Magazeti yetu yamekuwa hovyo

Magazeti yetu yamekuwa hovyo

Tumekuwa wapenda ushabiki bila proper reasoning. Irene Isaka kaongea with logical analysis nini kilikuwa kitokee na wamenusuru hiyo hali kwa kufanya mambo kadhaa ikiwemo kikokotoo kipya, je kiuhalisia kuachana na actuarial analysis na kuamua vinginevyo tutarajie kitu gani?
Tutegemee government bail out.
Hata mimi nimeuliza hili kwenye bandiko hili
Kama Kikokotoo Kipya ni Matokeo ya Actuarial Valuation ya Mifuko, Kosa la Irene Isaka ni Lipi Hadi Atumbuliwe?. Tusishangilie Tuu...Mwishowe... - JamiiForums
P.
 
Mkuu Ngongo, kwanza naunga mkono hoja,

Tanzania tuna a very serious problem kwenye media zetu, hatuna waandishi na wahariri competent wenye uwezo wa kufanya news analysis.

Mfano jana kama mlimsikia waziri Mhagama na Mkurugenzi wa SSRA kuhusu reasons za kikokotoo kipya ni hali mbaya ya mifuko ya PSPF na LAPF, baada ya kufanywa kwa actorial valuation ya afya ya mifuko hiyo, na ikabainika ilikuwa ife kufuatia formula yake ya 1/500.

Kwa vile mifuko hiyo miwili tayari ilikuwa on death bed, na sasa imekuwa merged into PSSSF, ili kuizuia PSSSF isife, baada ya jana rais kukirudisha kikokotoo cha zamani kilichokuwa kiuwe mifuko hii, ilitegemewa serious media ije na analysis of what does that mean.

Media zetu nyingi uwezo wake ni news reporting tuu na sio news analysis na hili niliwahi kulizungumza humu.

Vyombo Vya Habari Vya Tanzania, Havina Uwezo wa Uchambuzi wa Habari, News Analysis-Jicho Letu - JamiiForums

P
Very well said mkuu Pasco, halafu kingine kwa nini Nssf, wanosemwa wako vizuri, wanatoa 25% badala ya 50 % kama mifuko mingine ya serikali?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukitaka kufanya analysis data zako utazipata wapi? Umeshachunguza websites za mashirika ya Tz ukaona jinsi zilivyo? Nyingine data zake ziko miaka hata mitatu au zaidi nyuma. Kama utatumia data nyingine sheria ya takwimu inaweza kukufunga. Ukifanya analysis ya kuonyesha weaknesses unaweza kujikuta kwenye shida. Unakumbuka mambo yaliyompata yule kijana aliyepiga picha za "expansion joints"? Hiyo ilikuwa picha tu. Sembuse uje kufanya analysis ya ku reveal uzembe mkubwa au ufisadi? Kwa hiyo kama wewe ni mwandishi wa habari kwa nini ujitie kwenye shida wakati ukiandika habari za matukio tu familia yako itaishi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu mwandishi akiandika habari za kiuchunguzi na kukuta serikali ina makosa anatekwa wananchi wanabaki kimya, sasa kwa nini mwandishi akajitoe mhanga kuandika habari ambazo zitamhatarishia maisha yake huku anaowapelekea habari (wananchi) siku akitekwa au akishtakiwa wapo kimya tena wengine watasema alijitakia mwenyewe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Very well said mkuu Pasco, halafu kingine kwa nini Nssf, wanosemwa wako vizuri, wanatoa 25% badala ya 50 % kama mifuko mingine ya serikali?

Sent using Jamii Forums mobile app
NSSF na PPF wanatoa 25% kwa sababu mishahara ya sekta binafsi iko juu, na NSSF wanatumia wages na sio basic salary.
LAPF na PSPF ndio walikuwa wanatoa 50%

Kwa vile watumishi wa serikali, wana mishahara midogo, watumishi wanakatwa only 5% na serikali inawachangia 15%, siku akistaafu analipwa 50% ya michango yake, which is a lot!, baada ya kuichukua hiyo 50%, kilichobaki kinagawanywa kwa miaka 12.5 x 12, hivyo mapato yao ya mothly ni kiduchu sana.

Wenzao wa NSSF na PPF wanalipwa 25% halafu ile 75% inagawanywa kwa miaka 12.5, hivyo monthly payment ni kubwa.

Pensioners wanafaidika zaidi na kuishi zaidi kwa kadri wanavyolipwa vizuri, hivyo kiukweli kabisa, wastaafu wa serikali ambao sio maofisa ndio wanaoishi very horrible life ukilinganisha na wa sekta binafsi.
P.
 
NSSF na PPF wanatoa 25% kwa sababu mishahara ya sekta binafsi iko juu, na NSSF wanatumia wages na sio basic salary.
LAPF na PSPF ndio walikuwa wanatoa 50%

Kwa vile watumishi wa serikali, wana mishahara midogo, watumishi wanakatwa only 5% na serikali inawachangia 15%, siku akistaafu analipwa 50% ya michango yake, which is a lot!, baada ya kuichukua hiyo 50%, kilichobaki kinagawanywa kwa miaka 12.5 x 12, hivyo mapato yao ya mothly ni kiduchu sana.

Wenzao wa NSSF na PPF wanalipwa 25% halafu ile 75% inagawanywa kwa miaka 12.5, hivyo monthly payment ni kubwa.

Pensioners wanafaidika zaidi na kuishi zaidi kwa kadri wanavyolipwa vizuri, hivyo kiukweli kabisa, wastaafu wa serikali ambao sio maofisa ndio wanaoishi very horrible life ukilinganisha na wa sekta binafsi.
P.
Acha kupotosha uma bwana njaa,serikalini wao pspf wanatoa 50% na 15.5

Sent using Jamii Forums mobile app
 
NSSF na PPF wanatoa 25% kwa sababu mishahara ya sekta binafsi iko juu, na NSSF wanatumia wages na sio basic salary.
LAPF na PSPF ndio walikuwa wanatoa 50%

Kwa vile watumishi wa serikali, wana mishahara midogo, watumishi wanakatwa only 5% na serikali inawachangia 15%, siku akistaafu analipwa 50% ya michango yake, which is a lot!, baada ya kuichukua hiyo 50%, kilichobaki kinagawanywa kwa miaka 12.5 x 12, hivyo mapato yao ya mothly ni kiduchu sana.

Wenzao wa NSSF na PPF wanalipwa 25% halafu ile 75% inagawanywa kwa miaka 12.5, hivyo monthly payment ni kubwa.

Pensioners wanafaidika zaidi na kuishi zaidi kwa kadri wanavyolipwa vizuri, hivyo kiukweli kabisa, wastaafu wa serikali ambao sio maofisa ndio wanaoishi very horrible life ukilinganisha na wa sekta binafsi.
P.
Thanks for this clarification mkuu. So kumbe walitaka ku copy from Nssf kwenda kwa wafanyakazi wote? Pili wastaafu wa Nssf ndiyo tuseme wako comfortable na huu utaratibu maana sijawahi sikia wakilalamikia kikokotoleo kama wenzao wa serikalini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thanks for this clarification mkuu. So kumbe walitaka ku copy from Nssf kwenda kwa wafanyakazi wote? Pili wastaafu wa Nssf ndiyo tuseme wako comfortable na huu utaratibu maana sijawahi sikia wakilalamikia kikokotoleo kama wenzao wa serikalini?

Sent using Jamii Forums mobile app
Yes hawalalamiki kwa sababu wanalipwa vizuri. NSSF unachangia 10% ya take home yako. Kule kungine unachangia 10% ya basic salary yako ambayo kwa salaries za serikalini ni peanut.
P
 
Miananchi menyewe mioga yanini mtu ujitoe sadaka kwa watu wasiojielewa
 
Back
Top Bottom