Magazeti yetu yamekuwa hovyo

Ngongo

JF-Expert Member
Sep 20, 2008
18,931
31,176
Leo nimebahatika kupitia magazeti ya Mwananchi,Nipashe....

Mosi nilitegemea habari ya kikokoto kuandikwa katika hali ya uchambuzi wa kina na kuonyesha nani alifanya nini katika suala zina la maslahi ya wafanyakazi wastaafu.

Nini haswa kilisababisha au sababu ya kutungwa sheria na kanuni za hii Mifuko ya hifadhi ya jamii.

Pili nilitarajia wahariri wa magazeti makubwa wangejikita katika uchambuzi wa fedha za Wanachama zinavyotumika na hali halisi ya Mifuko yenyewe.

Katika hali ya kustaajabisha mhariri wa gazeti la Nipashe kaja na kichwa cha habari cha kusikitisha na kusononosha na ukilichukua gazeti la Mwananchi ndio unachoka kabisa.

Ni hakika Tanzania ya leo lipo Pengo kubwa la wahariri wa magazeti na sijui nini kimesababisha hali hiyo.
 
Wanamuogopa huyu
tapatalk_1544853514742.jpeg
 
Leo nimebahatika kupitia magazeti ya Mwananchi,Nipashe....

Mosi nilitegemea habari ya kikokoto kuandikwa katika hali ya uchambuzi wa kina na kuonyesha nani alifanya nini katika suala zina la maslahi ya wafanyakazi wastaafu.

Nini haswa kilisababisha au sababu ya kutungwa sheria na kanuni za hii Mifuko ya hifadhi ya jamii.

Pili nilitarajia wahariri wa magazeti makubwa wangejikita katika uchambuzi wa fedha za Wanachama zinavyotumika na hali halisi ya Mifuko yenyewe.

Katika hali ya kustaajabisha mhariri wa gazeti la Nipashe kaja na kichwa cha habari cha kusikitisha na kusononosha na ukilichukua gazeti la Mwananchi ndio unachoka kabisa.

Ni hakika Tanzania ya leo lipo Pengo kubwa la wahariri wa magazeti na sijui nini kimesababisha hali hiyo.
Mara ya mwisho kununua gazeti na kulisoma ni 2015

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Leo nimebahatika kupitia magazeti ya Mwananchi,Nipashe....

Mosi nilitegemea habari ya kikokoto kuandikwa katika hali ya uchambuzi wa kina na kuonyesha nani alifanya nini katika suala zina la maslahi ya wafanyakazi wastaafu.

Nini haswa kilisababisha au sababu ya kutungwa sheria na kanuni za hii Mifuko ya hifadhi ya jamii.

Pili nilitarajia wahariri wa magazeti makubwa wangejikita katika uchambuzi wa fedha za Wanachama zinavyotumika na hali halisi ya Mifuko yenyewe.

Katika hali ya kustaajabisha mhariri wa gazeti la Nipashe kaja na kichwa cha habari cha kusikitisha na kusononosha na ukilichukua gazeti la Mwananchi ndio unachoka kabisa.

Ni hakika Tanzania ya leo lipo Pengo kubwa la wahariri wa magazeti na sijui nini kimesababisha hali hiyo.
Mkuu Ngongo, kwanza naunga mkono hoja,

Tanzania tuna a very serious problem kwenye media zetu, hatuna waandishi na wahariri competent wenye uwezo wa kufanya news analysis.

Mfano jana kama mlimsikia waziri Mhagama na Mkurugenzi wa SSRA kuhusu reasons za kikokotoo kipya ni hali mbaya ya mifuko ya PSPF na LAPF, baada ya kufanywa kwa actorial valuation ya afya ya mifuko hiyo, na ikabainika ilikuwa ife kufuatia formula yake ya 1/500.

Kwa vile mifuko hiyo miwili tayari ilikuwa on death bed, na sasa imekuwa merged into PSSSF, ili kuizuia PSSSF isife, baada ya jana rais kukirudisha kikokotoo cha zamani kilichokuwa kiuwe mifuko hii, ilitegemewa serious media ije na analysis of what does that mean.

Media zetu nyingi uwezo wake ni news reporting tuu na sio news analysis na hili niliwahi kulizungumza humu.

Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu - JamiiForums

P
 
Leo nimebahatika kupitia magazeti ya Mwananchi,Nipashe....

Mosi nilitegemea habari ya kikokoto kuandikwa katika hali ya uchambuzi wa kina na kuonyesha nani alifanya nini katika suala zina la maslahi ya wafanyakazi wastaafu.

Nini haswa kilisababisha au sababu ya kutungwa sheria na kanuni za hii Mifuko ya hifadhi ya jamii.

Pili nilitarajia wahariri wa magazeti makubwa wangejikita katika uchambuzi wa fedha za Wanachama zinavyotumika na hali halisi ya Mifuko yenyewe.

Katika hali ya kustaajabisha mhariri wa gazeti la Nipashe kaja na kichwa cha habari cha kusikitisha na kusononosha na ukilichukua gazeti la Mwananchi ndio unachoka kabisa.

Ni hakika Tanzania ya leo lipo Pengo kubwa la wahariri wa magazeti na sijui nini kimesababisha hali hiyo.
Tanzania hakuna waandishi wa habari kuna wanukuu matukio hasa ya viongozi walio madarakani.
 
Leo nimebahatika kupitia magazeti ya Mwananchi,Nipashe....

Mosi nilitegemea habari ya kikokoto kuandikwa katika hali ya uchambuzi wa kina na kuonyesha nani alifanya nini katika suala zina la maslahi ya wafanyakazi wastaafu.

Nini haswa kilisababisha au sababu ya kutungwa sheria na kanuni za hii Mifuko ya hifadhi ya jamii.

Pili nilitarajia wahariri wa magazeti makubwa wangejikita katika uchambuzi wa fedha za Wanachama zinavyotumika na hali halisi ya Mifuko yenyewe.

Katika hali ya kustaajabisha mhariri wa gazeti la Nipashe kaja na kichwa cha habari cha kusikitisha na kusononosha na ukilichukua gazeti la Mwananchi ndio unachoka kabisa.

Ni hakika Tanzania ya leo lipo Pengo kubwa la wahariri wa magazeti na sijui nini kimesababisha hali hiyo.
Kosa sio la Wahariri, bali ni LA kwako kwa kuchagua magazeti ya makanjanja.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
UDOM ilijengwa na fedha za NSSF sasa jiulize marejesho ni shilingi ngapi ? Badala yake magazeti ya hovyo yanakuja na habari za kutimuliwa Mkurugenzi Mkuu.Pengine Magazeti yanataka kuaminisha wasomaji wake tatizo ni Irene na si serekali inayokopa bila utaratibu wa kurejesha.Daraja la Nyerere fedha za NSSF jiulize kiasi gani kimerejeshwa ?.
 
Naunga mkono hoja,
P
Yule Azori Gwandu si alitaka kuandika habari za kiuchunguzi comprehensively? Jambo lililompata sote tunalijua

Kwa ukongwe wako kwenye tasnia ya uandishi utakua unamkumbuka marehemu Stan Katabalo and what was his fate. Tanzania ni zaidi ya uijuavyo. Uhuru wa kuchunguza unamipaka tena mipaka mingine ni ya siri na ya hatari sana
 
Watu/wananchi hawana interest na habari za vikokotoo wanataka pesa yao 100%. Waliisha pata jibu kwamba 50% inapatikana hadi 2023, hiyo ilipunguza kiu waliyokuwa nayo. Sasa subiria 2023, uandike uchambuzi wako utauza, lakini kwasasa hata uchambuzi huo hauna maana yoyote kwa wananchi kwa kuwa ndio walengwa.
Binafsi nataka kujua kwanini Irene Kisaka afukuzwe na Jenista Muhagama aachwe?! Ungeandika wewe uchambuzi kuhusu hili.
 
What is the difference between a journalist and a reporter
A journalist ndiye huyo huyo reporter, being a reporter ndio the first stage ya journalist kwenye print media, baadae unapanda grades unakuwa staff reporter, unakuwa senior reporter, unakuwa specialized reporter, unakuwa sub editor, unakuwa chief sub, unakuwa editor, unakuwa Chief editor, hadi Editor in Chief.

Kwenye broadcast media unaanzia announce kutangaza kifuatacho, baadae unakuwa presenter, unakuwa program host, unakuwa producer, director, executive producer, manager, hadi mkurugenzi.

Kadri unavyopanda ndipo majukumu yanaongezeka

Kwa Tanzania kadri unavyopanda na kubobea ndivyo uoga unavyo ongezeka, kwa wale waliokuwepo wakati wa Kiti Moto, unadhani Pasco huyu wa sasa anaweza kuendesha kipindi kama kile?.
P
 
Back
Top Bottom