Mgibeon
JF-Expert Member
- Aug 7, 2011
- 11,416
- 21,811
Elimu ya Serikali ya CCM ndo imetufikisha hapa.Umemaanisha nini kwa neno "royal" hapo mstari wa kwanza?
Sijuwi nani mwenye afadhali Tanzania hii.
Elimu ya Serikali ya CCM ndo imetufikisha hapa.Umemaanisha nini kwa neno "royal" hapo mstari wa kwanza?
Sijuwi nani mwenye afadhali Tanzania hii.
Hayo yako. Mimi nilitaka kufahamu umemaanisha nini? Thats all.Elimu ya Serikali ya CCM ndo imetufikisha hapa.
Wachambuzi wapo ila mtaka sifa kwa sheria zake kandamizi hafurahi kuona uchambuzi wenye sura ya kum-challenge! Aidha, kama mnaona wachambuzi wameshindwa, andikeni nyie hayo waliyoshindwa. Tusilaum watu wakati sababu iko wazi.Mkuu Ngongo, kwanza naunga mkono hoja,
Tanzania tuna a very serious problem kwenye media zetu, hatuna waandishi na wahariri competent wenye uwezo wa kufanya news analysis.
Mfano jana kama mlimsikia waziri Mhagama na Mkurugenzi wa SSRA kuhusu reasons za kikokotoo kipya ni hali mbaya ya mifuko ya PSPF na LAPF, baada ya kufanywa kwa actorial valuation ya afya ya mifuko hiyo, na ikabainika ilikuwa ife kufuatia formula yake ya 1/500.
Kwa vile mifuko hiyo miwili tayari ilikuwa on death bed, na sasa imekuwa merged into PSSSF, ili kuizuia PSSSF isife, baada ya jana rais kukirudisha kikokotoo cha zamani kilichokuwa kiuwe mifuko hii, ilitegemewa serious media ije na analysis of what does that mean.
Media zetu nyingi uwezo wake ni news reporting tuu na sio news analysis na hili niliwahi kulizungumza humu.
Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu - JamiiForums
P
Mimi nimejibu kuanzia pale uliposema hujui nani mwenye afadhali.. Na ni kweli hakuna mwenye afadhali kuanzia fenti fodi, intrapriiinaa mpaka sisi wa royal.Hayo yako. Mimi nilitaka kufahamu umemaanisha nini? Thats all.
Wanaothubutu kuwa competent katika uchambuzi kama Azory hupotea katika mazingira ya kutatanisha.Hakuna Cha kumuogopa Rais wala nini
Tanzania Hakuna Waandishi competent kuanzia Habar Za uchunguzi, Uchambuzi wala Za burudani
Tuna reporters wa Matukio tu
Ulimaanisha nini?Mimi nimejibu kuanzia pale uliposema hujui nani mwenye afadhali.. Na ni kweli hakuna mwenye afadhali kuanzia fenti fodi, intrapriiinaa mpaka sisi wa royal.
Nilimaanisha Pascal Mayalla Ni "mnyoofu" , hana kona kona.. Muwazi, kajielezea kwamba kwa sasa hana uthubutu wa kufanya harakati zake kama zamani.Ulimaanisha nini?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Tanzania hakuna waandishi wa habari kuna wanukuu matukio hasa ya viongozi walio madarakani.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]UDOM ilijengwa na fedha za NSSF sasa jiulize marejesho ni shilingi ngapi ? Badala yake magazeti ya hovyo yanakuja na habari za kutimuliwa Mkurugenzi Mkuu.Pengine Magazeti yanataka kuaminisha wasomaji wake tatizo ni Irene na si serekali inayokopa bila utaratibu wa kurejesha.Daraja la Nyerere fedha za NSSF jiulize kiasi gani kimerejeshwa ?.
[emoji26][emoji26][emoji26][emoji26][emoji26]Ukitaka kufanya analysis data zako utazipata wapi? Umeshachunguza websites za mashirika ya Tz ukaona jinsi zilivyo? Nyingine data zake ziko miaka hata mitatu au zaidi nyuma. Kama utatumia data nyingine sheria ya takwimu inaweza kukufunga. Ukifanya analysis ya kuonyesha weaknesses unaweza kujikuta kwenye shida. Unakumbuka mambo yaliyompata yule kijana aliyepiga picha za "expansion joints"? Hiyo ilikuwa picha tu. Sembuse uje kufanya analysis ya ku reveal uzembe mkubwa au ufisadi? Kwa hiyo kama wewe ni mwandishi wa habari kwa nini ujitie kwenye shida wakati ukiandika habari za matukio tu familia yako itaishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo nimebahatika kupitia magazeti ya Mwananchi,Nipashe....
Mosi nilitegemea habari ya kikokoto kuandikwa katika hali ya uchambuzi wa kina na kuonyesha nani alifanya nini katika suala zina la maslahi ya wafanyakazi wastaafu.
Nini haswa kilisababisha au sababu ya kutungwa sheria na kanuni za hii Mifuko ya hifadhi ya jamii.
Pili nilitarajia wahariri wa magazeti makubwa wangejikita katika uchambuzi wa fedha za Wanachama zinavyotumika na hali halisi ya Mifuko yenyewe.
Katika hali ya kustaajabisha mhariri wa gazeti la Nipashe kaja na kichwa cha habari cha kusikitisha na kusononosha na ukilichukua gazeti la Mwananchi ndio unachoka kabisa.
Ni hakika Tanzania ya leo lipo Pengo kubwa la wahariri wa magazeti na sijui nini kimesababisha hali hiyo.
Leo nimebahatika kupitia magazeti ya Mwananchi,Nipashe....
Mosi nilitegemea habari ya kikokoto kuandikwa katika hali ya uchambuzi wa kina na kuonyesha nani alifanya nini katika suala zina la maslahi ya wafanyakazi wastaafu.
Nini haswa kilisababisha au sababu ya kutungwa sheria na kanuni za hii Mifuko ya hifadhi ya jamii.
Pili nilitarajia wahariri wa magazeti makubwa wangejikita katika uchambuzi wa fedha za Wanachama zinavyotumika na hali halisi ya Mifuko yenyewe.
Katika hali ya kustaajabisha mhariri wa gazeti la Nipashe kaja na kichwa cha habari cha kusikitisha na kusononosha na ukilichukua gazeti la Mwananchi ndio unachoka kabisa.
Ni hakika Tanzania ya leo lipo Pengo kubwa la wahariri wa magazeti na sijui nini kimesababisha hali hiyo.
Mkuu Ngongo, kwanza naunga mkono hoja,
Tanzania tuna a very serious problem kwenye media zetu, hatuna waandishi na wahariri competent wenye uwezo wa kufanya news analysis.
Mfano jana kama mlimsikia waziri Mhagama na Mkurugenzi wa SSRA kuhusu reasons za kikokotoo kipya ni hali mbaya ya mifuko ya PSPF na LAPF, baada ya kufanywa kwa actorial valuation ya afya ya mifuko hiyo, na ikabainika ilikuwa ife kufuatia formula yake ya 1/500.
Kwa vile mifuko hiyo miwili tayari ilikuwa on death bed, na sasa imekuwa merged into PSSSF, ili kuizuia PSSSF isife, baada ya jana rais kukirudisha kikokotoo cha zamani kilichokuwa kiuwe mifuko hii, ilitegemewa serious media ije na analysis of what does that mean.
Media zetu nyingi uwezo wake ni news reporting tuu na sio news analysis na hili niliwahi kulizungumza humu.
Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu - JamiiForums
P
Angalau wapo mabaki wachache kama wewe Pascal Mayalla . Wewe unajitahidi kuchambua mada japo kimafumbo mafumbo ili kukwepa rungu la mzee! Mfano huwa unachambua vizuri issue za acacia etc.Mkuu Ngongo, kwanza naunga mkono hoja,
Tanzania tuna a very serious problem kwenye media zetu, hatuna waandishi na wahariri competent wenye uwezo wa kufanya news analysis.
Mfano jana kama mlimsikia waziri Mhagama na Mkurugenzi wa SSRA kuhusu reasons za kikokotoo kipya ni hali mbaya ya mifuko ya PSPF na LAPF, baada ya kufanywa kwa actorial valuation ya afya ya mifuko hiyo, na ikabainika ilikuwa ife kufuatia formula yake ya 1/500.
Kwa vile mifuko hiyo miwili tayari ilikuwa on death bed, na sasa imekuwa merged into PSSSF, ili kuizuia PSSSF isife, baada ya jana rais kukirudisha kikokotoo cha zamani kilichokuwa kiuwe mifuko hii, ilitegemewa serious media ije na analysis of what does that mean.
Media zetu nyingi uwezo wake ni news reporting tuu na sio news analysis na hili niliwahi kulizungumza humu.
Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu - JamiiForums
P
Safi wanahitajika wenye akili kama wewe sio wapiga tantarira wanaojifanya wanaelewa kila kitu.Ukitaka kufanya analysis data zako utazipata wapi? Umeshachunguza websites za mashirika ya Tz ukaona jinsi zilivyo? Nyingine data zake ziko miaka hata mitatu au zaidi nyuma. Kama utatumia data nyingine sheria ya takwimu inaweza kukufunga. Ukifanya analysis ya kuonyesha weaknesses unaweza kujikuta kwenye shida. Unakumbuka mambo yaliyompata yule kijana aliyepiga picha za "expansion joints"? Hiyo ilikuwa picha tu. Sembuse uje kufanya analysis ya ku reveal uzembe mkubwa au ufisadi? Kwa hiyo kama wewe ni mwandishi wa habari kwa nini ujitie kwenye shida wakati ukiandika habari za matukio tu familia yako itaishi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu Ngongo, kwanza naunga mkono hoja,
Tanzania tuna a very serious problem kwenye media zetu, hatuna waandishi na wahariri competent wenye uwezo wa kufanya news analysis.
Mfano jana kama mlimsikia waziri Mhagama na Mkurugenzi wa SSRA kuhusu reasons za kikokotoo kipya ni hali mbaya ya mifuko ya PSPF na LAPF, baada ya kufanywa kwa actorial valuation ya afya ya mifuko hiyo, na ikabainika ilikuwa ife kufuatia formula yake ya 1/500.
Kwa vile mifuko hiyo miwili tayari ilikuwa on death bed, na sasa imekuwa merged into PSSSF, ili kuizuia PSSSF isife, baada ya jana rais kukirudisha kikokotoo cha zamani kilichokuwa kiuwe mifuko hii, ilitegemewa serious media ije na analysis of what does that mean.
Media zetu nyingi uwezo wake ni news reporting tuu na sio news analysis na hili niliwahi kulizungumza humu.
Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu - JamiiForums
P
Kwani wao wanapenda kutoweka kama yule mwandishi wa Mwananchi?Hakuna Cha kumuogopa Rais wala nini
Tanzania Hakuna Waandishi competent kuanzia Habar Za uchunguzi, Uchambuzi wala Za burudani
Tuna reporters wa Matukio tu