REDEEMER.
JF-Expert Member
- Feb 22, 2015
- 8,925
- 14,880
Ila ukweli mchungu umeupata πππππMpumbavu mkubwa wee!!
Ila ukweli mchungu umeupata πππππMpumbavu mkubwa wee!!
Pumbavu!!Ila ukweli mchungu umeupata πππππ
Maggid Mjengwa tuwekee hapa mkataba wa Bandari na mji wa Bagamoyo kabla hatujakubaliana au kupingana na hoja zako.
MJENGWA KAPOTEA SANA KWENYE SOCIAL NETWORKS HASA JAMII FORUM.Hatutaki Kujifunza, Sri Lanka Waliota Kama Sisi, Yakawafika..
Ndugu zangu,
Pichani askari wa Sri Lanka waliokuwa wakipambana na waandamanaji walioingia mitaani kupinga mji wa bandari yao kukabidhiwa Wachina.
Hambantota ni mji wa bandari ambapo WaSri lanka waliota kuwa ungejengwa na kuwa wa kisasa kuufanya kuwa mji wa pili kwa ukubwa nchini mwao. Ni kwa fedha za mkopo kutoka China dola za Kimarekani bilioni 16.
Kwamba bandari ya Hambantota yenye kina kirefu kupokea meli kubwa za dunia ingejengwa na kuwa ya kisasa zaidi. Ni pamoja na mji wenyewe wa Hambantota.
Ninavyoandika hapa Hambantota si sehemu tena ya Sri Lanka. Imekabidhiwa kwa Wachina Julai 31,2017. Haya yote si siri kwa tunaojaribu kuhangaika kutafiti. Yapo yameandikwa.
Nini kiliwatokea wenzetu?
Walikuwa na ndoto ya kupata bandari mpya na mji wa kisasa kwa fedha za mkopo. Mkopo ukawa na riba kubwa na mapato ya bandari yakawa kiduchu.
Serikali nayo hazina yake haikuwa na fedha za kutosha. Ukaja ugumu wa kulipa.
Ikafika siku ya kubwaga manyanga. Waziri Mkuu wa Sri Lanka Ranil Wicremesinghe Julai 31, 2017 kwa huzuni kubwa akaisalimisha bandari na mji kwa China Merchants Ports Holdings mpaka mwaka 2116. Ni mwaka elfu mbili mia moja na kumi na sita. Si ajabu wananchi wenye hasira waliingia mitaani kuandamana. Ni kampuni hiyo hiyo ambayo baadhi yetu wanaililia ije haraka katika masharti yatakayotupelekea kutufika kama ya wenzetu. Inashangaza.
Nani wa kulaumiwa?
Rais wa zamani wa Sri Lanka, Mahinda Rajapanska baada ya kukosa sapoti kwa nchi za Magharibi akakimbilia mikopo ya ujenzi kwa Wachina ili kubaki na umaarufu nyumbani.
Kumbe, aliwachimbia kaburi watu wake.
Tuna ya kujifunza, hata kama hatutaki, tujilazimishe.
Soma hapa: http://www.dailymirror.lk/article/SL-formally-hands-over-H-tota-port-to-China-141897.html
Maggid
View attachment 1099033View attachment 1099034
Kuna baadhi ya viongozi wetu hawaitakii nchi yetu mema kwani siamini kama haya yote hawayafahamu. Ubinafsi na kujifanya miungu wadogo humu nchini na hodari sana kupiga kelele za kulaumu serikali pale ambapo mambo hayaendi kama wanavyotaka.Hatutaki Kujifunza, Sri Lanka Waliota Kama Sisi, Yakawafika..
Ndugu zangu,
Pichani askari wa Sri Lanka waliokuwa wakipambana na waandamanaji walioingia mitaani kupinga mji wa bandari yao kukabidhiwa Wachina.
Hambantota ni mji wa bandari ambapo WaSri lanka waliota kuwa ungejengwa na kuwa wa kisasa kuufanya kuwa mji wa pili kwa ukubwa nchini mwao. Ni kwa fedha za mkopo kutoka China dola za Kimarekani bilioni 16.
Kwamba bandari ya Hambantota yenye kina kirefu kupokea meli kubwa za dunia ingejengwa na kuwa ya kisasa zaidi. Ni pamoja na mji wenyewe wa Hambantota.
Ninavyoandika hapa Hambantota si sehemu tena ya Sri Lanka. Imekabidhiwa kwa Wachina Julai 31,2017. Haya yote si siri kwa tunaojaribu kuhangaika kutafiti. Yapo yameandikwa.
Nini kiliwatokea wenzetu?
Walikuwa na ndoto ya kupata bandari mpya na mji wa kisasa kwa fedha za mkopo. Mkopo ukawa na riba kubwa na mapato ya bandari yakawa kiduchu.
Serikali nayo hazina yake haikuwa na fedha za kutosha. Ukaja ugumu wa kulipa.
Ikafika siku ya kubwaga manyanga. Waziri Mkuu wa Sri Lanka Ranil Wicremesinghe Julai 31, 2017 kwa huzuni kubwa akaisalimisha bandari na mji kwa China Merchants Ports Holdings mpaka mwaka 2116. Ni mwaka elfu mbili mia moja na kumi na sita. Si ajabu wananchi wenye hasira waliingia mitaani kuandamana. Ni kampuni hiyo hiyo ambayo baadhi yetu wanaililia ije haraka katika masharti yatakayotupelekea kutufika kama ya wenzetu. Inashangaza.
Nani wa kulaumiwa?
Rais wa zamani wa Sri Lanka, Mahinda Rajapanska baada ya kukosa sapoti kwa nchi za Magharibi akakimbilia mikopo ya ujenzi kwa Wachina ili kubaki na umaarufu nyumbani.
Kumbe, aliwachimbia kaburi watu wake.
Tuna ya kujifunza, hata kama hatutaki, tujilazimishe.
Soma hapa: http://www.dailymirror.lk/article/SL-formally-hands-over-H-tota-port-to-China-141897.html
Maggid
View attachment 1099033View attachment 1099034
Wanasiasa wengi ni wapuuzi kwa kutanguliza maslahi Yao binafsi badala ya maslahi ya Taifa.Mchina hajawahi kumuacha mtu salama
Kuna ukweli kidogo sana kufuatana na mkataba uliyo, Masharti yeyote ambayo mwekezeji anataka uweke dhamana au umiliki wa halali wa mali yake basi inamaana huodio ukopeshaji una masharti!!!!Hizo ndiyo data za reference wakati wa majadiliano na si kuwa kwa sababu ilikuwa hivyo Sri Lanka au na kwingine then mradi huo hautufai. Tunapaswa kujifunza kutokana na makosa ya wenzetu na kuweka terms and conditions ambazo zitaepusha nasi kuwa kama wao na si kukataa kwa sababu wengine walifanya makosa.
Tofauti na Sri Lanka, Tanzania haikopeshwi bali mwekezaji anakuja na mtaji wake 100%, hii ni tofauti na Sri Lanka. Haiwezekani mtu awekeze pesa zake na asiangalie risk za uwekezaji na ku calculate payback period na jinsi atakavyo pata faida. Kwa upande wetu tuangalie tu kuwa kuna faida yoyote tutapata au tuache Mbegani na Milongotini pabaki na mikorosho na wazee wetu wale.
Yaan wewe ungekuwa mwanangu ningekuachia laanaHizo ndiyo data za reference wakati wa majadiliano na si kuwa kwa sababu ilikuwa hivyo Sri Lanka au na kwingine then mradi huo hautufai. Tunapaswa kujifunza kutokana na makosa ya wenzetu na kuweka terms and conditions ambazo zitaepusha nasi kuwa kama wao na si kukataa kwa sababu wengine walifanya makosa.
Tofauti na Sri Lanka, Tanzania haikopeshwi bali mwekezaji anakuja na mtaji wake 100%, hii ni tofauti na Sri Lanka. Haiwezekani mtu awekeze pesa zake na asiangalie risk za uwekezaji na ku calculate payback period na jinsi atakavyo pata faida. Kwa upande wetu tuangalie tu kuwa kuna faida yoyote tutapata au tuache Mbegani na Milongotini pabaki na mikorosho na wazee wetu wale.
Kina nani hao mkuu?Ngoja waje upande wa pili hawaelewi somo
Hizo ndiyo data za reference wakati wa majadiliano na si kuwa kwa sababu ilikuwa hivyo Sri Lanka au na kwingine then mradi huo hautufai. Tunapaswa kujifunza kutokana na makosa ya wenzetu na kuweka terms and conditions ambazo zitaepusha nasi kuwa kama wao na si kukataa kwa sababu wengine walifanya makosa.
Tofauti na Sri Lanka, Tanzania haikopeshwi bali mwekezaji anakuja na mtaji wake 100%, hii ni tofauti na Sri Lanka. Haiwezekani mtu awekeze pesa zake na asiangalie risk za uwekezaji na ku calculate payback period na jinsi atakavyo pata faida. Kwa upande wetu tuangalie tu kuwa kuna faida yoyote tutapata au tuache Mbegani na Milongotini pabaki na mikorosho na wazee wetu wale.