KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 5,448
- 5,448
Hii taarifa ya April 2012, maelezo yako ni ya Oktoba 2018!watanzania bana... acheni kufata mkumbo... Rais yupo na ni mzima
View attachment 1238258
Hii taarifa ya April 2012, maelezo yako ni ya Oktoba 2018!watanzania bana... acheni kufata mkumbo... Rais yupo na ni mzima
View attachment 1238258
Acha roho mbayaWacha aumwe tu
Duuhh!Anaumwa Urais 2015 au Kubaki kwenye Cabinet?
Kumbe mlishajua kuwa jamaa atakuwa Raiswhat is happening to our president..au assassins wa magamba .......na kina ben pembe [silent killer] tayri wameingia kazini????...
confirm this news please ...its a serious note..
kumbe na ww bado upo humu jf miaka yotKumbe mlishajua kuwa jamaa atakuwa Rais


Kumbe mlikuwa mmeshamuandaa, alafu mwenyewe anasema alijaribu tu ku beepwhat is happening to our president..au assassins wa magamba .......na kina ben pembe [silent killer] tayri wameingia kazini????...
confirm this news please ...its a serious note..
wangoni wafanya yao, walitukananwa wapumbavu, inasemekana wamempiga mtu " busha"Hapa patamu sana..kila uzi unaoanzishwa kuhusu na kuumwa kwa mtukufu zinafutwa
Kupitia uzi huu naomba tupewe na tujadili juu ya taarifa za utaabani wa meko huko kusini
Aisee, inashangazaKumbe mlishajua kuwa jamaa atakuwa Rais
Kumbe ulimtakia nafuu!! Machozi yananitoka!!Namtakia nafuu....
Mungu awe nawe popote ulipo nafsi yako imedhulumiwa bila hatia..AmeenNamtakia nafuu....