Tunamwombea apone haraka na aendelee na kazi asihofu chochote kwani kila kitu kwake kinawezekana. Lakini ni muhimu kujua/kuwa na taarifa ;Wengi wanapenda kuwafutilia watu hata pale ambapo haina umuhimu wowote
Je kuna nini kwa yeye kuugua? Je ni punda asiyeugua?
Kama mpenzi wako bora useme sioni ulazima wa wewe kumfuatilia kiasi hicho
Na nadharia mmoja imezoeleka na mnaona kila anayeugua basi kuna mtu/watu wamemzuru kwa kumziba je hali hii itaisha lini? Maana watu sasa wanapenda kuoanisha kila kitu na uchafu unaoendelea nchini
Kila kitu mafisadi hata wawe mafisadi mtapata dhambi bure kuwazania kila mara ni wao wamesababisha kuumwa
Hata mtu akila chakula cha hovyo mtaani na akawa anaharisha mtasema mafisadi!
Angalia sana maswali unayouliza na kupelekea watu kuendeleza dhana na kisha kudumaza mawazo ya wanajamii na kisha kukwaza maendeleo yao na kujenga woga katika maamuzi ya maendeleo
Last edited by haki na usawa; Today at 17:28.