Magufuli augua ghafla, alazwa

Magufuli augua ghafla, alazwa

Status
Not open for further replies.
Magufuli, get well immediately!
I rebuke the Devil in the name of Jesus!

pakajimmy.........remember ............Galatians 6:7 "Do not deceive yourself. God is not mocked. Whatever a man sow that he shall also reap."................and Colossians 3:25 " But he who has wronged, he shall be repaid according to what he has done, and there is no partiality."
 
attachment.php

Magufuli akiyabugia mataputapu ya babu wa Loliondo kwa Tshs 500/= kwa kikombe akifikiri atamchakachua Mwenyezi Mungu..........poor him...........

Kikombe cha babu naona hakijasaidia kitu

Magufuli angelikuwa anasoma maandiko matakatifu na kuwa dira ya maisha yake asingelikunywa yale mataputapu ya babu kwani Mwenyezi Mungu amesema katika Mathew 10:8 "Heal the sick, cleanse the lepers, raise the dead, cast out the demons. Freely you have received, freely give."

Magufuli angeligundua ya kuwa babu alikuwa tapeli kwa sababu hakuna malipo kwa miujiza ya Mwenyezi Mungu na ya kuwa Mwenyezi Mungu hawezi kuligeuka neno lake kama alivyosema kwenye Mathew 24:36 " Heavens and earth will pass away but my words will by no means pass away."

ongeza na Isaiah 40:8 "The grass withers, the flower fades but the word of our God stands forever."
 
Ukiangalia picha ambayo Makongoro kampigia Magufuri unawezi kuona kuwa Magufuli ana matatizo ya kiafya, hebu icheki hiyo picha

Makongoro na ulevi wake anaonekana ana afya kuliko Magufuli............
 
Tunamwombea apone haraka na aendelee na kazi asihofu chochote kwani kila kitu kwake kinawezekana. Lakini ni muhimu kujua/kuwa na taarifa ;Wengi wanapenda kuwafutilia watu hata pale ambapo haina umuhimu wowote
Je kuna nini kwa yeye kuugua? Je ni punda asiyeugua?
Kama mpenzi wako bora useme sioni ulazima wa wewe kumfuatilia kiasi hicho
Na nadharia mmoja imezoeleka na mnaona kila anayeugua basi kuna mtu/watu wamemzuru kwa kumziba je hali hii itaisha lini? Maana watu sasa wanapenda kuoanisha kila kitu na uchafu unaoendelea nchini
Kila kitu mafisadi hata wawe mafisadi mtapata dhambi bure kuwazania kila mara ni wao wamesababisha kuumwa
Hata mtu akila chakula cha hovyo mtaani na akawa anaharisha mtasema mafisadi!
Angalia sana maswali unayouliza na kupelekea watu kuendeleza dhana na kisha kudumaza mawazo ya wanajamii na kisha kukwaza maendeleo yao na kujenga woga katika maamuzi ya maendeleo
Last edited by haki na usawa; Today at 17:28.

haki na usawa..wengi ambao wanadai wameshughulikiwa na sumu ya mafisadi waongo wanaficha ukweli wa ya kuwa ukiwmi ndiyo unawapekecha.........
 
tunaposema mazingira ya hospitali zetu yawe mazuri hatumaanishi ni manufaa ya walala hoi pekee bali ni kwa wote waishio tanzania.
Ugua pole magufuli.
 
Habari za kitabibu kutoka dodoma zinasema waziri magufuli alazwa ktk chumba cha wagonjwa mahututi ktk hospital ya mkoa wa dodoma akisumbuliwa na ugonjwa wa kisukari(DM)..source..medical sources kutoka dodoma hosp.
 
Hapakuchi ntarudi na mchango kamIli toka ICU hilo ni jembe du isije kuwa km D Mwaky au Pro Mwando
 
wamcheki na damu kubwa na hali yake kama inayumba zaidi...:ballchain:
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom