Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,935
- 1,006
Namtakia John Magufuli kupona haraka.
Hapakuchi ntarudi na mchango kamIli toka ICU hilo ni jembe du isije kuwa km D Mwaky au Pro Mwando
get well soon but uache ubabe wa kijinga na kauli za kebehi!!
Get well soon Magufull! Nadhani ni presha ya jana bungeni! Wizara yake jana ililipuliwa miradi ya barabara imesimama hawana hela, hela ya budget wamelipa madeni, kuna mradi wanalipa 2bil per month as fidia kwa kusimamisha mradi, now it is 8 month.
Siku zote mhaya ni limbukeni na arrogant, hakuna kipya.
2.7Bil na hapo mradi umesimama, kudadadadadeki hii ni shamba ya Bibi