lamosai langasani
JF-Expert Member
- Sep 2, 2016
- 229
- 293
Anyway.how much have you saved from not drinking? i need a soft loan of 50.000
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Pombe unaiachaje kwa mfano?...na ukiiacha unafanya nini mbadala? Shughuli iko hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi ni kwanini kila kitamu kina mlolongo mrefu afu negative onesKila kitamu kinasingiziwa ugonjwa, acha tupombeke bana, hayo magonjwa yapo tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Unavuta bangi au mirungi...Pombe unaiachaje kwa mfano?...na ukiiacha unafanya nini mbadala? Shughuli iko hapo
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa kinachotaka kukurudisha huko ni nini mkuu?kabisa sikuonja kabisa pamoja nilizungukwa na walevi na kwetu kuna bar
Kufa ni kufa tuu, hakuna kuchagua jinsi ya kufa.
teh..teh...teh...narudi kutembea
Maisha yafaa nini bila pombe?Hata niambiwe nakufa kesho leo siwezi acha kunywa pombe...maisha si lolote bila pombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Amri ya ngapi?ni dhambi pia
Watu mababa na mababu zetu wamefariki wakiwa over 100 na walikuwa wanakunywa konyagi na rubisi????Mleta mada amekuja kuokoa maini yako