Siku hizi, kipimo cha Kimataifa cha mvuto wa mtu au huduma yoyote, ni LIKES ZA FACEBOOK! Wakati huu ninapoandika, LIKES ZA FACEBOOK za wafuatao, ni hizi hapa:
1.Bishop Zachary Kakobe International Ministries - 139,490;
2.Jakaya Kikwete - 61,703;
3.ITV Tanzania - 56, 413;
4.Mwananchi Communications Ltd - 33,100;
5.Habari Star TV Tanzania - 30,746;
6.John Pombe Magufuli - 1,411;
7.Edward Ngoyai Lowassa - 792.
Hapa kunajambo la kujifunza.
Source:YouTube
[TABLE="width: 292"]Siku hizi, kipimo cha Kimataifa cha mvuto wa mtu au huduma yoyote, ni LIKES ZA FACEBOOK! Wakati huu ninapoandika, LIKES ZA FACEBOOK za wafuatao, ni hizi hapa:
1.Bishop Zachary Kakobe International Ministries - 139,490;
2.Jakaya Kikwete - 61,703;
3.ITV Tanzania - 56, 413;
4.Mwananchi Communications Ltd - 33,100;
5.Habari Star TV Tanzania - 30,746;
6.John Pombe Magufuli - 1,411;
7.Edward Ngoyai Lowassa - 792.
Hapa kunajambo la kujifunza.
Source:YouTube
Nilichojifunza ni kwamba ww ni Lofa, unayesema ITV ni bora kuliko Migufuli. Kura zinapigwa kitaifa na sio kimataifa Mpumbavu mkubwa ww.Siku hizi, kipimo cha Kimataifa cha mvuto wa mtu au huduma yoyote, ni LIKES ZA FACEBOOK! Wakati huu ninapoandika, LIKES ZA FACEBOOK za wafuatao, ni hizi hapa:
1.Bishop Zachary Kakobe International Ministries - 139,490;
2.Jakaya Kikwete - 61,703;
3.ITV Tanzania - 56, 413;
4.Mwananchi Communications Ltd - 33,100;
5.Habari Star TV Tanzania - 30,746;
6.John Pombe Magufuli - 1,411;
7.Edward Ngoyai Lowassa - 792.
Hapa kunajambo la kujifunza.
Source:YouTube
Siku hizi, kipimo cha Kimataifa cha mvuto wa mtu au huduma yoyote, ni LIKES ZA FACEBOOK! Wakati huu ninapoandika, LIKES ZA FACEBOOK za wafuatao, ni hizi hapa:
1.Bishop Zachary Kakobe International Ministries - 139,490;
2.Jakaya Kikwete - 61,703;
3.ITV Tanzania - 56, 413;
4.Mwananchi Communications Ltd - 33,100;
5.Habari Star TV Tanzania - 30,746;
6.John Pombe Magufuli - 1,411;
7.Edward Ngoyai Lowassa - 792.
Hapa kunajambo la kujifunza.
Source:YouTube
Magufuli huyu huyu anayepitwa kuongea kiingereza na mwanangu wa darasa la 4?labda ameshinda kimataifa katika kukagua mitaro
siku hizi, kipimo cha kimataifa cha mvuto wa mtu au huduma yoyote, ni likes za facebook! Wakati huu ninapoandika, likes za facebook za wafuatao, ni hizi hapa:
1.bishop zachary kakobe international ministries - 139,490;
2.jakaya kikwete - 61,703;
3.itv tanzania - 56, 413;
4.mwananchi communications ltd - 33,100;
5.habari star tv tanzania - 30,746;
6.john pombe magufuli - 1,411;
7.edward ngoyai lowassa - 792.
Hapa kunajambo la kujifunza.
wewe unayesema magufuli hawezi kuwa rais nani kakwambia kama siyo mpango mzima wa kutumiwa na wanasiasa uchwala ili kuchafua wanasiasa wengine, na hii imeonesha wazi kuwa wewe unatumiwa make mleta mada kaongelea suala la umaarufu halafu wewe umekimbilia suala la urais nani kakuuliza kama siyo kutumika hovyo angalia mtakutwa na kiama mkiwa bado mnatumika kutetea wanasiasa uchwala umeshidwa nini kuchangia kwa mujibu wa mada husika hadi unadakia urais.