Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,488
- 65,834
- Thread starter
- #61
Ngoja nikae kimya mwanasheria wangu kalewa leoUna utani wa ngumi mkuu hahaha!!
Ngoja nikae kimya mwanasheria wangu kalewa leoUna utani wa ngumi mkuu hahaha!!
Kabisa hawatakagi mzaha kwenye dini yao shauri yako usiseme sijakwambia!😎Ngoja nikae kimya mwanasheria wangu kalewa leo
Ngoja nifike home nishushe storyKabisa hawatakagi mzaha kwenye dini yao shauri yako usiseme sijakwambia!😎
Mim hua nafturu sa kumi kamili
Mie kwenye kwaresma sijawahi funga🤭🤭🤭😊!Mim hua nafturu sa kumi kamili
Ccy me niliwai kufunga mara Moja sitasahau hyo siku.Mie kwenye kwaresma sijawahi funga🤭🤭🤭😊!
Yeah mie pia maombi nafanya sana sis ila kwaresma sijawahi!Ccy me niliwai kufunga mara Moja sitasahau hyo siku.
Nilifutru sa kumi sikuwai rudia hadi leo
Lkn maombi hua nafanya sana.
😂😂😂😂😂Hivi kwaresma inaisha wapi?!Yeah mie pia maombi nafanya sana sis ila kwaresma sijawahi!
Hata najua leo siku ya ngapi sasa Inaisha pasaka sis Hahahaa!😂😂😂😂😂Hivi kwaresma inaisha wapi?!
Mtakuja kuumwa vidonda vya tumboCcy me niliwai kufunga mara Moja sitasahau hyo siku.
Nilifutru sa kumi sikuwai rudia hadi leo
Lkn maombi hua nafanya sana.
Kwa sabb ipi?Mtakuja kuumwa vidonda vya tumbo
Pasaka nasikia ni mwezi wa nne tarehe ndo sijajua.Hata najua leo siku ya ngapi sasa Inaisha pasaka sis Hahahaa!
Kukaa na njaa mda mrefuKwa sabb ipi?
Sisi hatufungi tumesema hua tunafanya maombi tu.Kukaa na njaa mda mrefu
Duh na nan uyo?Hii story imeshasimuliwa humu inaitwa bao tatu za mgeni
Asante sana mummySanto sana JW Naona bado wamotroooooo🔥🔥🔥🔥🔥!!
Wapii Gily Watching leadermoe kitalembwa National Anthem Lastmost mtzmweusi Tayukwa na baby zu msipite hapa saii pullliiizzzzzzzzzzzzzzz!!