Magufuli "atalazimishwa" na "wanyonge" akubali miaka saba

Magufuli "atalazimishwa" na "wanyonge" akubali miaka saba

Kipenzi Changu

Platinum Member
Joined
Aug 24, 2011
Posts
59,241
Reaction score
138,760
Huu mchakato usiutazame kwa jicho la kizembe-zembe. Utizame na ufuatilie kikamanda

Huu mchakato ni copy and paste kutoka kwa Paulo Kagame. Huu mchakato uko hatua za awali usidhani umefifia,nooo ndio kwanza kuni za kuwasha moto zinasanywa. Ninakupa experience ya ilikuwaje Kagame akabadilisha katiba kutoka miaka mitano mitano mpaka saba? Ilikuwa hivihivi anakataa-kataa, halafu wanyonge feki wanamlazimisha.

Mh. Juma Mkamia anajua anachokifanya, badala ya kumkebehi na kumdharau mnapaswa kumuandalia tuzo,zawadi ya ushindi. Subirini hoja yake ipewe nafasi ya kujadiliwa bungeni.

Mjadala huo utatumbuizwa na maandamano ya kumuunga mkono kutoka kwa "watanzania wanyonge". Kwanza itaanzia Dodoma. Wanyonge wa Dodoma wataandamano kumshinikiza rais akubali maombi yao. Halafu sauti zitapazwa na kuitikiwa na wanyonge kila mahali.

Hatima yake Rais ataheshimu kilio cha watanzania wanyonge waliokombolewa na John Pombe Joseph Magufuli toka mikononi mwa wapiga dili. Kwamba watanzania wanyonge wana nia njema na rasilimali za nchi.

Haaaaaaaa haaaaaaa. Msidhani kila mtu mshamba wengine tuna akili zetu na tutabaki kuona mbali siku zote. Msiseme sikusema
 
Tatizo ccm wote wameishakatwa mikia labda Wazee wa System ndiyo wataokoa jahazi kama sivyo EAC kwisheny kabisa kwenye life presidencies.


Poise, niko zangu Wellington nakula bata.
 
kuna siku nilijiuliza! hivi huyu ngamia ni kwanini hatumbuliwi kwa kukiuka agizo la rais, ya kuwa rais hapendezwi na wanaosema aongezewe muda wa kukaa madarakani, nikajua hii ni muvi!


@392612,
Mkuu,
Nami niliandika umu humu JF platform kuwa kama mtoto wa picha za hostel za UDSM alikamatwa kwa.matamko kutoka kila kina!!?

Iweje ngamia na Nyamagambile na wengine wa aina hiyo hawakamatwi kwa uchochezi wa kumsemea Rais kuwa anahitaji term extension and constitutional amendments!!

Hapa, system isipookoa jahazi just overnight hapo Tanzania, mtajikuta mko Zimbobo.

Poise, niko zangu Wellington nakula bata!!!
 
Mimi nasema unaijuwa skati nataka inambinu nyingi sana eidha uwe utaki kweli au unataka,, sasa kama hutaki kamata mchochezi au mpinga maamuzi yako peleka mahakamani, ila nakata maana yake utajifanya utaki kumbe unaanzisha mijadala ya chini chini ili kupima upepo alafu ukitumi kauli eti wao ndiyo wanataka nifanye ivo’ ili mshwada upitishwe bungeni wale wapiga kelele wasemee Ndiyooooooooooo matokeo yani mtani cheleweshea nafasi yangu ya Uraisi hapo Baadae
 
Hao wanyonge walionufaika na uongozi wake ni akina nani hebu wajitokeze watueleze walivyonufaika na utawala wake.
Je katika katika kunufaika huko unyonge wao umefikia level gani? Hapa hakuna cha wanyonge ila wanufaika na mfumo ndo wapiga zumari,akili za mashithole utazijua tu
 
Mimi nasema unaijuwa skati nataka inambinu nyingi sana eidha uwe utaki kweli au unataka,, sasa kama hutaki kamata mchochezi au mpinga maamuzi yako peleka mahakamani, ila nakata maana yake utajifanya utaki kumbe unaanzisha mijadala ya chini chini ili kupima upepo alafu ukitumi kauli eti wao ndiyo wanataka nifanye ivo’ ili mshwada upitishwe bungeni wale wapiga kelele wasemee Ndiyooooooooooo matokeo yani mtani cheleweshea nafasi yangu ya Uraisi hapo Baadae


BuletAngle ,

Mkuu,

Rwanda, walianza ivyo hivyo...

Mr. Slim, kakajifanya kuwa hakataki huo mjadala kahusishwe kakiwa kamekondeana kama unyasi wa Serengeti.

Ila badae sana kakaja na porojo eti "Wanyaru wakinitaka kuongezewa muda ,,, Mimi Kagame, , ni nani hata nikatae ombi la wanyaru na wananchi wanao nihitaji kuendelea kuwa kiongozi wao!!?"

Sasa jiulize, kilichowapata waliompinga wote kuwa asiongezewe muda utashangaa. Mr. Slim (Kagame), aliagiza wengi wao tunavyoandika hapa hawaishi tena, wengine wako jela za jeshi wanateswa na baadhi hata wanawajeshi waliokuwa kunyume cha hiyo issue walifukuzwa kazi.

Kwa hiyo, uwezekano wa same move used in Rwanda by Mr. Slim a.k.a Mr. Ngonhoti to be put into place in Tanzania its almost 99.9%.

By the way, hatuna Bunge la kupinga hiyo move kwa sasa hivi. Maana naona wakati huu ni wimbo wa kusifu na kuabudu tu kwa kila aliyekatwa mkia....

Kwa hiyo "Ndiyooooooo , zitakazotoka/siku hiyo zitafika kina zote za dunia kutoka Dodoma"

Poise, niko zangu Wellington nakula bata!!
 
Heheeee " Håka kamchezo twafanyiwa...... ili baadae Ije kuonekana kama wanyonge ndo wamemtaka aongeze muda wa kukaa madarakani.
 
Trump alisha twambia upuuzi wa kulialia utazimisha kwenye shitholes...!

Watanzania tusipo amka tutakojolewa kichwani tunachekacheka tuuh.
 
BuletAngle ,

Mkuu,

Rwanda, walianza ivyo hivyo...

Mr. Slim, kakajifanya kuwa hakataki huo mjadala kahusishwe kakiwa kamekondeana kama unyasi wa Serengeti.

Ila badae sana kakaja na porojo eti "Wanyaru wakinitaka kuongezewa muda ,,, Mimi Kagame, , ni nani hata nikatae ombi la wanyaru na wananchi wanao nihitaji kuendelea kuwa kiongozi wao!!?"

Sasa jiulize, kilichowapata waliompinga wote kuwa asiongezewe muda utashangaa. Wengi tunavyoandika hapa hawaishi tena, wengine wako jela za jeshi wanateswa na baadhi hata ya wanawajeshi waliokuwa kunyume cha hiyo issue walifukuzwa kazi.

Kwa hiyo, uwezekano wa same move to be put into place in Tanzania its almost 99.9%.

Poise, niko zangu Wellington nakula bata!!

Unajuwa mkuu sisi watanzania tunashinikizwa kwa mambo ya ajabu sana Mimi maono yangu tukitaka ukweli wa hili jambo wawaite hao wanyonge wao alafu wafunge vifaa vya upigaji uwe wa fingure print Alafu waone ukweli uko wapi.
 
Wanyonge hawa waliofukuzwa kwa vyeti fake bila kulipwa mafao yao, uku bashite ana baki?
Au wanyonge waliobomolewa nyumba zao?
Wanyonge hawa ambao kila siku wanatuhumiwa kwa uchochezi?
Wanyonge hawa wanaokamatwa sababu watoto wao wamepewa mimba na wahuni ambao yeye anawatoa jela wabakaji?
Au wanyonge waliokosa pakusemea matatizo yao sababu media zote zinatishiwa?
Eee mola tuepushe na hili balaa km kuna uwezekano kikombe hiki cha mateso ukakiondoa mapema Fanya hivyo haraka tupumue.
 
Back
Top Bottom