Silentobserver007
Member
- Jun 26, 2015
- 69
- 30
Asahau kuingia ikulu hatuwezi kumpeleka ikulu mtu mropokaji na mwenye kujaa mihemko
kiongozi lazima awe na hekima
Mbona ukawa mna mihemko ila hatusemi? Tena mihemko haswaaaaa yenye mahaba na yule mlikuwa mnaambiwa ni fisadi mpaka gia ilipobadilika angani?