haha
JF-Expert Member
- Apr 21, 2013
- 1,400
- 1,640
Njoo bara uone chakula safi nyumba safi hal ya hewa safi Shule nzuri biashara zapi nyingi!!! Hatuli ugaali WA kukoboa kwa dagaaa njoo mikoani uoneHao wa bara huko kwao maisha yao yalivyo mabovu ndio usiseme unaweza ukajiuliza kama ndio Tanzania hii hii au wapo nchi nyingine. Maana hata kujisaidia wanajisaidia maporini. Ustarabu wote wamekuja kuupatia hapa Dar.