Nani ambaye siyo hovyo?Hana lolote Magufuli wenu. Hovyoooo
Nani ambaye siyo hovyo?Hana lolote Magufuli wenu. Hovyoooo
Hii ngoja nimwachie magufuli na maroli yake.
Kama umeangalia ITV Jioni umeingia chaka hizo zilikuwa habari za wiki na Pinda alishatoa order kuwa utaratibu wa zamani utumike na ndiyo mgomo ukaishia hapo.
Huku unakokwenda unakwenda kwenye kiza kinene.Umeona eeh!!!! Anaona ile kutajwa tajwa kama potential candidate wa 2015 ndiyo hiyo inaanza kusepa taratibu sasa kaamua kukomaa kivyake vyake!!!
kwani ishu kwa sasa ni kugomea barabarani au ni faini wanayotakiwa walipe wakizidisha mzigo?
mi namshauri magufuli aweke mzani bandarini ili kunusuru barabara ya mandela
Barabara ya Mandela imejengwa miaka michache iliyopita, na sasa imeanza kuharibika kwa sababu ya uzito wa mizigo kwenye magari. Hapa Mh.Magufuli lazima ajue kitu kimoja, pamoja na uzito unaozidi, lakini pia, wanaojenga hizi barabara wanazijenga kwa kiwango cha chini sana!
Waziri wa Miundombinu na Ujenzi Mheshimiwa John Magufuli amesema kwamba atasimama na msimamo wake kuyapiga marufuku magari ya mazigo kutokugoma barabarani.Waziri Magufuli amesema kwamba anashangaa kutokana na lawama anazobebeshwa kufuatia mgomo unaoendelea na kudai kuwa amefanya hivyo kwa kufuata sheria na kuongeza kuwa analazimika kuchukua hatua hizo ili kulinda barabara zisiharibiwe Nchini.Na zaidi amewataka wamiliki wa malori kwamba milango iko wazi wanaweza kwenda mahakamani kama wanahisi wameonewa.
Kwenye ujenzi anajitaidi sana kusimamia lkn watanzania sisi ndo shida,rushwa za watu wa mizani na mizigo kuzidi ndo tatizo,tusimkatishe tamaa bali tumtie moyo kwa faida ya vizazi vijavyo.
Mandela road kiwango cha chini, una uhakika? Halafu pesa zilitoka European Union, wakaleta Mhandisi Mshauri wenyewe, Tanroads walihusika tu kama Clerks of works! Ikumbukwe kuwa kazi iliyofanyika Mandela Road ni kazi bora kabisa kwa uwezo wetu, huku tukizingatia kama tungekuwa na uwezo tungeongeza ili kuongeza tabaka la materials zile, lakini hatukuweza kuongeza, basi design imebaki ya tani angalau 40 hivi! Kwa kifupi Mandela road waliweka overlay, na siyo ujenzi from the scratch/beginning.
mleta uzi ameangalia kipindi cha matukio ya wiki.Hii kauli ni outdated. Maamuzi yameshafanywa na Waziri Mkuu, inabidi aongee na hao wenye malori na wala hawaendi mahakamani.
Watanzania tumuunge mkono Magufuli kwa maendeleo endelevu katika sekta ya barabara.
Mkuu kwanza heshima yako mimi nipo karibu kuja kukusabai ila hii post ni ya leo sasa hapa sijui ni nani mkweli kati ya hawa wa tatu Pinda,Magufuri,na matoa mada!salamu zao huko!!!!Kama umeangalia ITV Jioni umeingia chaka hizo zilikuwa habari za wiki na Pinda alishatoa order kuwa utaratibu wa zamani utumike na ndiyo mgomo ukaishia hapo.
Magufuli nnchizi.
huwezi kukomalia sheria inayovuruga jamii nawe unajisifu kusimamia sheria.
Magufuli ni bonge la Mwizi aliuza nyumba za serikali kwa bei ya kutupwa halafu anajifanya anaijua barabara hana lolote mnafiki mkubwaHana lolote Magufuli wenu. Hovyoooo