Magufuli atoa pongezi kwa uhuru kenyatta

Magufuli atoa pongezi kwa uhuru kenyatta

Old Member (Retired)

JF-Expert Member
Joined
Sep 29, 2012
Posts
3,401
Reaction score
1,618
Waziri wa ujenzi bw. John Pombe Magufuli atoa pongezi zake kwa mshindi wa kiti cha uraisi nchini kenya ndg. Uhuru kenyatta huku akisisitiza kuwa bwa. Raila odinga si mwanasiasa mzuri bali ni mtendaji mzuri huku akionekana kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa bw. Uhuru kenyatta kwamba kenyatta ni mwanasiasa mzur ila hana uhakika na utendaji wake ila aahidi kuonyesha ushirikiano wake na watendaji wa nchini kenya na amewaomba wakena wadumishe amani na umoja wasihadaike na porojo zozote zile za uchochezi.
 
Huyu Waziri alikwenda kenya kipindi cha kampain kumsaidia Raila sasa imekuwaje tena?
 
Anaua noma!

attachment.php
 
CHADEMA walishindwa kusoma alama za nyakati.

Wakakurupuka kusema wao ni Odinga na CCM ni Kenyata. Wakafika mbali zaidi na kusema matokeo haoyo ya Kenya ni reflection ya 2015!

Mimi nawasupport matokeo ya Kneya ndio reflection ya 2015.
 
CHADEMA walishindwa kusoma alama za nyakati.

Wakakurupuka kusema wao ni Odinga na CCM ni Kenyata. Wakafika mbali zaidi na kusema matokeo haoyo ya Kenya ni reflection ya 2015!

Mimi nawasupport matokeo ya Kneya ndio reflection ya 2015.

Kama hujui maana ya urafiki baina ya vyama duniani na siasa za nje bora ukae kimya.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
 
Kama hujui maana ya urafiki baina ya vyama duniani na siasa za nje bora ukae kimya.


Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums

Naujua vizuri ndio maana nasuport kauli za CDM kuwa matokeo ya Kenya ni reflection ya 2015. Unapata tabu wapi?
 
CHADEMA walishindwa kusoma alama za nyakati.

Wakakurupuka kusema wao ni Odinga na CCM ni Kenyata. Wakafika mbali zaidi na kusema matokeo haoyo ya Kenya ni reflection ya 2015!

Mimi nawasupport matokeo ya Kneya ndio reflection ya 2015.

Bocho kama unawatakia BAN baadhi ya wanazi wa CDM mimi simo. Kwa kometi yako hii, tegemea unlike nyingi hasa za kimya kimya. Watu wamepeleka likizo akili zao, wanawaanza vyama vyao tu.
 
Huyu Waziri alikwenda kenya kipindi cha kampain kumsaidia Raila sasa imekuwaje tena?

Ni ngumu sana kwa wanasiasa wengi kwenda peponi maana mara zote huwa wanafiki kama huyu hapa ambaye anaongea maneno yasiyotoka moyoni. Kimbelembele chake cha kwenda kumkampenia Odinga sasa kinamtokea puani. ngoja tuone
 
CHADEMA walishindwa kusoma alama za nyakati.

Wakakurupuka kusema wao ni Odinga na CCM ni Kenyata. Wakafika mbali zaidi na kusema matokeo haoyo ya Kenya ni reflection ya 2015!

Mimi nawasupport matokeo ya Kneya ndio reflection ya 2015.
Una uhakika na unacho kinena??
Walisema wapi??
Ilikua lini?
Ilitoka kwa Chadema officers???
 
Waziri wa ujenzi bw. John Pombe Magufuli atoa pongezi zake kwa mshindi wa kiti cha uraisi nchini kenya ndg. Uhuru kenyatta huku akisisitiza kuwa bwa. Raila odinga si mwanasiasa mzuri bali ni mtendaji mzuri huku akionekana kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa bw. Uhuru kenyatta kwamba kenyatta ni mwanasiasa mzur ila hana uhakika na utendaji wake ila aahidi kuonyesha ushirikiano wake na watendaji wa nchini kenya na amewaomba wakena wadumishe amani na umoja wasihadaike na porojo zozote zile za uchochezi.

Hizo ni tantalila wakenya hawana hizo wao wanafanya kweli na kweli daima
 
ljazeera writes: Uhuru Kenyatta was educated in the US at Amherst College, where he studied political science and economics, Kenyatta is considered the top political leader of the Kikuyu people, Kenya's largest tribe making up some 17 percent of the population.

However, he also appeals to large numbers of Kenyans from different ethnic backgrounds, able to mingle not only with the elite he was born into but also with the average Kenyan, cracking jokes using local street slang.

While a leaked 2009 US diplomatic cable described him as "bright and charming, even charismatic", it also noted that he "drinks too much and is not a hard worker".
 
Waziri wa ujenzi bw. John Pombe Magufuli atoa pongezi zake kwa mshindi wa kiti cha uraisi nchini kenya ndg. Uhuru kenyatta huku akisisitiza kuwa bwa. Raila odinga si mwanasiasa mzuri bali ni mtendaji mzuri huku akionekana kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa bw. Uhuru kenyatta kwamba kenyatta ni mwanasiasa mzur ila hana uhakika na utendaji wake ila aahidi kuonyesha ushirikiano wake na watendaji wa nchini kenya na amewaomba wakena wadumishe amani na umoja wasihadaike na porojo zozote zile za uchochezi.
hakuna kukurupuka mkuu wana uhuru wa kuchagua ni nani wa kumsuport na nani wa kumuacha, chaguo lao lilikuwa sahihi japo odinga hakushinda, na sio chadema wote walikuwa kwa odinga tupo chadema wengi tuliokuwa upande wa kenyatha kwa sababu haukuwa msimamo wa chama kumshabikia odinga bali mapenzi
 
Waziri wa ujenzi bw. John Pombe Magufuli atoa pongezi zake kwa mshindi wa kiti cha uraisi nchini kenya ndg. Uhuru kenyatta huku akisisitiza kuwa bwa. Raila odinga si mwanasiasa mzuri bali ni mtendaji mzuri huku akionekana kumpaka mafuta kwa mgongo wa chupa bw. Uhuru kenyatta kwamba kenyatta ni mwanasiasa mzur ila hana uhakika na utendaji wake ila aahidi kuonyesha ushirikiano wake na watendaji wa nchini kenya na amewaomba wakena wadumishe amani na umoja wasihadaike na porojo zozote zile za uchochezi.

Mpaka saa za mchana IEBC ilikuwa haijatangaza rasmi mshindi, ujasiri wa kutuma salamu za pongenzi ameupata wapi? Nikweli takwimu zinaonyesha hivyo lakini mwenye uwezo wa kutangaza mshindi ni IEBC, imekuwaje atoe salamu za pongenzi kabla hajatangwa rasmi?
Kama nikweli kwamba Dr. Magufuli amempongeza saa sita za leo mchana nitashindwa kuamini uwezo wake wa kujua mambo.
 
Una uhakika na unacho kinena??
Walisema wapi??
Ilikua lini?
Ilitoka kwa Chadema officers???

Unaishi Marekani nini mkuu? Muulize Mwita Maranya na Yericko Nyerere.
 
Unaishi Marekani nini mkuu? Muulize Mwita Maranya na Yericko Nyerere.
Mkuu,
Hapa JF wapo wasemaji Official wa Chadema wanaojulikana, na pia wapo wapenzi wengine wa Chadema ambao tunaweza kuongea yetu ya moyoni lakini kama maoni yetu tu binafsi, na sio msimamo wa Chama.
 
Back
Top Bottom