Magufuli bila madaraka yukoje?



!
!
hii iliandikwa lini hii? huyu mwandishi alifunuliwa aiswe
 
Mwanakijiji alishasahau kama aliwahi kuandika kuhusu Magufuli. Saizi ameside nae. Njia moja saizi. Usimwamini mwanadamu kabla hajafa.
Hivi nyie chadema mmekuwa na akili gani? Kwani kuna kitu gani kibaya mwanakijiji kaandika kuhusu Magufuli? Alichosisitiza ndio kinaonekana leo.. Kapewa rungu na mnaisoma namba vibaka wote.
 
Ulitaka nje ya madaraka yap wakati tokea mwaka 1995 yuko ndan ya madaraka
 
Mwanakijiji alishasahau kama aliwahi kuandika kuhusu Magufuli. Saizi ameside nae. Njia moja saizi. Usimwamini mwanadamu kabla hajafa.
The most likely scenario ni kuwa kuna mahali amepata kutuliza njaa katika serikali hii. Kuna mahali humu amesema kuwa ukiwa na njaa unaweza kula bila kunawa! MWKJJ akaunga mkono sana. Please MWKJJ can you flashback your memories to this thread!
 
MM,siku hizi anazikana nyuzi zake kafika bei..lakini vitu vyake alivyokuwa akiongea ndo vinatimia kwa sasa ila yeye bado anajipinga kama Lipumba
 
MM,siku hizi anazikana nyuzi zake kafika bei..lakini vitu vyake alivyokuwa akiongea ndo vinatimia kwa sasa ila yeye bado anajipinga kama Lipumba
Ndiyo maana tunamshangaa. He was a man of critical analysis of issues! Njaa mbaya! It might be kama siyo yeye, kuna ndugu zake wamepata madaraka makubwa hivyoo njaa imepata mahali pa kuiganga! IT IS A PITY KUWA HANA TOFAUTI NA CHEYO NA MREMA NA BANA
 
Ninadhani humjui unayemzungumzia ndugu, jaribu kutafuta mada zake katika kipindi hiki cha utawala wa Uncle Magufuli utaelewa ninamaanisha nini.
Wewe ndio hujamwelewa mleta uzi. anaongea kwa lugha ya kinyume...
 

Mmmm...enzi hizo. Ni vema tukapata update ya hii mada kutoka kwa MMM mwenyewe...
 
Ndiyo maana tunamshangaa. He was a man of critical analysis of issues! Njaa mbaya! It might be kama siyo yeye, kuna ndugu zake wamepata madaraka makubwa hivyoo njaa imepata mahali pa kuiganga! IT IS A PITY KUWA HANA TOFAUTI NA CHEYO NA MREMA NA BANA
Katika vitu ambavyo vinanifanya nimkumbuke Nyerere ni kupinga UKANDA na UKABILA .
 
Mimi naamini kabisa mtu tofauti na MMKJJ sasa hivi akii copy hii thread na kuiweka kama thread mpya huyu huyu MMKJJ anaweza kuwa wa mwanzo kuipinga!

Pamoja na weight ya kutosha iliyobebwa na ujumbe huu bado huyo mzee kwa sasa ataipinga. Thanks kwa aliyeichimbua makala hii angalau inatukumbusha MMKJJ asiyechakachukuliwa anafananaje. We really miss him.
 
Pamoja na weight ya kutosha iliyobebwa na ujumbe huu bado huyo mzee kwa sasa ataipinga. Thanks kwa aliyeichimbua makala hii angalau inatukumbusha MMKJJ asiyechakachukuliwa anafananaje. We really miss him.
Msimamizi wangu wa ndoa aliasa kuwa " MWAMINI YESU PEKE YAKE" . Kweli mwanadamu si wa kuamini
 
Msimamizi wangu wa ndoa aliasa kuwa " MWAMINI YESU PEKE YAKE" . Kweli mwanadamu si wa kuamini

Wala si uongo mkuu. Katika surprises kubwa kabisa katika uchambuzi wa siasa nchini ya MMKJJ ni namba moja yangu. Mwakyembe hana la kunisurprise kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…