Eti kachuja? Kachuja saizi kona zote wanamuishi Magufuli yuko tu akili mwa watu.Mwanzoni mwa utawala wake ilikuwa kila gazeti linamwandika yeye tena vizuri. Vijiwe vyote kuanzia vya kahawa, daladala, bar na maofisini story alikuwa ni yeye tena watu wakimsema kama malaika mkombozi.
Ghafla upepo ukabadilika, watumishi wakaanza kukosoa utumbuaji majipu, wafanyabiashara wakakosoa mbinyo wake kwenye kodi, wanasiasa wakahoji style yake ya uongozi. Wananchi wa kawaida wakanigwa na maisha magumu (ingawa hawa bado wamebakiza kaimani fulani). Vyombo vya habari wanalalamikia kuminywa uhuru wao.
Kiujumla upepo unavuma vibaya kwa JPM naye ameshakiri ugumu wa kiti chake mpaka akasema angejua asingegombea urais. Je, rais wetu amekosea wapi mpaka hali imegeuka mapema hivyo?
Ha! Ha! Haaa !!!!!wewe ndiyo umechuja, trust me
Mimi hata kusikia sauti yake nasikia kuumwa mwili mzima.ndio nimeamua sitaki tena kuangalia TV maana naweza kumuona ghafla halafu nikapata pressurewewe ndiyo umechuja, trust me
Hii ni adhabu ya udhaifu wa Ccmtumeshaingia chaka .... sijui tufanyeje
Kachuja Sana savimbi usijitoe ufahamu.Eti kachuja? Kachuja saizi kona zote wanamuishi Magufuli yuko tu akili mwa watu.
Ukisikia kulamba garasa ndo hukutumeshaingia chaka .... sijui tufanyeje
Zile push ups na waliozishangilia walionyesha upeo mdogo sana wa kufikiriUrais ni fikra sio nguvu,pushups ziliashiria matumizi ya nguvu.
Urais hautaki mabishano na asiyekuwa rais.
Urais unataka rais awe na utii wa sheria na katiba.
Ukiminya mtu mdomo utaonekana unamuonea,uonevu unafanya usipendwe na wengi.
Rais wetu amekuwa na sifa mbaya ambazo wanazozieneza ni wanaccm mfano.Rais hashauriki hii si kauli nzuri toka kwa chama chako.
mh.aliharibu tangu ile siku kule kigamboni alipouliza NITUMBUEEE.........wananchi nao wakajibu TUMBUAAAAA.
hapo sasa pongezi zikaanza kudrop day after day mpaka leo hii siku inapita husikii jina la mh.katika radio wala TV.
Amechuja kivipi?Mtoa mada ndo unachuja haraka
wewe ndiyo umechuja, trust me
Born in Austria in 1889, Adolf Hitler rose to power in German politics as leader of the National Socialist German Workers Party, also known as the Nazi Party. Hitler was chancellor of Germany from 1933 to 1945, and served as dictator from 1934 to 1945. His policies precipitated World War II and the Holocaust.Mpinga Ukut** Nchi imemshinda sababu ya Woga hata sijui anatishwa na nini
Ungefikiri kdg kabla ya kumjibu ndugu usiwe na papara.wewe ndiyo umechuja, trust me
Rais alikuwa kwenye vichwa vya habari alipokuwa akitoa maagizo. Sasa ni zamu ya watendaji kuchacharika. Wakurugenzi wa halmashauri, wakuu wa wilaya, wa mikoa na mawaziri ni habari kila pembe ya nchi. Ulitaka rais aseme nini tena?Jibu hoja utakuwa umemsaidia yeye na taifa, mashambulizi kwa mtu aliyeonyesha kile kinachoonekana hayasaidii