chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 12,001
- 20,659
JPM ni kama mtu aliyeshuka ghafla kutoka mahali pasipojulikana
Mbona anaongea kama vile alikuwa mtoro kwenye Baraza la mawaziri?
Baraza la mawaziri ndilo humshauri rais,je alikuwa hatoi ushauri?
Nikimsikiliza anaweka mazingira ya kushangaa na anataka kutushirikisha na sisi tushangae
Madini...."hivi ndivyo tulikuwa tunaibiwa.....hivi ndivyo tulikuwa tumefika"
Ninachoamini kwamba,kama tumefika hapa,basi na yeye alikuwa katika kundi la madereva na viranja waliotufikisha hapa,asijitoe,
Baraza la mawaziri ni moja,na wanakubaliana,na yeye ni mmoja wapo
Mbona anaongea kama vile alikuwa mtoro kwenye Baraza la mawaziri?
Baraza la mawaziri ndilo humshauri rais,je alikuwa hatoi ushauri?
Nikimsikiliza anaweka mazingira ya kushangaa na anataka kutushirikisha na sisi tushangae
Madini...."hivi ndivyo tulikuwa tunaibiwa.....hivi ndivyo tulikuwa tumefika"
Ninachoamini kwamba,kama tumefika hapa,basi na yeye alikuwa katika kundi la madereva na viranja waliotufikisha hapa,asijitoe,
Baraza la mawaziri ni moja,na wanakubaliana,na yeye ni mmoja wapo