MISULI
JF-Expert Member
- Jan 15, 2014
- 7,826
- 5,451
Kifo cha Mwangosi chanzo ni shetani nani?Kifo cha Akwilina chanzo ni shetani magufuli.
Kama siyo mchezo wake wa kununuwa wabunge wa upinzani kinondoni pasingekuwa na uchaguzi mdogo na Akwila asingepigwa risasi na Polisi.