Magufuli avuruga mchoro wa Lowassa na CHADEMA!

Magufuli avuruga mchoro wa Lowassa na CHADEMA!

Nachojua Lowassa hakumuunga mkono Uhuru Kenyatta akiwakilisha Chadema. Ikumbukwe Lowassa ni kiongozi wa mila ya masai wa Tanzania na Kenya. Ukizingatia ukabila unavyotamalaki ktk chaguzi, huu ulikuwa ni mkakati maalumu wa kkuongeza kura za Wakikuyu kwa msaada wa Masai. Ndiyo maana alipandishwa jukwaani na vazi la kimila. Tunachoweza kumlaumu amesaidia kuendelea ukabila Kenya.
 
anaongea nini huyu mtoa uzi, mbina nyingine zote anatoa kwa niaba ya watz lakini hii katoa pongezi yeye kama yeye sio kwa niaba ya watz

nitakuunga mkono pale utakapoacha chuki, ubaguzi na visasi
 
You are stupid true!
kwahiyo Magufuli kutuma salamu za pongezi ndio Lowassa na Chadema wasijue chakufanya?
Politics is an art. If you know how to ACT smart you put your opponent into DISARRAY.
If am STUPID as you allude then EXPLAIN IF there will be MORE COOPERATION between Lowaasa/Chadema. na UHURU KENYATTA.

Otherwise kama huelewi mambo ya kisiasa na mchezo wake then just shut up.
Let us be realistic.
Niite jina lolote. Lakini huo ndo ukeli wa mambo.
 
Ila we jamaa hamnazo[emoji2] [emoji2] [emoji2] kwaio ulidhani Ao Chadema waliyegemea magufuli asitume salaam kwa mteule mwenzie ndan ya Africa Mashariki!![emoji2] kumsapport uhuru sidhani kama nikigezo eti ionekane jamaa hampend uhuru, wamesupport coz uhuru nimiongon mwa viongoz africa walojitaidi kwene swala la demokrasia thus all.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila we jamaa hamnazo[emoji2] [emoji2] [emoji2] kwaio ulidhani Ao Chadema waliyegemea magufuli asitume salaam kwa mteule mwenzie ndan ya Africa Mashariki, ur very stupid!!!![emoji2] kumsapport uhuru sidhani kama nikigezo eti ionekane jamaa hampend uhuru, wamesupport coz uhuru nimiongon mwa viongoz africa walojitaidi kwene swala la demokrasia thus all.....

Sent using Jamii Forums mobile app
Calliing me "VERY STUPID" shows how LOW you can go and how uninformed politics expositions.
Kama huelewi basi usinitukane mkuu. Bali toa hoja yako hata iwe mbaya.
SITAKUTUKANA.
Huo ndo uungwana.
 
Nashauri Lowassa atume salam za pongez kwa rais Uhuru kwa niaba ya watanzania kwa maana tweet ya Magu ilikuwa ni ya individual na sio kwa niaba ya watz.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
ziko aina kuu mbili za pongezi:
1.za kinafiki
2. za kutoka moyoni.

Wasiasa wengi huchagua hiyo aina ya kwanza, mf ni hio pongezi ya magu

sent from servant of God

 
wewe ni hovyo kabisa,hukuwa na cha kuandika?au una hofu ya kukosa posho usipoandika chochote? kumpongeza mtu kunashida gani Hata kama ulikuwa humuungi mkono?Na je ,kumpongeza mtu kunaondoaje ukweli kwamba alikuwa akimuunga mkono hasimu wake? jaribu sana kuufikirisha ubongo wako.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama huelewi mambo ya kisiasa. Heri unyamaze. Inaonekana siasa unayojua wewe ni ile ya jukwaani. Hivyo uelewa wako inawezekana ni mdogo na si MPANA. Si kosa lako.
 
Back
Top Bottom