasema hivyo!
Msirudie kumshika BABA YENU sharubu
Nyambaf uuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.
Mkuu wangu naona unacompare machungwa na maapple.
Nafikili si sahihi kufananisha nchi masikini na tajiri.
Mkuu wangu naona unacompare machungwa na maapple.
Nafikili si sahihi kufananisha nchi masikini na tajiri.
ddis Ababa, April 26, 2012 (Addis Ababa) - Construction of the 80-km Addis Ababa-Adama Expressway, the first expressway in the country, launched with over eight billion Birr is well in progress, the Ethiopian Roads Authority (ERA) said. Communication Director with ERA, Samson Wondimu told ENA on Thursday that over 33.6 per cent of the construction of the Expressway has so far been completed. The expressway is being constructed by a Chinese Communications Construction Corporation (CCCC). In addition to its socio–economic benefits, the road will have a significant contribution in alleviating traffic jam and road accidents. The expressway, which is part of the five-year Growth and Transformation Plan, will significantly contribute to growth of the export sector through connecting Addis Ababa with Djibouti Port, he said. Construction of the expressway launched in April, 2010 is expected to be finalized in two years. The construction cost of the expressway is covered by the Ethiopian government and loan obtained from Exim Bank of China. There is a plan to construct similar expressway from Adama to Awash in the future. Adama is located southeast of Addis Ababa. | |