Magufuli bila madaraka yukoje?

Tunajadili hoja ya if I were a tree..., au kama Kikwete asingekuwa Mukuere, leo angekuwa wapi? Hatutakuja pata hitimisho zuri..

Lakini pia hapa kuna jambo moja zuri katika mada hii, nalo ni kuwa: tunamjadili Magufuli kwa sababu ametokeza kichwa chake juu...
 
Kaka (sijui dada) kwani hadi juzi tuu alipokosana na mabosi wake kuhusu bomoa bomoa hadi PM akamwambia go slow mzee na bomoa alikuwa anasimamia nini? Tatizo sisi tunafanya makosa na tunatafuta sympathy ya viongozi wavivu na wabadhirifu na wavinjaji wa katiba. Hii haiwezekani! Kiongozi ni Pombe ambaye kwa sehemu unamwona akisimama kidete. Tibaijuka nae alikuwa ameanza kwanvguvu hiyo japo kwa sasa havumi tena.... Kimsingi ni vibaya kama tunatafuta huruma za viongozi na tunaweza kuwatisha viongozi kuwa kama hufanyi jambo fulani sisi hatuwapi kura wakati mojawapo ya majukumu ya kiongozi ni kusimamia sheria. Sasa kiongiz asimamie sheriaon the expense of kura afahamike vile aua awakumbatie wavunja sheria (ambao si wengi kwenye jamii) ili waumie wananchi walio wengi?
Hatutaki sweeping statements, naomba utoe mfano wa sheria gani anazisimamia?
 
MImi nahisi wanaopinga utendaji wa Pombe Magufuli kwa mambo ya Kigamboni au hata bomoa bomoa wana lao jambo. Ni wavunja sheria. Ningependa kusikiliza wale wanaohoji mambo kama uuzwaji wa nyumba kwa maana ya yeye kujinunulia nyumba....but kwa haya tunayojadilia ya bomoa bomoa na ulipaji nauli Pombe yuko juu. Nampongeza na wala hateteleki! Pengine kutoteteleka kwake ndo kunaonekana kuwa ubabe. Natamani siku yakimzidi ajivue gamba na kusema kama PM na wengine wanamwambia go slow mzee yeye kama msimamizi wa sheria aji'ng'atue!
 

Usijifiche nyuma ya kauli za Magufuli, nataka wewe kama mchnguaji utaje hata sheia moja ambayo unadai kuisoma. Kitendo cha kushindwa hata kutaja jina la sheria husika kinadhihirisha wewe ni shabiki na tunapoteza mida kujadili na mashabiki.
 
Usijifiche nyuma ya kauli za Magufuli, nataka wewe kama mchnguaji utaje hata sheia moja ambayo unadai kuisoma. Kitendo cha kushindwa hata kutaja jina la sheria husika kinadhihirisha wewe ni shabiki na tunapoteza mida kujadili na mashabiki.
Sina uwezo wa kuzikariri sheria hizi kama afanyavyo Maghufuli mwenyewe. Nawashangaa mnaofahamu anazivunja/anazipindisha sheria za nchi kwa manufaa yake mnamwacha huku mkijua mahakama zetu ziko wazi kila siku ya kazi. Tungekuwa na Maghufuli wawili tu nchi hii mambo yangekuwa tofauti. Hajui kufisadi, kujilimbikizia mali, kutafuta vyeo kila mahali, hana makundi wala maswahiba,...
 
Mkuu MM pole kwa majukumu!
Mara zote nathamini na ninaheshimu sana michango yako lakini kwa hili la leo naona umeteleza kidogo. JPM ni kiongozi ambaye kwa CCM amejaribu japo kwa uchache kuonyesha uchapakazi kazi. Ni lazima tuelewe kuwa JPM sio malaika na kwa maana hiyo ana mapungufu mengine mengi ya kibinadamu kama ilivyo kwa watu wote. Kwa hiyo kitendo cha yeye kuwa na mapungufu katika utendaji wake sio cha ajabu. Lakini sioni kibaya ambacho JPM amekifanya na kwa hiyo ni lazima ajiuzuru.

Pamoja na hayo sioni mantiki yoyote ya wewe kutaka kujua Magufuli bila madaraka anakuwaje!? Its irrelevant! Ukijua anavyokuwa bila madaraka itakuwa na msaada gani! Wengi wetu tumemjua Magufuli akiwa na madaraka na amefanya aliyofanya! Cha msingi ni je akiwa na madaraka anafanya nini!? Kama ni hivyo tujiulize JK, Pinda, Makinda na mawaziri wengine wote bila madaraka wanakuwaje! Sijaona hoja yoyote ya msingi kwenye thread yako zaidi ya siasa! Tuwaache wanasiasa wenzake wapambane nae lakini sisi tuendelee kujadili hoja za msingi na sio kuchochea mambo yasiyo na msingi.

Kwa mtazamo wangu katika mawaziri wa JK, at least JPM ameonyesha umakini wa kufuatilia mambo ndani ya wizara yake hata kama kuna mapungufu kidogo.
 
Tatizo la Magufuli ni kutegemea utendaji wake.

Hana 'mtandao' wa ushindi huko CCM, hana waandishi 'njaa' wa kumpigia debe na kumpamba.

Yuko kivyake akichapa kazi bila kumwangalia nyani usoni. Na hii ndiyo inam cost
 
namfagilia kinoma magufuli ni mchapakazi na ni hodari mwenye kumlaumu ana chuki zake binafsi
 
Watanzania bwana!! kwanini mnamjadili Magufuli kujiuzulu???yaani na makala kabisa mmekaa ya kujadili Magufuli kujiuzulu????you guys!!! are you serious??mmekosa kabisa cha kujadili tz hii ya hovyo mpaka mnajadili kujiuzulu kwa Magufuli???na ndiyo mnaitwa sijui think tanks!!kweli?? hivi....ebu MMKJ naomba tu(kwa vile umeamua kujadili utendaji wa huyu waziri)..ebu tueleze ni waziri gani katika cabinet ya JK ambaye anamkaribia angalau Magufuli kiutendaji???just be frank alafu tueleze humu.....maana sasa naona imefikia tz kweli ule ukweli wa kwamba waziri anaezungumzia uvundo anabezwa na wale walioko kimya huku wakipiga siasa wakionekana wana nafuu....this is absolutely ridiculous yaani......Hivi..lets be frank...Magufuli anatofautiana na Rais na Waziri mkuu ambao wanaonyesha utendaji gani kwa wananchi wao kiasi cha kumfanya Magufuli awe na justification ya kujiuzulu????hawa Rais na Waziri mkuu wana maamuzi gani wamewafanyia watanzania kiasi cha kumfanya Magufuli awafanye wakose imani juu ya uwezo wake kiutendaji????...you guys...hizi siasa(tena on a personal level)hazitaisaidia tz kamwe.....kwa vie mmeamua kumjadili Magufuli on a personal level...pia mjadilini comparatively...yaani pia mlinganisheni na mawaziri wenzake ktk cabinet then mje humu na conclusion as to who is fairly supposed to resign ktk cabinet ya JK(kama si woote pamoja na rais wao....)......pevukeni wajamaa......
 
Those days!! Kwa sasa vipi?
 
nabashiri kuwa anajisikia vizuri, hasa ktk mada hii mengi ya content zake kwa sasa zipo dhahiri kabisa, hivyo mleta mada anafikiria vizuri.

Ninadhani humjui unayemzungumzia ndugu, jaribu kutafuta mada zake katika kipindi hiki cha utawala wa Uncle Magufuli utaelewa ninamaanisha nini.
 
Kila kitu kinaonekana sasa
mhmmmmmmmmm!!!!!!!! nadhani hautakuwa fair kuhitimisha kama mdugu chakaza pale juu kutokana na utofauti wa muda wa madaraka baina yao. mwaka 1 kwa 10,..............................?????????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…