- Thread starter
- #101
Wanajuana hao.Hawezi kumshinda Jakaya, jamaa alimtumia Lowassa na kamkata ugombea uraisi 2015.
Wanajuana hao.Hawezi kumshinda Jakaya, jamaa alimtumia Lowassa na kamkata ugombea uraisi 2015.
Katika hilo la UKABILA sina comments.Nachojua Lowassa hakumuunga mkono Uhuru Kenyatta akiwakilisha Chadema. Ikumbukwe Lowassa ni kiongozi wa mila ya masai wa Tanzania na Kenya. Ukizingatia ukabila unavyotamalaki ktk chaguzi, huu ulikuwa ni mkakati maalumu wa kkuongeza kura za Wakikuyu kwa msaada wa Masai. Ndiyo maana alipandishwa jukwaani na vazi la kimila. Tunachoweza kumlaumu amesaidia kuendelea ukabila Kenya.
Alikuwa ndani ya muda wa kutoa pongezi/ Within the time frame.Ukiongelea haraka una maana gani? Magufuli katoa pongezi baada ya siku moja wakati Kagame, Kaguta na Nkurunzinza walitoa mara moja baada matokeo ya mwisho kutangazwa? Kuna kitu hakipo sawa sehemu
Sent using Jamii Forums mobile app
Ahsante ndo ilivyo mkuu.kabisa mkuu
Kupimwa MKOJO ni vizuri sana ktk kujua kama unatumia SUBSTANCES/VITU kama vile Madawa ya kulevya nk.Mijitu inayojihusisha na ccm ni ya ajabu sana, ndiyo maana eti inatafutackudhibitisha uchochezi kwa kupima mkojo!
At least hata kama mtu hatukubaliani. Neno umtu analotoa laonyesha ufahamu wake.Umeshindwa kujitofautisha na unayemtolea povu Chief!
Mkuu ndo hiyo niliyoandika.
Ukipita toa moja ama mbili hivi ya mtazamo wako.
Wewe unaona IQ yangu ni chini sana 72. to 80 na ikizidi kidogo ni 100 sivyo?Hizi thread nyingine zinatufikirisha sana kutaka kujua IQ ya aliyeiandika. Kukiwa na wengi wenye IQ ya kiwango hiki, tusahau kama nchi hii itakuja kupiga hatua ya maana katika maendeleo.
Sent using Jamii Forums mobile app
UKWELI unauma.Uchochezi Huu
Hii Ramli Chonganishi Itatusaidia Nini?
Sijakuelewa nataka kueleza nini hasa.Daah. Lumumba ni ndumila kuwili sana
Yaani angeshinda Odinga, bado mgemlamba viatu mwenyekiti wenu.
Hata hamuwezi kuhoji fundamental mistakes anazofanya
Sent using Jamii Forums mobile app
Siasa ndo ilivyo mkuu.Aaah siasa bhana
Nisahau kukuuliza hizo ndo wanalipwa huko?Haya n madhara ya kuuza utu wako kwa 7000
Thank you Mr highly PROFESSIONAL!You are still an amateur in politics. Mbona hata hapa raisi akishinda waupinzani anampongeza. Ulitaka amtukane?
Sent using Jamii Forums mobile app
How old are you??Hapo ndo unaishia? Pole sana. Shusha pumzi. Mambo huwaga hivyo
What has my age got to do with my comments?How old are you??