Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

Magufuli amekosea wapi, mbona 'anachuja' haraka?

Mtasubiri sana, uzuri wapiga kelele ni wa Mtaa wa pili
 
Siamini kama duniani kwa sasa hivi kuna nchi ina Rais hewa kama huyu wa kwetu!
Leo nimesikiliza DW anasemwa kwamba ameshuka na kamatakamata ya wapinzani na kufungia vyombo vya habari vimeshusha imani ya wananchi na kuleta wasiwasi nchini
 
Viongozi wa vyama vya upinzani kukosa hoja za mshiko (maslahi mapana kwa jamii) ni kithibitisho Rais utendaji wake uko makini.

Mwanzo wa utawala wake aliweka vigezo vya utendaji (akitafsiri kaulimbiu yake hapa kazitu kwa vitendo). Wateule wake kwa sasa ndo kazi yao.
Kuzuia watu wasimkosoe ndio kinga yake.
 
1. "Milioni "50" kila kijiji".. Looh!!

2."Ajira za kumwaga"....duuuh!! Nadhani mnajionea kinachoendelea huko uswahilini.

3. "Mwendelezo wa Rasimu ya katiba mpya"...(ameshasema Hapangiwi/hamna fedha za kuchezea hapa)

4. "Tanzania ya viwanda"... 😂😂sijapenda kucheka "mniwie radhi" maana vyerehani vimekuwa vingi kuliko washonaji.

5. "Dhana ya uhakiki".....😢hapa tumechotwa!! Miaka mitano inaishia hivyo kila siku uhakiki.

6. "Maendereo hayana chama"...wakati huohuo inatoka kauli, nanukuu "haya yote nafanya kwa sababu ya hao waliovaa nguo za (Kijani) "

7. "Hakuna kuangaria Bunge Raivu, nataka watu wachape kazi"......😂😂Wakati huo yeye yupo live kwenye "TBCCM" na ni muda wa Kazi.

8. .......
9. ........
10. .......

#We have a long way to go.
#Uvumilivu wa Watanzania hauna mfano duniani
#Ukitaka kumtawala "mtu" mnyime elimu bora (Mpe elimu bure)

Louis II
 
1. "Milioni "50" kila kijiji".. Looh!!

2."Ajira za kumwaga"....duuuh!! Nadhani mnajionea kinachoendelea huko uswahilini.

3. "Mwendelezo wa Rasimu ya katiba mpya"...(ameshasema Hapangiwi/hamna fedha za kuchezea hapa)

4. "Tanzania ya viwanda"... sijapenda kucheka "mniwie radhi" maana vyerehani vimekuwa vingi kuliko washonaji.

5. "Dhana ya uhakiki".....hapa tumechotwa!! Miaka mitano inaishia hivyo kila siku uhakiki.

6. "Maendereo hayana chama"...wakati huohuo inatoka kauli, nanukuu "haya yote nafanya kwa sababu ya hao waliovaa nguo za (Kijani) "

7. "Hakuna kuangaria Bunge Raivu, nataka watu wachape kazi"......Wakati huo yeye yupo live kwenye "TBCCM" na ni muda wa Kazi.

8. .......
9. ........
10. .......

#We have a long way to go.
#Uvumilivu wa Watanzania hauna mfano duniani
#Ukitaka kumtawala "mtu" mnyime elimu bora (Mpe elimu bure)

Louis II


Jr
 
Back
Top Bottom