Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 5,225
- 9,185
Magari Ya Kuazima Hayo
Hapana huyu atakunywa mbege ya marangu!!huyu mpatie balimi 4 tu meku oko
hii desturi inanipa hasira ya kupambana namimi xmass nikapange foleni moshiWakuu habarini,hivi majuz wiki iliyopita nilitua Kilimanjaro international airport nikitokea instanbul Turkey,wakati nikielekea nyumbani nikipitia mjini Moshi nilishuhudia foleni isiyo ya kawaida,hii ni kutokana na wenyeji wa Kilimanjaro kuenzi utamaduni wao wa kurejea December Kila mwaka kwa ajili ya xmass na kupanga mipango ya kimaendeleo, mjini na vijijini kwasasa kote kumefurika magari ya kifahari ya kina meku kwakweli huu ni utamaduni mzuri sana
dar kipindi hiki biashara huwa zinayumba na foleni ya dar huwa inapungua kiaina hii inaonyesha jinsi wakazi wa Kilimanjaro walivyolikamata jiji la dar kiuchumi
mabasi ya kwenda kaskazini kwasasa yamejaa tele kutokea dar Hali iliyopelekea daladala kupewa kibali Cha muda kusafurisha abiria kwenda Kilimanjaro na Arusha
utamaduni huu haujawahi fikiwa na mkoa wowote ule
big up Kilimanjaro vyuma mwiko kukaza Kilimanjaro
ww jamaa wwhapo ulitaka tu kusema umetoka uturuki!
tena kupitia Kilimanjaro INTERNATIONAL Airport!hapo ulitaka tu kusema umetoka uturuki!
Watu wamegawanyika katika maumbile, tabia, rangi, tamaduni, elimu, imani togauti tofauti sana.
Upande wa Makabila.
Kuna makabila yenye kufanya mambo yao kwa nafasi zao na raha zao bila ya bugudha kwa wengune kiasi kwamba unaweza ukadhani hawapo au hakuna wafanyalo. Wao mambo yao ni kimya kimya na ndiyo furaha yao. Yamebarikiwa na kwa namna ya kipekee sana pia yamebarikiwa kujitambua na hayana mioyo ya majigambo na ubinafsi.
Kuna Makabila mengine bado hayajaweza kujitambua kabisa. Pamoja na Mungu kuwajaalia kwa mambo tofauti lakini yana ulimbukeni mwingi. Yana kelele sana, yapo busy kujionyesha na kujiringanisha. Hata ya kijamba yatataka yapige kelele yaonekane ni yenyewe yamejamba, yana majigambo na ubinafsi wa hali ya juu sana, hata kama hawana kazu na mradi fulani bado watataka upelekwe kwao. Ni makabila yenye tabia za kipwanipwani sana.
Nitaendelea kuchambua kidogo kidogo tabia hizo za watu kutoka kwenye makundi yao.
Ahsanteni![/QUOTEMkuu umegusa watu hapa ngoja waje
punguza wivi, waache wachaga wajinafasi, wakishindia mihogo ni wao wewe inakuuma niniMnashindia mihogo mkisaks pesa kwa mwaka mzima alafu leo unakula na kunywa mpaka mnavimbiwa,huu ni ufala hasa huko Moshi punguzeni sifa
nyie watu wa pwani acheni wivu wa kike.Mnashindia mihogo mkisaks pesa kwa mwaka mzima alafu leo unakula na kunywa mpaka mnavimbiwa,huu ni ufala hasa huko Moshi punguzeni sifa
nyie watu wa pwani acheni wivu wa kike.