Magufuli avuruga mchoro wa Lowassa na CHADEMA!

Magufuli avuruga mchoro wa Lowassa na CHADEMA!

816b66bcfb918ec9ff266574a5f15813.jpg

Thawa tumekusikia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Lumumba bana, sijui bila nyinyi Dunia ingekuwaje... Weekend yangu iko saafi na vichekesho vyenu, haya wahi kwa Sizonje ukachukue buku 7 yako

Sent From Kisana Kiki Iphone
Duh. Yaani kila kitu ni kulipwa? Mkuu silipwi.
 
Ha! Ha! Ha! Leo mnamruka mkenya pekee aliyefika Chato kumpongeza Magufuli !
Mtamsoma Rais Magufuli kama bado kwamba Taifa kwanza urafiki baadaye. Na hilo anakitekekeza kwa maneno na vitendo. Mifano iko mingi kuthibitisha hilo, toka alipomtumbua rafiki yake hadi kuwatetemesha wawekezaji fisadi.

Endeleeni kufukuza kivuli chake.
 
Umetumwa wewe sio bure! Bahati mbaya ni kwamba uhusiano wa Odinga na Magu ni kama pembe la ng’ombe......halifichiki!
 
Mtamsoma Rais Magufuli kama bado kwamba Taifa kwanza urafiki baadaye. Na hilo anakitekekeza kwa maneno na vitendo. Mifano iko mingi kuthibitisha hilo, toka alipomtumbua rafiki yake hadi kuwatetemesha wawekezaji fisadi.

Endeleeni kufukuza kivuli chake.
Waambie pengine wewe hawatasema UMELIPWA.
 
Watakaa jukwaa moja wakati Kenyatta akiapishwa?

au mmoja wao ataingia mitini na kumtuma makamu wake?

TUSUBIRI tuone.
 
Kwakweli ni jambo la kushangaza upinzani wa Tanzania kusupport chama tawala Kenya. Wanakubaliana kwamba hata hapa Tz chama tawala kinapaswa kuendelea kutawala milele.
Ova

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika kampeni za kugombea urais nchini Kenya.LOWASSA na CHADEMA
walitaka kutumia tetesi zilizokuwepo kuwa Magufuli anamuunga mkono Raila Odinga.

Hivyo nao katika kulipiza uchungu wa kushindwa uchaguzi wakasema WATAAMUUNGA mkono Uhuru Kenyatta ili Magufuli asikie naye uchungu.

Lakini cha kushangaza ni kuwa Rais Magufuli AMETUMA haraka salamu za PONGEZI kwa rais Kenyatta kwa KUCHAGULIWA tena kwa MUHULA wa pili wa utawala wake. Mara tu zilipotangazwa.

Na hivyo KUSAMARATISHA KABISA mbinu za KUNGONISHA kati ya Serikali ya Tanzania na Kenya. Huku akiwaacha Chadema na Lowassa WAKISHANGAA wasijue nini cha kufanya.

Ikikumbukwa Lowassa alitoa waziwazi kauli yake na chama chake kuwa kinamuunga mkono Kenyatta(.....) NIA kubwa ilikuwa ni kwamba Rais Magufuli aonekane kuwa HAMPENDI Uhuru Kenyatta. Na pia aonekane kama ni Kiongozi asiyejua mambo ya
Utawala,
Prokali na
Diplomasia.

Lakini kwa HEKIMA na USHAURI aliopata akaamua kumpongeza Uhuru kenyatta HARAKA sana na kuwaacha CHADEMA na Lowassa wakishangaa tu wasijue nini cha kufanya.

Maana walikuwa wakifikiri Rais Magufuli ANGEJIKOKOTA kwa muda mrefu KUMPONGEZA Kenyatta katika ushindi wake.

Rais Magufuli aliangalia picha kubwa kati ya URAFIKI na MASLAHI ya NCHI. Na akachagua MASLAHI ya nchi/National Interests badala ya URAFIKI.
kwa Hilo tunampongeza sana.

ITABIDI basi Lowassa and Co. KURUDI kwenye drawing table/ Meza ya KUCHOREA maana MCHORO wao Magufuli AMEUVURUGA na sasa ni HISTORIA.
Hongera Magufuli kwa Hehima hiyo.
Vipi Museveni nae kutoa salamu ni za pongezi kwa Uhuru Kenyatta ni kvuruga mchoro wa mpinzani wake wa Uganda? Poor minds always come from weak person like u!
 
chadema hawajagundua tatizo liko kwao, assumptions zao na maamuzi yao
 
Uchochezi Huu
Hii Ramli Chonganishi Itatusaidia Nini?
 
Vipi Museveni nae kutoa salamu ni za pongezi kwa Uhuru Kenyatta ni kvuruga mchoro wa mpinzani wake wa Uganda? Poor minds always come from weak person like u!
POOR minds???? WEAK person?
You are out of touch of EA geopolitics. It is therefore not your fault but ignorance.
This could be caused by your lack of
insight in these things. Just hold your horse.
 
Back
Top Bottom