Magufuli amshinda Lowassa umaarufu kimataifa!

Magufuli amshinda Lowassa umaarufu kimataifa!

Mwamakula

JF-Expert Member
Joined
Nov 7, 2010
Posts
1,890
Reaction score
384
Siku hizi, kipimo cha Kimataifa cha mvuto wa mtu au huduma yoyote, ni LIKES ZA FACEBOOK! Wakati huu ninapoandika, LIKES ZA FACEBOOK za wafuatao, ni hizi hapa:
1.Bishop Zachary Kakobe International Ministries - 139,490;
2.Jakaya Kikwete - 61,703;

3.ITV Tanzania - 56, 413;
4.Mwananchi Communications Ltd - 33,100;
5.Habari Star TV Tanzania - 30,746;
6.John Pombe Magufuli - 1,411;
7.Edward Ngoyai Lowassa - 792.
Hapa kunajambo la kujifunza.
 
magufuli pombe, hata akiwa maarufu vipi hawezi kuwa raisi wa tanzania. huyu jamaa ni mtendaji na wala sikiongozi kwani hana busara na mlipa visasi

wewe unayesema magufuli hawezi kuwa rais nani kakwambia kama siyo mpango mzima wa kutumiwa na wanasiasa uchwala ili kuchafua wanasiasa wengine, na hii imeonesha wazi kuwa wewe unatumiwa make mleta mada kaongelea suala la umaarufu halafu wewe umekimbilia suala la urais nani kakuuliza kama siyo kutumika hovyo angalia mtakutwa na kiama mkiwa bado mnatumika kutetea wanasiasa uchwala umeshidwa nini kuchangia kwa mujibu wa mada husika hadi unadakia urais.
 
Wa TZ upambe na udalali wa kisiasa unawagharimu sana.Hamjifunzi kwa wenzenu waliopita,wana hali duni ki maisha,ni ulemavu mkubwa kuwa kuwadi wa kisiasa.
 
umesahau

EATV-117,549 likes
Tanzania Tourism Board-60,775 likes
Fastjet- 53,413 likes
Precisionair-40,201 likes
 
Maghufuli anajitahidi kiutendaji, ingawa ni mzee wa kujipendekeza kwa mkuu wa kaya! Kashfa za RICHARD wa MONDULI ndo zilimuua Lowassa ingawa naye alikuwa jembe(i appreciate him).
 
JAMAN NYIE VBARAKA WA MDMU LOWASA NI TSHIO NAONA MMEONA MJARBU KUMLNGANISHA NA MZEE WA VSASI MKURUPUKAJI MAGUFULI MBONA GOROFA LA TANESCO HAJALISHUSHA....CHATO Kwa magufuli MADIWAN WA SEHEMU MUHMU NI WA CHADEMA NAONA (HUYU ANAYEJIITA BUNGENI) UMEHAMA KWA MDIMU UMEHAMIA KWA MAGUFULI KAMA LIKE ZA FACEBOOK NA JF NDIO SOURCE YA KUPENDWA BASI KAKOBE ALITAKIWA AWE RAIS WA TZ MAGUFULI MKURUPUKAJI NA ANA UWEZO WA KUONGOZA
 
Like yangu kwa lowasa ipo fb mbona kuna page inaitwa Mnzasi bootyliceous ni ya kingono ngono tu ina member wakutosha kulko hao wote mliowataja?
 
Siku hizi, kipimo cha Kimataifa cha mvuto wa mtu au huduma yoyote, ni LIKES ZA FACEBOOK! Wakati huu ninapoandika, LIKES ZA FACEBOOK za wafuatao, ni hizi hapa:
1.Bishop Zachary Kakobe International Ministries - 139,490;
2.Jakaya Kikwete - 61,703;

3.ITV Tanzania - 56, 413;
4.Mwananchi Communications Ltd - 33,100;
5.Habari Star TV Tanzania - 30,746;
6.John Pombe Magufuli - 1,411;
7.Edward Ngoyai Lowassa - 792.
Hapa kunajambo la kujifunza.


Source:YouTube

hata bi Clinton alikuwa mashuhuri kuliko Obama wakati wanaanza. unajua nini kilifuata?
 
Umaarufu wa lowassa ingia kwa website ya wiki leaks utakuta kila aina ya uchafu na ufisadi alioufanya
 
Kipimo cha uwongo. Jiulize amewahi kutembelewa na nani au kualikwa na nani? Aweke passport yake hapa uone aibu.
 
Back
Top Bottom