Magufuli 4 Change (M4C), nimeipenda sana hii

Ukichukulia juu juu hautaweza kuelewa. Lakin ktk siasa kila neno lina maana yake. Kupitia neno hilo la M4C makufuli atapata kula nyingi maana kuna watu huko, huko hufanganyika kirahisi sana.

Endeleaa kujifarijii
 
Ha ha ha Lizabon bwana vp bro, breaking news zako zinazohusu ukawa siku hizi zimeishia wapi? au bado mpo bize mnamhudumia Dr. Mihogo
 
M4C= Magufuri for Change ..imekaa poa sana hii, Magufuri kawa mtamu kama mcharo ...Tunaomba lile ghorofa la Ubungo lipishe barabara kwanza kabla ya yote
 
Unabisha nini wakati mmedesa hadi Kauli Mbiu ya Mabadiliko M4C na Mbeya alitumia kauli Mbiu ya Peoples Power na alama ya kidole ili kuwaridhisha wapiga kura. Mmeshikwa vibaya.
 
Nafikiri kama na wao wanacheza wimbo wa M4C basi hiyo ni ushindi tosha kwa UKAWA..mnajua hii M4C UKAWA/CHADEMA wameanza nayo lini? kwamba wao wadandie hii hoja halafu ndani ya siku 30 watu waelewe M4C ni ya CCM na siyo UKAWA.? Kwamba wananchi wasikie M4C ni ya UKAWA kwa miezi kadhaa halafu wasikie ni ya CCM kwa siku 30 huku bado na ukawa wakiendelea kuihubiri halafu wao washinde..CCM wanacheza ngoma za UKAWA yaani wanaingia 18 za UKAWA kazi imezidi kuwa rahisi mno...ama kweli kaburi la CCM wanalichimba wao wenyewe

Nilikua nafarijika sana pale Magufuli alipokua anakunja ngumi na kusema Peoplesssssssssss juzi furaha yangu iliongezeka zaidi baada ya kumsikia Magufuli akitamka M4C ambayo ni Brand Name ya CDM.
Magamba mnayo mwaka huu.
 
CCM waangalie sana jinsi wanavyopeleka mambo yao. Nadhani wanakosa shabaha na sasa wanajisogeza taratiiibu kwenye kamba na hakika watakosa namna ya kujitetea kwa masumbwi ya rasharasha watakayotupiwa.

Safari ya CCM sasa yaweza kuwa fupi kuliko ilivyotegemewa.
 
Wakuu kuna taarifa kuwa baada ya CCM kuzidiwa kete na UKAWA, mpaka kudesa kauli mbiu yetu ya M4C, lakini baada ya jana tena UKAWA kuvuruga nyumbani kwa Magufuli pale Chato, hatimaye kamati kuu ya CCM imepitisha azimio moja kuwa wagombea wake wote kuanzia Magufuli katika mikutano yao watatakiwa kuvaa mavazi ya CHADEMA kuanzia fulana na kofia ili kuvuta hisia za watu. Kwa hiyo msijeshangaa mkamuona Magufuli kavaa T.SHIRT ya CHADEMA

Kwangu mimi sitashangaa, kama Magufuli anatuaminisha eti wananchi wa Libya walimuua rais was SADAMU Hussein, pamoja na kusahihishwa bado katuingiza kingi tena eti SADAM Hussein alikuwa rais wa KUWAIT.duuuh majanga
 
Watangaika sana lakini mwaka huu wajiandae kisakolojia kuondoka madarakani.








LOWASA HUYO ANAKUJA NA TANZANIA MPYA.
 
Wakuu kuna taarifa kuwa baada ya CCM kuzidiwa kete na UKAWA, mpaka kudesa kauli mbiu yetu ya M4C, lakini baada ya jana tena UKAWA kuvuruga nyumbani kwa Magufuli pale Chato, hatimaye kamati kuu ya CCM imepitisha azimio moja kuwa wagombea wake wote kuanzia Magufuli katika mikutano yao watatakiwa kuvaa mavazi ya CHADEMA kuanzia fulana na kofia ili kuvuta hisia za watu. Kwa hiyo msijeshangaa mkamuona Magufuli kavaa T.SHIRT ya CHADEMA
Wakuu msimbeze mlela hii oja maana inawezekana ni kweli na Mshauri mkuu wa hii issue ni JM ...!!
Is jst a matter of time haya yooote yatajitokeza live live ..
CCm imeshikwa kubaya sasa inatafuta pakujishikia
 
Naona kama ni mabdiliko makubwa sana, baada ya CHADEMA kumchukua mgombea urais mtuhumiwa wa UFISADI, vijana wa CHADEMA wasiokubaliana na Lowassa wanasema siyo MOVEMENT FOR CHANGE , bali MAGUFULI FOR CHANGE.


attachment.php


Hilo lako tu. Nakupa poleeeee. Ukawa/chadema/lowasa mbele kwa mbeleeeeee
 
Wakuu kuna taarifa kuwa baada ya CCM kuzidiwa kete na UKAWA, mpaka kudesa kauli mbiu yetu ya M4C, lakini baada ya jana tena UKAWA kuvuruga nyumbani kwa Magufuli pale Chato, hatimaye kamati kuu ya CCM imepitisha azimio moja kuwa wagombea wake wote kuanzia Magufuli katika mikutano yao watatakiwa kuvaa mavazi ya CHADEMA kuanzia fulana na kofia ili kuvuta hisia za watu. Kwa hiyo msijeshangaa mkamuona Magufuli kavaa T.SHIRT ya CHADEMA

Siasa ni sanaa dogo kama huijuhi kaa kimya kuliko kujidhalilisha, tunacheza na manenoooo ... mzee wa geengeee, a.k.a Jua kali
 
Back
Top Bottom