Ringo Edmund
JF-Expert Member
- May 10, 2010
- 4,879
- 1,125
pamoja na kwamba kunaweza kuwa na ukweli mama aliniambia umbea haumfai mtoto wa kiume.
ngoja nichambue kama hakuna umbea napita baadae.
ngoja nichambue kama hakuna umbea napita baadae.
Hapo kwenye rangi, una maanisha aliyemlipa sio? kwa hiyo habari zake na matukio anayoripoti ni kwa kuwa anatumika! ananunulika kifupi unataka kumaanisha kuwa sura na kalamu yake vinaonesha bei yake!!!
Kila leo mi nasema maggid ni gamba tu, hukumbuki kipindi cha uchaguzi mkuu??
Tunaongelea vyombo vya habari je ni sahihi Mjengwa kutoweka picha za Tamasha hili? unafahamu kinachoendelea wewe au unadhani tunauza sura hapa? wapenda haki hatuwezi kukaa kimya tukaangalia watu wakitumia pesa zao kunyanyasa wengine, Issue hapa ni kwa nini Mjengwa hajaupload hizi picha za Tamasha la Anti virus wakati hakuhitajika kupeleka mpiga picha pale uwanjani bali zipo humu humu kwenye internet? na nina uhakika anazo.
Nimejenga hoja, ukiweza pangua hoja na ulete hoja na hatuhitaji Viroja.
We matola sikiliza sepa hata mod wa JF wanaweza kuifuta post yako kama haina mshiko vile vile kwa mjengwa ile ni blog yake moral authority ya kumtaka afanye utakacho wewe kwa matakwa yako unaitoa wapi?
Ile udhamini anautafuta mwenyewe..na wanao mdhamini wanapenda wenyewe...wewee hauko kwenye nfasi ya kumpagia nini afanye na nini apost..na kwanini vinega acha kutanguliza ushabiki wako wa kijinga na kutaka kufanya wengine tuamini kama umekamata primus uko bar..unataka kutuaminisha..kwenda uko hii ni jukwaa huru kila mtu anachangia anachoona ni sahihi..kutochangiwa mada zako na mjengwa inakuuma sana..kama mada zako hazina mshiko? achangie..
Lazima tukifike tukubali kutokubaliana....kalale.Shutdown.
we ndo umechangia, na umeona ufa uliopombona we umeripoti upande mmoja tu wa tukio. Tuletee za clouds ili tukuone kuwa wewe upo neutral!
Wewe Motala mbona unakuwa na akili fupi kama mkia wa mbuzi? Unataka Mjengwa hafanye kazi zake kwa mapenzi yako wewe? Kwanza unajua kama Sugu nae kawatia ndani pesa,baadhi ya wasaani kufanya shoo?
Hujaitwa, chapa mwendo usidhani muda wote watu wanawaza habari za ngono na mahusiano tu.
Huitaji kuwa na degree kuwajuwa wanaowaza hayo humu JF, kwani hata majukwaa yao wanakopatikana muda mwingi yanajulikana na wanajulikana.nakupa pole kama unawaza hayo masaa yote... ..
Wewe sio mgeni hapa JF kila jukwaa lina swaga zake, uwezi kupeleka mambo ya siasa MMU vivyo hivyo otherwise.
Huitaji kuwa na degree kuwajuwa wanaowaza hayo humu JF, kwani hata majukwaa yao wanakopatikana muda mwingi yanajulikana na wanajulikana.
Mbona we umeripoti upande mmoja tu wa tukio. Tuletee za clouds ili tukuone kuwa wewe upo neutral!