kookolikoo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2012
- 2,752
- 595
Ama kweli Tz ni shamba la Bibi; napata harufu ya malipo marefu namna hiyo kule Arumeru Mashariki kwa yule muwekezaji; ingawa nia yetu ni nzuri lkn ndio athari za mikataba zitakapo tupeleka"
tanzania inaliwa na wenye meno