Magufuli atoa pongezi kwa uhuru kenyatta

Magufuli atoa pongezi kwa uhuru kenyatta

Unaishi Marekani nini mkuu? Muulize Mwita Maranya na Yericko Nyerere.

Hao walikuwa na misimamo yao kibinafsi na wala si ya kichama.....hata YANGA wako washabiki wa MANUTD na ARSENAL.....sasa kama MANJI anashabikia ARSENAL haimaanishi wana YANGA wote ni ARSENAL...got it?
 
tuunge mkono chaguzi zikiendeshwa kwahaki bila hila. lasivyo tutakuwa tunapongeza vyanzo vya vurugu, mauaji etc
 
Waziri wa ujenzi bw. John Pombe Magufuli atoa pongezi zake kwa mshindi wa kiti cha uraisi nchini kenya ndg. Uhuru kenyatta huku akisisitiza kuwa bwa. Raila odinga si mwanasiasa mzuri bali ni mtendaji mzuri huku akionekana kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa bw. Uhuru kenyatta kwamba kenyatta ni mwanasiasa mzur ila hana uhakika na utendaji wake ila aahidi kuonyesha ushirikiano wake na watendaji wa nchini kenya na amewaomba wakena wadumishe amani na umoja wasihadaike na porojo zozote zile za uchochezi.

Wewe hii habari umeipata wapi? What is the source? Kwa uelewa wangu, Kikwete tayari ametuma/ametoa salamu za pongezi kwa Uhuru kwa kuchaguliwa kwake kuwa Rais wa nne wa Kenya. Sasa Magufuli ametuma hizo salamu za pongezi kwa jukwaa lipi? na kama nani?

Naomba kueleweshwa tu.

Tiba
 
CHADEMA walishindwa kusoma alama za nyakati.

Wakakurupuka kusema wao ni Odinga na CCM ni Kenyata. Wakafika mbali zaidi na kusema matokeo haoyo ya Kenya ni reflection ya 2015!

Mimi nawasupport matokeo ya Kneya ndio reflection ya 2015.

je waweza onyesh memorandum of understanding kati ta CDM na Odinga?
 
CHADEMA walishindwa kusoma alama za nyakati.

Wakakurupuka kusema wao ni Odinga na CCM ni Kenyata. Wakafika mbali zaidi na kusema matokeo haoyo ya Kenya ni reflection ya 2015!

Mimi nawasupport matokeo ya Kneya ndio reflection ya 2015.

very light thinking! wabongo tunapenda hoja nyepesi sana hatuumizi kichwa. mkuu kila situation ina analysis yake.
 
Waziri wa ujenzi bw. John Pombe Magufuli atoa pongezi zake kwa mshindi wa kiti cha uraisi nchini kenya ndg. Uhuru kenyatta huku akisisitiza kuwa bwa. Raila odinga si mwanasiasa mzuri bali ni mtendaji mzuri huku akionekana kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa bw. Uhuru kenyatta kwamba kenyatta ni mwanasiasa mzur ila hana uhakika na utendaji wake ila aahidi kuonyesha ushirikiano wake na watendaji wa nchini kenya na amewaomba wakena wadumishe amani na umoja wasihadaike na porojo zozote zile za uchochezi.

Source pls
 
very light thinking! wabongo tunapenda hoja nyepesi sana hatuumizi kichwa. mkuu kila situation ina analysis yake.

Maneno kama haya yamezoeleka sana hapa JF, inaonesha ni jinsi gani na wewe untaka kudhihirisha usemi wako kwa kuyarudia rudia tu, umiza kichwa na ww ufkirie cha kuandika.
 
Waziri wa ujenzi bw. John Pombe Magufuli atoa pongezi zake kwa mshindi wa kiti cha uraisi nchini kenya ndg. Uhuru kenyatta huku akisisitiza kuwa bwa. Raila odinga si mwanasiasa mzuri bali ni mtendaji mzuri huku akionekana kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa bw. Uhuru kenyatta kwamba kenyatta ni mwanasiasa mzur ila hana uhakika na utendaji wake ila aahidi kuonyesha ushirikiano wake na watendaji wa nchini kenya na amewaomba wakena wadumishe amani na umoja wasihadaike na porojo zozote zile za uchochezi.

Hivi kama kweli Pombe anatoa salamu hizo kama nani? Hivi huyu jamaa ni vipi? Mkuu wake keshatoa pongezi, yeye anajazilizia? Au ndo Rais wa 2015 anaanza kuweka mambo sawa? Pombe wacha cheap popularity
 
Waziri wa ujenzi bw. John Pombe Magufuli atoa pongezi zake kwa mshindi wa kiti cha uraisi nchini kenya ndg. Uhuru kenyatta huku akisisitiza kuwa bwa. Raila odinga si mwanasiasa mzuri bali ni mtendaji mzuri huku akionekana kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa bw. Uhuru kenyatta kwamba kenyatta ni mwanasiasa mzur ila hana uhakika na utendaji wake ila aahidi kuonyesha ushirikiano wake na watendaji wa nchini kenya na amewaomba wakena wadumishe amani na umoja wasihadaike na porojo zozote zile za uchochezi.

Mnafiki mkubwa huyu anang`ata na kupuliza kama panya
 
CHADEMA walishindwa kusoma alama za nyakati.

Wakakurupuka kusema wao ni Odinga na CCM ni Kenyata. Wakafika mbali zaidi na kusema matokeo haoyo ya Kenya ni reflection ya 2015!

Mimi nawasupport matokeo ya Kneya ndio reflection ya 2015.

mkuu umeua. uuuuuuuuuuwiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii. chademists kwisha habari yao.
 
Back
Top Bottom