- Thread starter
- #41
Pointi imefika. "AMEMPONGEZA" Ni nini tena hujaelewa?
Pointi imefika. "AMEMPONGEZA" Ni nini tena hujaelewa?
Pointi imefika. "AMEMPONGEZA" Ni nini tena hujaelewa?
Hueleweki. Una maana gani?Kwani mnafiki ufanyeje?ujitanguliza kuficha unafiki wake.hapo hoja,ni nani alikuwa na wewe wakati wa shida.na,ninani alikuwa na adui yako.
Sent using Jamii Forums mobile app
Teh teh........ Ukweli utabaki palepale mkuu, naamini hata Uhuru anajua....Ndo maana nimesema warudi kuchora mchoro mwingine huu umeharibika.
Nashukuru kwa kuni rate hivyo. Hata hivyo ukweli unauma.Duu kama ccm inategemea watu kama mleta hii mada ni balaa, bora waendelee kuharibu elimu yetu ili wajinga waongezeke tu.
Pole sana. Elimu Elimu Elimu ni kitu muhimu sana kwa watanzania sie..Nashukuru kwa kuni rate hivyo. Hata hivyo ukweli unauma.
Hapa ndipo ulipoharibu na kuonyesha udhaifu wako.Lakini kwa HEKIMA na USHAURI aliopata akaamua kumpongeza Uhuru kenyatta HARAKA sana na kuwaacha CHADEMA na Lowassa wakishangaa tu wasijue nini cha kufanya.
Pole sana. Elimu Elimu Elimu. Hiyo yote ni ya Kikwete walisha ahidi kitambo ndio inamaliziwa kutolewa. Huyo wasasa si alisema Tanzania itakuwa inatoa misaada sio kuomba au umeshau, Ila sasa tunaomba misaada kwa Ethiopia na Waturuki..Jamani acheni matusi kwani Chadema wamefanikiwa kitu gani kama sio upumbavu tu!!! Huyo wakili wao alitangaza duniani Tanzania ya Magufuli inyimwe misaada sasa umeona? Magufuli haendi kokote kutembeza bakuli lakini wenyewe wanaleta misaaada wamewapuuza Chadema na ombi lao, jana tumeshuhudia Bill Gates alafu balozi wa Marekani wakimwaga misaada poleni sana Chalema!!!
URAFIKI wao ni sawa. Kile nichokizungumzia ni MASLAHI ya kama nilivyoeleza hapo juu.Haha haha unafiki tu! Odinga yuko njiani kuja chato kwa mapumziko!! Uhuru na Magu ni mwanga na giza havichangamani
UNAFIKIRI RAIS HURUPUKA tu jinsi ANAVYOWAZA bila "CONSULTATIONS"Hapa ndipo ulipoharibu na kuonyesha udhaifu wako.
Kama alitoa pongezi kutoka moyoni,ushauri
ulikuwa wa nini?
Hili nalo nenoo mkuu....sijui kama kunamwanga huko mbele....Sijui kwanini awamu hii kiwango cha ujinga kinaongezeka kwa kasi kubwa!
Hakuna tatizo ni njia ipi ama nia ipi.Ni lazima atume salamu za pongezi awe anataka au hataki hata kinafiki
Sent using Jamii Forums mobile app
UPI mkuu?Kweli Twaweza hawakukosea utafiti wao
Awamu hii ni ya watu WALIOAMKA.