jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Trilioni zimeyeyuka kwa mujibu wa watetezi wa mafisadiNi kweli anawanyosha, ndio maana kwa mara ya kwanza trilioni imeyeyuka hivi hivi under his watch...ni kutesa kwa zamu!
Trilioni zimeyeyuka kwa mujibu wa watetezi wa mafisadiNi kweli anawanyosha, ndio maana kwa mara ya kwanza trilioni imeyeyuka hivi hivi under his watch...ni kutesa kwa zamu!
Ni kweli....kama nyumba za serikali zilivyoyeyuka, kama kivuko chakavu kilivyoyeyuka! Oops, ni kwa mujibu wa watetezi wa mafisadi.Trilioni zimeyeyuka kwa mujibu wa watetezi wa mafisadi
Bado yote hayo ni kwa mujibu wa watetezi wa mafisadi waliokuwa hawapendi aingie madarakani na kuanzisha tuhuma hizo za uongo.Jembe kaingia na amewanyoosha mafisadi vilivyo.Ni kweli....kama nyumba za serikali zilivyoyeyuka, kama kivuko chakavu kilivyoyeyuka! Oops, ni kwa mujibu wa watetezi wa mafisadi.
jingalao, jingalao, jingalao...ndugu yangu amka la sivyo utabaki peke yako. Watanzania wamezinduka na ghafla wanaamka na kugundua kwamba tunakoelekea siko. Watu wanamkimbia jiwe ukiacha wachache ambao hata sasa akimkaba mtu hadharani na kumnyonga bado watabaki naye. Hebu cheki hata humu ndani ya JF, idadi yenu inapungua siku hadi siku na mtaani ndio usiseme. Usije ukalalamika hukuonywa, shauri yako.Bado yote hayo ni kwa mujibu wa watetezi wa mafisadi waliokuwa hawapendi aingie madarakani na kuanzisha tuhuma hizo za uongo.Jembe kaingia na amewanyoosha mafisadi vilivyo.