Najua mafisadi wakiona uzi kama huu mioyo inawapasuka na wanafuta kwenye simu zao haponhapo kabla ya kusoma.Ukweli usio pingingika jitu lenye kusimamia sheria na taratibu za uendeshaji wa serikali halina mchezo. Leo anawachekea ngoja kesho muone atakavyowageuka.
Mnajifanya ooh tatizo ni mfumo mfumo mfumo, ngojeni aingie ikulu ndio mtajua mfumi ni nini. Najua wapinzani tumeendelea kutumia kisingizio vha mfumo mfumo mfumo mfumo tukijifanya lengo kuitoa CCM, lakini ukweli wwnyewe ni kukwepa ajenda ya ufisadi ili tuwakumbatie watuletee mahela mabilioni nasisi tuneeemeke. Tumemfilisi mzee wa watu bure kwa manufaa binafsi.
Tafakari chukua hatua
Wananchi itakapofika tarehe 25.10.2015 tujitokeze kwa wingi kwa ajili ya kufanya maamuzi sahihi, maamuzi ambayo yatatufanya kujua kwa undani ufsadi wote uliotokea, Mimi nimekwisha Fanya maauzi ya kupigia mabadiliko.
Wenzangu mnasemaje.
gooooood
Watanzania wa leo Hawawezi Kumchagua Magufuli Kwenye Nafsi ya Urais. Chaguo la Watanzania Ni Lowassa; Magufuli Ni
Chaguo la Viongozi Wachache Wenye Maslahi binafsi Ndani ya CCM.
Kuna kila dalili za wanaohusika na ubadhilifu wa feza za umma baada ya Dr Magufuli kuingia madarakani wanaweza kutimukia Ughaibuni ili kukwepa mkono wa Sheria. Ikumbukwe Rais Magufuli katika kampeni zake ameahidi kuanzisha chombo maalumu kwa ajili ya kushughulika na wabadhilifu hao, Je ni kweli watatimukia Ughaibuni au Laa??
Magufuli kweli ndiye rais maana hapendwi na walaji wa Unga