Magoli matatu ya ushindi

Magoli matatu ya ushindi

Regina alishtuka baada ya bakora yangu kumgusa huku chini,aliruka pembeni akaangalia usawa wa zipu yangu!
“Jack nini hiyo,ayaaaa umedindisha!”
Nilitoka nje haraka maana nilihisi kuna kitu kibaya kitatokea ambacho kinaweza kuniweka matatizoni!
Nilichukua kiti nikakaa nje nikisubiri hisia zitulie ndiyo niingie ndani,wakati niko pale nilimuona Mzee wa ukoko akiingia kwenye kijumba chake na mwanamke ambaye sikumuona vizuri kutokana na giza lililokuwepo,japo nilifanikiwa kuona kwa nyuma alikuwa amejaliwa haswa!
Nilitamani kwenda kupiga chabo ila nilipokumbuka kule ni Sumbawanga niliishiwa pozi,nisije nikapofuka macho bure!
Nilijizoa zoa mpaka ndani nikamkuta Regina ameshalala muda huo na mimi bakora imetulia nikalala bila tabu,huku nikijitahidi kuyazuia mawazo mabaya!

Kulikucha asubuhi siku hiyo niliamka mapema nikamuacha Regina amelala,hata mzee wa ukoko alikuwa bado amelala!
Niliwasha moto nikaanza kuota ndipo mzee wa ukoko akatoka akijinyoosha,alishangaa sana kunikuta nje muda ule!
“Hahahahaha kijana wa mjini mbona mapema sana leo!”
“Sina usingizi mzee shikamoo!”
“Marahaba kijana,au umemkimbia binti yangu kijana?”
“Hahahahah hapana mzee yule ni dada yangu!”
“hahahaha kijana unanichekesha sana hahahaha ngoja nifuate viazi tuchome!”

Mzee wa ukoko alizunguka nyuma ya nyumba akarudi na viazi tukaanza kuchoma huku tunapiga stori za hapa na pale!
Alipomaliza alinichukua mpaka kwa mwenyekiti wa kijiji kuitambulishwa,cha kushangazwa niluliza nakaa siku ngapi?
Swali lile lilinishangaza sana yani kama niko marekani jamani hiki kijiji kiboko,niliwaambia siku tatu tu,yule mzee alinichukua tukarudi nyumbani!
Mwisho aliondoka zake akaniacha pale,Regina aliamka akanikuta nipo natafuna viazi vya kuchoma!
“Mbona hujaniamsha jamani?”
“Usimuamshe aliyelala utalala wewe!mbona hata wewe jana hukuniamsha”
“Ulipaswa kuniamsha mapema nichemshe uji tunywe nikusimulie simulizi ya mgeni!”
“Kuna viazi nimechoma vingi uji siyo lazima kaa hapa unisimulie!”
Regina alikaa pembeni akachukua kiazi akaanza kula huku ananiangalia sana machoni mpaka nikajiuliza kulikoni?
“Vipi mbona unanitazama kiasi hicho?”
“Jack!”
“Naam!”
“Unataka stori ya mgeni?”
“Ndiyo!”
“Nambie kwanza jana ulinigusa na nini huku chini!”
“Regina ebhu acha hizo stori ujue niko Sumbawanga hapa,nasikia na Gamboshi iko huku usije ukaniponza!”
“Hhahahahahah!unaogopa kuwa msukule!”
“Usicheke Regina tuache hizo stori!”
“Sawa aya nianzie wapi kusimulia?”
“Anzia mwanzo kabisa!”
“Sawa ila hii simulizi ya mgeni hii ina tabu kweli ujue!”
“tabu gani?”
“Unaweza ukanibaka hapa?”
“Siwezi bhana siyo rahisi kiasi icho!”
“Unasema tu mi mwenyewe wakati nasimuliwa hii stori nilijikuta natoa mwenyewe,na ndiyo siku niliyopoteza bikra yangu!”
“Ulitaka bhana huwezi toa bikra kisa stori!”
“Nilikuwa mbishi kama wewe,ila kabla stori haijaisha nilivua nguo mwenyewe nikachanua miguu msimuliaji akachukua akaweka waaah!”
“Hhahahaahhaahaha!unanichekesha ujue iyo si nyimbo ya Diamond hiyo?”
“Ndo nakuambia sasa alichukua akaweka waah!nilishtuka bakora iko ndani navuja damu maumivu kama yote!”
“Aya niahidi hutonibaka!”
“Unazingua ujue mi sikubaki bhana nisimulie usijali!”
“Sawa,ila ujue hata msimuliaji anaweza kubaka pia!”
“Regina nihadithie bhana achana na hayo mambo!”
Regina alianza kula kiazi chake akashushia na maji,kisha akakohoa kurekebisha koo ili anisimulie,ni kama aliweka utani mwingi maana alinyanyuka akakaa kama anataka kupiga push up!
“Sasa ndiyo nini ivyo Regina!”
“Weee! Unadhani simulizi ya mgeni ya mchezo ngoja nipashe misuli nikupe hadithi we mkaka wa mjini!”
“Dah!sasa hadithi mpaka uipigie push up kweli jamani?”
“Unataka hadithi hutaki?”
“Nataka!”
“Aya kaa kwa kutulia!”
JE NINI KITAENDELEA?HIYO STORI IKOJE?
 
**

Waasema mtaka cha uvunguni sharti ainame,ndicho kilichotokea kangu,stori ya mgeni aliyeleta utata kijijini niliitaka sana,ivyo ilinibidi niwe mpole!
Regina alifanya upuuzi wake akamaliza akaketi kisha akaniangalia usoni akasema
“Sasa nakupa hadithi ya mgeni,ila chonde usinibake maana tupo wawili tu hapa bora baba angekuwepo!”
“Regina bhana nilishakutana na kina chausiku sikuwabaka kina kidawa na mwisho Lisa sembuse huyo mgeni?Nipe stori mimi acha uoga!”
“Sawa napenda watu wanaojiamini kama wewe!”
“Leta mambo!”

*****

Miaka kumi iliyopita kijiji chetu kilimpokea mgeni,mgeni ambaye aliacha majonzi makubwa kijijini,mgeni ambaye ameziba kabisa milango ya wageni kupokelewa katika kijiji chetu!
Ilikuwa usiku kama saa mbili siku hiyo ilikuwa inanyesha mvua kubwa sana,wenye nyumba za bati walikuwa bize wakikinga maji safi ya mvua,maana kama unavyoona kijiji chetu tunatumia maji ya kisimani!
Mzee mmoja maarufu kama mzee Jomo alikuwa ndani na familia yake,wao maji ya mvua yaliwapita sababu hakuwa ameezeka nyumba yake kwa bati!
“Unaona sasa mume wangu tungekuwa na bati tungekuwa tunafaidi maji ya mvua hapa!”,alisema mke wa mzee Jomo!
“Mkewangu wewe subiri yani safari hii nikiuza mpunga wangu najenga nyumba kubwa sana hapa naezeka na vigae kabisa sitaki bati mimi!”
“Baba muogope Mungu na huku ukiuza tu unaoa hapa nyumbani huonekani pesa zote kwenye pombe!”,alisema binti mkubwa kati ya mabinti zake wanne alionao,Mzee Jomo mpaka alipofikia hajabahatika kupata mtoto wa kiume,alishawahi kujaribu kuchepuka akampa mimba mwanamke mwingine lakini napo akapata mtoto wa kike!
“Mwambieni baba yenu!Mi nishamaliza maneno yote na safari hii akiuza mpunga akakimbia hasirudi hapa anakuta nami nimeolewa!”
“Haahhahahahahah mamaaa acaha kutuchekesha!”
Mabinti wa mzee Jomo walicheka kwa pamoja,kauli ya mama yao iliwachekesha sana,Mzee Jomo hakuwa mkali sana kwa familia yake kiasi kwamba hata mabinti zake hawakuwa wanamuogopa kiivyo!
“Mnacheka kwa hiyo mnasapoti upuuzi wa mama yenu ebhu nendeni mkalale!”
Alisema Mzee Jomo mabinti zake wakainuka ila kabla hawajaingia chumbani mlango uligongwa,wote walistaajabu maana haikuwa kawaida kugongewa mlango usiku kama ule!
Wale mabinti walisimama wakamuangalia baba yao,mzee Jomo baada ya kuona macho yote yapo kwake akasimama kwenda kufungua mlango huku analalamika!
“Unaona sasa saivi mnanitolea macho mimi,angekuwepo kijana wa kiume hapa mngeniangalia hivi kweli!”
“Kwa mtoto wa kiume labda subiri wajukuu nadhani hata wewe unaona limeshindikana hili!”,alidakia mke wa mzee Jomo!
“Nani?”,aliuliza Mzee Jomo!
“Nifungulie nahitaji msaada!”
“Wewe ni nani?tatzo sizo kufungua tatizo namfungulia nani?”
“Mi…mi…ni mgeni hapa!”
Mzee Jomo aligeuka akaiangalia familia yake,wote walijiuliza ni mgeni gani wa usiku kama ule!
“Zubeda ebhu niletee panga langu chini ya uvungu!”
Alimuagiza binti yake mkubwa ambaye aliingia chumbani punde akarudi na panga na kumkabidhi baba yake!
Mzee Jomo alifungua mlango huku kashika panga lake mkononi,alikutana na sura ya kijana ambaye alikuwa mgeni kabisa machoni mwake!
Alipomuangalia hakumuona na kitu chochote chenye kudhuru,hakuwa na begi wala kitu chochote!
Alimuonea huruma kutokana na mvua kubwa iliyokuwa inanyesha,akaamua kumkaribisha ndani,aliingia ndani wakampa kiti akakaa!
“Karibu kijana!”
“A…a…asa…nte!”
Aliitikia yule kijana huku anatetemeka kutokana na kunyeshewa na mvua ile kubwa kwa muda mrefu!
Wote walimshangaa alikuwa mgeni kabisa kwao,kijiji kile si kikubwa sana kwahiyo kama ni mgeni unajulikana haraka!
“Wewe ni mgeni hapa?”
“Ndi…o!”
“Umetokea wapi?”
“Ni…ni…mepotea!”
Yule mgeni aliongea kwa tabu kutokana na kupigwa na baridi la muda mrefu,Mzee Jomo alielewa hawataweza kuelewana katika mazingira kama yale!
Aliwaagiza wampe chakula wakampa wali na maharage uliokuwa umebaki,yule mgeni akala kwa pupa nkama mtu ambaye hajala muda mrefu sana,inaonekana alikuwa na njaa kali sana,alipomaliza alishukuru kisha Mzee Jomo akamchukua na kutoka naye nje muda huo tayari mvua ilikuwa imepungua!
UNAHISI MZEE JOMO ANAMPELEKA WA
 
"Amechukua akawekaa waah" Regina alikua anataka tu dyudyu sio kwa msisitizo huo!
 
Ndiomana hapo wengine nawaambia watasoma badae wakishafingulia au kama ile yajuzi Nilikua siwatag kabisa kuogopa kuwatafutia dhambi za rejareja 😊!
Lakini some of people walisoma vizuri wakajikausha
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom