Don Clericuzio
JF-Expert Member
- Dec 8, 2017
- 16,936
- 40,518
Hahaha nipo narudi , nikitulia nitatuma hizo stastics halafu tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Ukumbuke kuweka vyanzo ambapo wote tunaweza kuhakiki.
Hahaha nipo narudi , nikitulia nitatuma hizo stastics halafu tuone
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata mimi mkuu, na kuishi bila ya Pombe inawezekana, tunyweni maji na maziwa mbona Yana starehe piaSijawahi kunywa pombe
Acha kunywa pombe ili uishi milele!!Pombe imekua kimbilio la wengi kama sehemu ya starehe au moja ya kitu cha kuondoshea msongo wa mawazo. Kiukweli Pombe ni neurotoxin (sumu ishambuliayo mfumo wa fahamu) ambayo huharibu ubongo kwa njia ngumu kupitia kufuta kwa mda mrefu na uondoaji wa mara kwa mara wa kumbukumbu, na kusababisha ugonjwa mkubwa na vifo pia. Yafuatayo ni magonjwa 10 yanayosababishwa na unywaji wa Pombe.
1) Ugonjwa wa ini
Pombe ukisha inywa sehemu yake kuu inapokua inavunjwa vunjwa ni katika ini, hivo huweza kukuweka katika hatari ya kuharibikiwa na ini
2)Ugonjwa wa akili (alcohol related psychosis)
Kama nilivyotangulia kueleza hapo juu kuwa Pombe ni aina ya sumu ishambuliayo mfumo wa fahamu hivo baada ya mnywaji kunywa huwa anapata hallucinations na matokeo yake badae huharibikiwa na akili.
3)Ugonjwa wa Pancreas (pancreatitis)
4)Kanser
Pombe pia ni carcinogens yaani ina vitu ambavyo hupelekea mtu kuugua kansa. Mfano wa kansa kama ya koo, mdomo, ini, uchango mkubwa na puru.
5)Vidonda vya tumbo
6)Kushuka kwa kinga ya mwili
Kinga ya mwili inaposhuka mtu huwa rahis kushambuliwa na vijidudu visababishao magonjwa mfano, ugonjwa wa TB, kisukari, hata HIV.
7)Utapiamlo
8) Ugonjwa wa kudhoofu mifupa (osteoporosis)
9)Magonjwa ya moyo (cardiovascular diseases)
10) Ajali ambazo husabisha mauti au ulemavu wa kudumu.
Najua yote haya unayafahamu, lengo ni kukumbushana tu so stay calm and leave the liquid.
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kabisaHata mimi mkuu, na kuishi bila ya Pombe inawezekana, tunyweni maji na maziwa mbona Yana starehe pia
Sent using Jamii Forums mobile app
kabisa sikuonja kabisa pamoja nilizungukwa na walevi na kwetu kuna barJomoni nakuombea mkuu usirudi...miaka 8 mbona ulijitahidi hivoo?
Hiyo miaka 8 hukuonja kabisa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini umerudi huko mkuukabisa sikuonja kabisa pamoja nilizungukwa na walevi na kwetu kuna bar
Aisee nimekupenda bule. Hivi eti unaanzaje kuangalia mfano mechi ya manchester city na chelsea ukiwa unakunywa soda au juice?
Mkuu Kwan unatatizo!??karibu sanaHata mimi mkuu, na kuishi bila ya Pombe inawezekana, tunyweni maji na maziwa mbona Yana starehe pia
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata niambiwe nakufa kesho leo siwezi acha kunywa pombe...maisha si lolote bila pombe
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna ndugu yangu hii kitu imemfilisi mbona haujaweka ugonjwa wa mwisho kbsa KUFILISIKA
Sent using Jamii Forums mobile app
Umesahau 1...kushindwa zaa watoto wa kiumePombe imekua kimbilio la wengi kama sehemu ya starehe au moja ya kitu cha kuondoshea msongo wa mawazo. Kiukweli Pombe ni neurotoxin (sumu ishambuliayo mfumo wa fahamu) ambayo huharibu ubongo kwa njia ngumu kupitia kufuta kwa mda mrefu na uondoaji wa mara kwa mara wa kumbukumbu, na kusababisha ugonjwa mkubwa na vifo pia. Yafuatayo ni magonjwa 10 yanayosababishwa na unywaji wa Pombe.
1) Ugonjwa wa ini
Pombe ukisha inywa sehemu yake kuu inapokua inavunjwa vunjwa ni katika ini, hivo huweza kukuweka katika hatari ya kuharibikiwa na ini
2)Ugonjwa wa akili (alcohol related psychosis)
Kama nilivyotangulia kueleza hapo juu kuwa Pombe ni aina ya sumu ishambuliayo mfumo wa fahamu hivo baada ya mnywaji kunywa huwa anapata hallucinations na matokeo yake badae huharibikiwa na akili.
3)Ugonjwa wa Pancreas (pancreatitis)
4)Kanser
Pombe pia ni carcinogens yaani ina vitu ambavyo hupelekea mtu kuugua kansa. Mfano wa kansa kama ya koo, mdomo, ini, uchango mkubwa na puru.
5)Vidonda vya tumbo
6)Kushuka kwa kinga ya mwili
Kinga ya mwili inaposhuka mtu huwa rahis kushambuliwa na vijidudu visababishao magonjwa mfano, ugonjwa wa TB, kisukari, hata HIV.
7)Utapiamlo
8) Ugonjwa wa kudhoofu mifupa (osteoporosis)
9)Magonjwa ya moyo (cardiovascular diseases)
10) Ajali ambazo husabisha mauti au ulemavu wa kudumu.
Najua yote haya unayafahamu, lengo ni kukumbushana tu so stay calm and leave the liquid.
Sent using Jamii Forums mobile app
Usimkaribishe huyo wengine hawataniwi atakufuata pm shauriyako.
Hivi ulicho sema nikwel? Maana naona ninawakike tu isije kuwa grants ndo chanzo.
Acheni ujinga na uongo. Dhambi kwa mujibu wa nani?ni dhambi pia
Achana na hao emotional speakers, pombe ni dawa. Na reference mimi ninazo.
Nimeshangazwa sana na mtoa mada au tayari kashapiga mambo huyu anatuchora hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha ishu sio kufa ishu ni vipi unakufa1. Pombe hunywi
2. Hupendi anasa
3. Unafuata kanuni za mlo bora
4. Unafanya mazoezi
5. Unapata muda wa kupumzika
6. Unanunua slipers, unaingia nazo bafuni mara unaanguka UNAKUFA!
NB: Don't get twisted, life has no replay button. Live it the fullest today.