James Hungury
JF-Expert Member
- Jun 8, 2013
- 825
- 612
I Vote Magufur,stoweza Kumchagua Mtu Kama Lowasa,acha Nionekane Mjinga Kwa Walio Wajinga,ambao Wanadhan Wataletewa Pesa Mlangon Na Lowasa,bt For Sure I Have A Trust In Magufur Nt Ccm,
Mgombea wa urais kupitia CCM, Dr Magufuli amezidi kupigilia msumali kwa mafisadi wote akisema ni lazima wachukuliwe hatua za kisheria.Hali hiyo imekuja mara baada ya tetesi kuwa fisadi waliokimbia CCM wako mbioni kurudi,hivo Magufuli kasema chama chake hakitakuwa tayari kupokea mafisadi bali kitawashughulikia vikali.
Huu ndio mwisho wa upeo wako wa kufikiri, unashangalia Jobs cut wakati miezi ya wazazi kulipa school fees imekaribia, huyo Magufuri wako ana uwezo wa kuwapa hawa ajira? kenge wahed, unashangilia idadi ya majobless kuongezeka?Baadhi ya wafanya biashara wameshaanza kufunga biashar na kuwachia watanzania wafanye biashara
home shopping centre na uchumi super market
hii ni baada ya kujiridhisha kuwa magufuri anashinda;
hsc na uchumi wameshasepa .
Na bado hapakazi tu.
Mafisadi yao jela
Hivi undhani mafisadi wanaweza kumuogopa mtu mshamba
Baadhi ya wafanya biashara wameshaanza kufunga biashar na kuwachia watanzania wafanye biashara
home shopping centre na uchumi super market
hii ni baada ya kujiridhisha kuwa magufuri anashinda;
hsc na uchumi wameshasepa .
Na bado hapakazi tu.
Mafisadi yao jela
Baadhi ya wafanya biashara wameshaanza kufunga biashar na kuwachia watanzania wafanye biashara
home shopping centre na uchumi super market
hii ni baada ya kujiridhisha kuwa magufuri anashinda;
hsc na uchumi wameshasepa .
Na bado hapakazi tu.
Mafisadi yao jela
Baadhi ya wafanya biashara wameshaanza kufunga biashar na kuwachia watanzania wafanye biashara
home shopping centre na uchumi super market
hii ni baada ya kujiridhisha kuwa magufuri anashinda;
hsc na uchumi wameshasepa .
Na bado hapakazi tu.
Mafisadi yao jela
Nikimbie jukwaa kwa sababu gani? Nilijiamini fisadi Lowasa akiwa CCM. Na sasa sina mashaka akiwa Upinzani. Ameshapigwa mapemaa ndo maana kila kona anahaha kusaka kuraLizaboni nakuonea huruma utakavyokimbia jukwaa. Na ukija na id nyingine tutakugundua tu
Fisadi Lowasa ni miongoni mwa watakaoshtakiwa kwa siku za mwanzo na kufungwa fasta fasta. Taarifa zote za mashtaka zimeandaliwaTutakimbiana humu lizaboni na maneno yako hayo lowasa ni rais mpaka sasa kura tu zimebaki kumthibitisha kama huamini wait tarehe 27
Kwani kuna nyumba ya serikali imeibiwa?Ingependeza aanze na mijizi ya nyumba za serikali