Mchambuzi
JF-Expert Member
- Aug 24, 2007
- 4,850
- 9,405
- Thread starter
- #21
hata TBC husema habari zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii wakati issue ipo hapa pekee! Waseme tu source Jamii Forums!
Hiii ni kutokana na mtandano kuitwa jamiiforums, sio jamiiforum, ndio maana na wao wanaichukulia in plural sense.